Roho mbaya hiyo. Utamchukiaje binadam mwenzakoHata me napenda anavyoimba ila simpendi yy
Wana nini kwani?una hakika ni hilo tu.....au kuna jingine.....
maana wasukuma nyie.........
Ila Dada ana hips huyu mwehIla Dada ana pua huyu mweh
Eeh hips n booty analo ..mashallahIla Dada ana hips huyu mweh
Hakika mashAllah naona ...Eeh hips n booty analo ..mashallah
Nampenda sana ktk uimbaji !!Eeh hips n booty analo ..mashallah
Kama Wasukuma mmemkubali, UDC ukonjiani.Hichi Kichwa nilikiona kwenye Komaa Concert ya EFM Mwanza hakika kwa upande wa kina dada yeye ndie aliegusa nyoyo zetu wasukuma na kutuacha Hoi, Kama kuna mtu ambaye yupo karibu nae huku Tafadhali mwambie wasukuma tulimkubali sana, hata ao waandaji wakija na Tamasha Lingine Ruksa kumleta Amber Lulu tu peke yake nasisi bila hiyana tutalipa viingilio tu! by the way nnataka kumwita mtoto wangu Amber, hilo jina Kanisani linakubalika ??
Yea Mungu alijua kumuumbaHakika mashAllah naona ...
Mola alimpendelea....no wonder prezoo alimuiba kwa daudi.Yea Mungu alijua kumuumba
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji106] [emoji106] [emoji106]Wasukuma tangu lini mkawaa wajanja?
Kumbe aliibwa,!!??,mwehMola alimpendelea....no wonder prezoo alimuiba kwa daudi.
Hahaha...watu wanaiba na kuibiwa ndio....hilo la kushangaza kwani?Kumbe aliibwa,!!??,mweh