Mi sitaki kwenda kwa bibi, nitamkuta babu huko halafu atalazimisha kunikagua!!!
There is nothing to say or do at this point. Just hug me tight and say it is ok to cry...
Mi nimeelewa kua mpango mzima wa kupiga kura sio wa kuchukulia too seriously.
Tuendelee kuparticipate just to have fun ila tuwe tayari kwa kila kitu
Anti bado yuko katika categories zote mbili, So I will be there to vote,
ila kwa man and king mi nimejitoa.
Pole ya nini sasa wakati mshindi wangu kapatikana?pole saana
EMT ni still a winner
kuwa na mwali na husninyo na belinda si kitu kidogo
na wanalia now hajachaguliwa
i envy him....
Thank you Uncle... I know.now at least you have my shoulders to cry on. An the good news is that...they are not for voting....exclusive for my niece.
EMT ni still a winner
kuwa na mwali na husninyo na belinda si kitu kidogo
na wanalia now hajachaguliwa
i envy him....
Simuamini babu yule! na hivi wamekua na Kongosho ni tabu tupu.hahahahaha! Babu hawezi kukagua kama hajaruhusiwa na uncle. Lol.
Thank you Uncle... I know.
Husninyo umesoma hapo bold?
Najua wewe ni favorite wa anti,
but mimi ni favorite wa Uncle. lol
Imagine mimi kura yangu wameiandika kama chit chat, eti I was not serious. looolthe boss tena tunalia si kidogo. Imagine mi na belinda tulichagua watu sawa as if tuliambiana na bado wametoswa. Dah! Kweli uchakachuzi hauwezi kuisha.
Atiiii?
Mkwe nakusalimia tu... Wknd njema
Pole ya nini sasa wakati mshindi wangu kapatikana?
Ni shangwe na furaha tu zinaendelea, wengine nao wachague wao.
Anti mwenyewe ndio alinambia nimesha jifunza mengi toka kwake,hahaha! I know that cousin but unasahau kuwa mtoto wa kike anatakiwa kuwa karibu na mama zaidi na si baba?
MMU king of the year anajijua... πkwani EMT was your man of the year
sasa mmu king wako ni yupi?
Imagine mimi kura yangu wameiandika kama chit chat, eti I was not serious. loool
Na Taz alinukuu kwa kusema Hii ndio kura yangu, wanasema hakupiga kura vipaswavo
Alitakiwa kuandika MAn of the year.... King of MMU...
wakati quote alio nuku was saying just that!
With kura 5 he was clearly ahead of Ban AND Aspirin combined.
But isiwe tabu, wache kura ziendelee, tujue nani mshindi wao
let tonight be the night I celebrate mshindi wangu mimi.
kama upo macho karibu tupige stori.
Imagine mimi kura yangu wameiandika kama chit chat, eti I was not serious. loool
Na Taz alinukuu kwa kusema Hii ndio kura yangu, wanasema hakupiga kura vipaswavo
Alitakiwa kuandika MAn of the year.... King of MMU...
wakati quote alio nuku was saying just that!
With kura 5 he was clearly ahead of Ban AND Aspirin combined.
But isiwe tabu, wache kura ziendelee, tujue nani mshindi wao
let tonight be the night I celebrate mshindi wangu mimi.
MMU king of the year anajijua... π
Anti mwenyewe ndio alinambia nimesha jifunza mengi toka kwake,
Now it is time niwe karibu na Uncle ili nione how a real gentleman behaves
siku nitapata mume mtarajiwa nisije nikapewa less than what I truly deserve
Wewe unaonekana haukuwepo, mbona kura zote zilikua wazi? πunamuogopa nani?
hebu mtaje basi
unamuogopa nani?
hebu mtaje basi