πππππ hakuna ataepona dunia hiiHivyi jamani bado watu hamjui kwamba ulevi ni dhambi??? YESU anawaita awaokoe kuzimu na jehannum ya moto inatisha wapendwa tubuni baada ya kifo ni hukumu.
View attachment 1838522
Sio kweli mkuu kuzimu ni halisi na mbingu ni halisi ni watakatifu tu wataiona, kabla ya kulaumu wazungu jiulize kwanza kama umewahi kulipia bili ya mwezi, jua, pamoja na hewa unayovuta ukikosa majibu amini kwamba kuna maisha baada ya kifo na njia pekee ni kumwamini Yesu hamna namnaJinsi wazungu walivyo kubrainwash hata hayo mapicha ya shetani yanaonyesha mtu mweusi zinduka usingizini wewe..hivi tangu dunia imeumbwa lini ulikuta dunia nzima ni watakatifu?? Watenda zambi wapo na wataendelea kuwepo ili wewe uendelee kuhubiri injili wakiokoka wote nani atamhubilia mwenzake.? Na wewe utapata wapi sadaka.?
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Zaburi 16:3πππππ hakuna ataepona dunia hii
Wewe shida mfia dini..wazungu wamekuharibu akili na kamwe hawezi tengenezeka..ni kuulize kwanini shetani ni blak na yesu mweupe? Na mzungu?Sio kweli mkuu kuzimu ni halisi na mbingu ni halisi ni watakatifu tu wataiona, kabla ya kulaumu wazungu jiulize kwanza kama umewahi kulipia bili ya mwezi, jua, pamoja na hewa unayovuta ukikosa majibu amini kwamba kuna maisha baada ya kifo na njia pekee ni kumwamini Yesu hamna namna
Zaburi 16:3
Watakatifu waliopo duniani ndio Walio bora,
Hao ndio niliopendezwa nao.
Kwa mjibu wa fahamu zako, lakini jua kwamba Mungu alimuumba mwanaume na mwanamke sio mastubation
Maziwa na asali ukinywa vinakusaidia nini?ivi kunywa bia kunawasaidia nini, si muache tuuu mnywe maziwa na asali!
Hizohizo amri za Mungu watu wanashingo ngumu hawati kuzitii, mtu hadanganyi lakini ni mdhulumaji mkubwa,Amri za Mungu ziko 10, zinajulikana.
Tuachie my wetuivi kunywa bia kunawasaidia nini, si muache tuuu mnywe maziwa na asali!
Viumbe wote wana mastabeti kwani mwanadamu sio kiumbe?Kwa mjibu wa fahamu zako, lakini jua kwamba Mungu alimuumba mwanaume na mwanamke sio mastubation
Ndiomana neema ya Yesu ikaingilia kati..huwezi kuwa mkamilifu huwezi fata sheria zote mana ukikosa kwa moja umekosa kwa zote..ndio mana nasema waislamu hawana tumaini zaidi ya kushika sheria ambapo kimsingi ni ngumu kushika sheria ili kuupata ukamilifu..mwanadamu ni mdhaifu kuangukia dhambini ni kugusa tu.Hizohizo amri za Mungu watu wanashingo ngumu hawati kuzitii, mtu hadanganyi lakini ni mdhulumaji mkubwa,
Usipoamini Mungu atabaki wa kuaminiwa, na maneno ya Mungu yanadumu milele na milele, baada ya kifo ndipo utakapoyakumbuka maneno yangu, Yesu anakupenda alikuja msalabani akakufia ili kukuokoa lakini usipoamini yeye anabaki Kuwa MunguWewe shida mfia dini..wazungu wamekuharibu akili na kamwe hawezi tengenezeka..ni kuulize kwanini shetani ni blak na yesu mweupe? Na mzungu?
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Neno la Mungu linasemaje kuwa mwanadamu???Viumbe wote wana mastabeti kwani mwanadamu sio kiumbe?
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitaka uzeeni uteseke na magonjwa ya kisukari,kansa ama presha..wewe kunywa sana pombe..chai..kahawa na vinywaji vya viwandani.Write your reply...
Mhu waulize wenye ugonjwa wa kusukari kama wanatumia hivi vitu. Sana nawaona wanatumia beer serengeti lager.
Hakuna wa kukusikiliza kwa sasa mpaka Maini yaanze kuuma.tubu nafasi ingaliko
Wapi kifungu gani cha maandiko kimetaja mastabation kuwa ni dhambi?Neno la Mungu linasemaje kuwa mwanadamu???
Daah..tatizo wanadamu wabishi sana.Hakuna wa kukusikiliza kwa sasa mpaka Maini yaanze kuuma.
Kazi ya neema ni kutukataza dhambi , maana hatutamuona Mungu pasipokuwa wakamilifuNdiomana neema ya Yesu ikaingilia kati..huwezi kuwa mkamilifu huwezi fata sheria zote mana ukikosa kwa moja umekosa kwa zote..ndio mana nasema waislamu hawana tumaini zaidi ya kushika sheria ambapo kimsingi ni ngumu kushika sheria ili kuupata ukamilifu..mwanadamu ni mdhaifu kuangukia dhambini ni kugusa tu.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
kujenga mifupa na kuimarisha mwili (asali ni dawa)Maziwa na asali ukinywa vinakusaidia nini?
Wewe maziwa na asali yamekusaidia niniivi kunywa bia kunawasaidia nini, si muache tuuu mnywe maziwa na asali!