Ambao wameshakunywa bia kwa bei mpya ya punguzo, nyoosha mkono juu

Hii ndiyo Tanzania bwana, unaongea Bei ya fuel una shusha Bei ya pombe, that means tunaongeza idadi ya walevi kuliko kuliko wafanya kazi,
Tusiwadharau walevi na wao wana mchango mkubwa sana katika uchumi wa nchi, kama hujui kawaulize TBL wanalipa kodi kiasi gani kwa mwaka. Kodi inayolipwa kutoka kwenye pombe ndiyo hiyo hiyo inayonunulia madawa hospitalini.
 
Wapi kifungu gani cha maandiko kimetaja mastabation kuwa ni dhambi?

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivyi nikikuuliza wapi imeandikwa sigara ni dhambi utanionesha??? Neno la Mungu ni moto ulao, huwezi kufanya mastubation bila tamaa ya uzinzi kukuingia, hivyo kupitia tamaa na matamanio ya ngono, mastubation ni dhambi ( wagalatia 5:15-22)
 
Kiuhalisia haitakaa itokee bia ipungue bei.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…