Amber Lulu aponda muonekano wa Ommy Dimpoz

Amber Lulu aponda muonekano wa Ommy Dimpoz

Amber lulu ni malaya wa mbeya katumwa pesa ommy dimpoz hana mvuto tena kwa jamii kama ilivyo kwa juma jux
Awe malaya au changudoa kaongea Fact!
Tuishie hapo!
Japo ameulizwa kati ya chongo na kengeza unachagua nini so me naona kajibu kadiri ya uwezo wake so na kwa uwezo wake tunavoujua amejibu vizuri sana
 
Awe malaya au changudoa kaongea Fact!
Tuishie hapo!
Japo ameulizwa kati ya chongo na kengeza unachagua nini so me naona kajibu kadiri ya uwezo wake so na kwa uwezo wake tunavoujua amejibu vizuri sana
Sijawahi ona malaya kaongea fact since i was born
 
Mi cjui nina taste na hawa watu!!

Yaani from Day 01 nilipomuona tu Dimpoz hapo hapo nikawa na mashaka nae!!

Ndiyo lips denda ni maumbile yenye baraka za Muumba lakini swaga zake ni makusudi!!
 
Dimpoz kwa mapozi kaliteka soko la kimataifa Amber anataka kuharibu soko wakati amesha chelewa teh teh
 
Mods msifute huu uzi kuna cha kujifunza hapa.

Kuna kale kamsemo kanasema ukiwazoea sana watoto wa kike bila kuwa.kaza kuna siku watakushika wo.wo.wo..

Hii imejidhihirisha kwa mwandada Amberlulu baada ya kumshukia staa wa bongo fleva aliyeasi muziki na kuwa staa wa Instagram kwa kupost picha akiwa anakula bata ughaibuni, ambapo wadadisi wa mambo wanasema safari hizo za ng'ambo zipo chini ya udhamini mkubwa wenye malipo magumu.

Akijibu swali la mtangazaji wa moja ya kipindi cha online tv ambopo aliulizwa kama ikitokea Jux na Ommy Dimpoz wamepeleka posa nyumbani kwao atamchagua nani.Amberlulu alijibu "Obvious nitamchagua Jux" huku akifafanua kuwa msanii dimpoz hana mvuto hajakaa kiume,hivyo hawezi kubattle na Jux hata kidogo.



Ushauri kwa vijana wa kiume: Usithubutu kuzoeana sana na wtoto wa kike bila hata kuchombeza hata kama atakunyima ila fresh ushamuonyesha kuwa una uwezo wa kumlala la sivyo uta hanithiwa

Toa maoni yako bila kutukana mtu tafadhali
Yeye ambalulu ana nini maana sioni km ana mbele wala nyuma
 
Amber Lulu na Ommy Dimpoz itakuwa wanagombea bwana.
 
Back
Top Bottom