mtanganyika wa kweli
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 2,420
- 1,721
mzee hiyo n sketi hata ukibadil jina nkJombaa hiyo sio sketi, hiyo inaitwa KILT. Ni Traditional Wear ya Highlanders huko Scotland na inavaliwa na wanaume.
View attachment 577345
View attachment 577346
Ha..ha..ha...Jombaa, sketi ni sketi tu.Jombaa hiyo sio sketi, hiyo inaitwa KILT. Ni Traditional Wear ya Highlanders huko Scotland na inavaliwa na wanaume.
View attachment 577345
View attachment 577346
Mimba inavotesa huo uchungu ndo balaa unaumwa mpaka unataka kuwa chizi jaman.Wapuuzi tu hao, kuna wazazi wanazaa laana kwa kweeeli.... Hiyo siku mimba zao zilitungwa bora wazazi wao wangeenda kulima wavune mahindi
kweli Bongo Bahati MbayaHabari wanaJF, Ama kweli pesa haramu....pesa inaweza kukufanya ukaonyeshe hata sehemu zako za siri nje nje..... Oneni dada zetu wanavyotafuta pesa kwa nguvu sijui ni dhiki au tamaa
mi sijui.
View attachment 577369
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani hapo kunanini ambacho nikibaya maana hakuna maeneo ya siri yaliyoko wazi. Acha watu watengeneze pesa. Hakuna dhambi hapo.Habari wanaJF, Ama kweli pesa haramu....pesa inaweza kukufanya ukaonyeshe hata sehemu zako za siri nje nje..... Oneni dada zetu wanavyotafuta pesa kwa nguvu sijui ni dhiki au tamaa
mi sijui.
View attachment 577369
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna yule mwingine ana makalio mesui kweli mchafu mwili mzima wolpa alimtusi majuzi simuoni tenaHabari wanaJF, Ama kweli pesa haramu....pesa inaweza kukufanya ukaonyeshe hata sehemu zako za siri nje nje..... Oneni dada zetu wanavyotafuta pesa kwa nguvu sijui ni dhiki au tamaa
mi sijui.
View attachment 577369
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo wazazi wanasahau kuwaombea watoto wao, hivi kweeeli mtoto anafikia hatua kama hiyo????Mimba inavotesa huo uchungu ndo balaa unaumwa mpaka unataka kuwa chizi jaman.
Tuombe siku zote Mwenyezi Mungu atujalie watoto walio wema
Tuwaombee tu Mwenyezi Mungu awajalie uelewa waone wanakosea wajirekebishe maana unakuta hapo yeye anajionea sawa tu hizo picha hajaanza kupiga leo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaah amber lulu anao wazazi kwel huyoHabari wanaJF, Ama kweli pesa haramu....pesa inaweza kukufanya ukaonyeshe hata sehemu zako za siri nje nje..... Oneni dada zetu wanavyotafuta pesa kwa nguvu sijui ni dhiki au tamaa
mi sijui.
View attachment 577369
Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja na usimhukumu mtu,jeingekuwa ni watoto wako,ndugu,mdogo wako ungesapot kitu km hicho?Usimuhukumu mtu kabla hajafa Ndio maana kuna toba, unaijua kesho ya Amber lulu na young d? wewe umeshatubu dhambi Zako. Pambana na Hali yako kwanza.
Nitafanyaje ukishupaa kuwa kanzu dera ni sawa?mzee hiyo n sketi hata ukibadil jina nk
Kwa hiiyo msikitini watu wanavaa madela?Ha..ha..ha...Jombaa, sketi ni sketi tu.
Au ukiivaa Scotland inabadilika kuwa pajama ?
Wascotish wanaume wanavaa hiyo sketi inayoitwa KLT.
KLT ni mtindo tu wa Sketi za huko Uscoti.
Hiyo sio Suluari wala sio Kaptula.
Msanii anaweza kuivaa katika kazi yake ya Sanaa na kama ameinogesha Sanaa yake kwa hilo vazi basi ndio mafanikio yake.
Hiyo ndiyo Sanaa.