balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Hujui bia moja ni sawa na chapati zile kubwa za kiothordox saba?kujenga mifupa na kuimarisha mwili (asali ni dawa)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui bia moja ni sawa na chapati zile kubwa za kiothordox saba?kujenga mifupa na kuimarisha mwili (asali ni dawa)
Tusiwadharau walevi na wao wana mchango mkubwa sana katika uchumi wa nchi, kama hujui kawaulize TBL wanalipa kodi kiasi gani kwa mwaka. Kodi inayolipwa kutoka kwenye pombe ndiyo hiyo hiyo inayonunulia madawa hospitalini.Hii ndiyo Tanzania bwana, unaongea Bei ya fuel una shusha Bei ya pombe, that means tunaongeza idadi ya walevi kuliko kuliko wafanya kazi,
Hivyi nikikuuliza wapi imeandikwa sigara ni dhambi utanionesha??? Neno la Mungu ni moto ulao, huwezi kufanya mastubation bila tamaa ya uzinzi kukuingia, hivyo kupitia tamaa na matamanio ya ngono, mastubation ni dhambi ( wagalatia 5:15-22)Wapi kifungu gani cha maandiko kimetaja mastabation kuwa ni dhambi?
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah,maziwa hayana ishuivi kunywa bia kunawasaidia nini, si muache tuuu mnywe maziwa na asali!
.......na Yesu huyohuyo Kwenye harusi ya Kaanani, aligeuza maji kuwa mvinyo, tena mvinyo uliokuwa bora zaidi!Hivyi jamani bado watu hamjui kwamba ulevi ni dhambi??? YESU anawaita awaokoe kuzimu na jehannum ya moto inatisha wapendwa tubuni baada ya kifo ni hukumu.
View attachment 1838522
Kiuhalisia haitakaa itokee bia ipungue bei.Salamu wadau. Kumekuwa na taarifa kwamba, kuanzia Julai Mosi, bei za bia zingeshuka, zilizokuwa zikiuzwa Tsh. 1,500 zingeuzwa Tsh. 1,000. Zilizokuwa zikiuzwa Tsh. 2,000 zingeuzwa Tsh. 1,500. Lakini mpaka Julai 2, baa nilizokaa 'kupata' bei ilikuwa ileile. Lakini vinywaji vya Spirit vimepanda. Je, kuna ambaye ameshakutana na bei ya punguzo ya bia? Atupe mrejesho.
😂😂😂😂Hatoboi mtu apa yaan ata ww uliendika hapo hutoboi mchana kweupeeeHivyi jamani bado watu hamjui kwamba ulevi ni dhambi??? YESU anawaita awaokoe kuzimu na jehannum ya moto inatisha wapendwa tubuni baada ya kifo ni hukumu.
View attachment 1838522