Amber lulu Ni zaidi ya Msanii

Ndengaso

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2014
Posts
7,831
Reaction score
14,259
Hichi Kichwa nilikiona kwenye Komaa Concert ya EFM Mwanza hakika kwa upande wa kina dada yeye ndie aliegusa nyoyo zetu wasukuma na kutuacha Hoi, Kama kuna mtu ambaye yupo karibu nae huku Tafadhali mwambie wasukuma tulimkubali sana, hata ao waandaji wakija na Tamasha Lingine Ruksa kumleta Amber Lulu tu peke yake nasisi bila hiyana tutalipa viingilio tu! by the way nnataka kumwita mtoto wangu Amber, hilo jina Kanisani linakubalika ??



 
Kama Wasukuma mmemkubali, UDC ukonjiani.
 
Mkuu ile show niliyoona vumbi tu kumbe kuna watu wenye akili timamu mliokua pale...

Mimi nilidhani ni vichaa tu na wanywa gongo wapo pale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…