Amber lulu Ni zaidi ya Msanii

Amber lulu Ni zaidi ya Msanii

Hichi Kichwa nilikiona kwenye Komaa Concert ya EFM Mwanza hakika kwa upande wa kina dada yeye ndie aliegusa nyoyo zetu wasukuma na kutuacha Hoi, Kama kuna mtu ambaye yupo karibu nae huku Tafadhali mwambie wasukuma tulimkubali sana, hata ao waandaji wakija na Tamasha Lingine Ruksa kumleta Amber Lulu tu peke yake nasisi bila hiyana tutalipa viingilio tu! by the way nnataka kumwita mtoto wangu Amber, hilo jina Kanisani linakubalika ??



View attachment 822762View attachment 822763View attachment 822764
Dad Kakuskia......pendekeza wilaya sasa...
 
Ulikuwa umelewa kipindi anaperform au ni ushamba wako?
 
Mkuu ile show niliyoona vumbi tu kumbe kuna watu wenye akili timamu mliokua pale...

Mimi nilidhani ni vichaa tu na wanywa gongo wapo pale
😀😀😀😀 Aisee kuna muimba singeli alisema anataka kuona vumbi nao bila hiyana walimtimulia, i hope tamasha lijalo waandaaji watahakikisha hamna vumbi uwanjani!
 
Hutakiwi kujua ila nawe jitahidi ukutane nae. Nimuone wivu mtoto wa kike kwa lipi sasa au hukitaka ukweli au wewe ndie Amber mwemnyewe
niliyoyaona yanatosha kuconclude hata awe na madhaifu kiasi gani still ni mtu unayeweza kumsifia kwa mazuri yake
 
Back
Top Bottom