Amber Lulu, young D, Kwa picha hizi mtaenda kujibu nini kwa Mungu wenu muumba?

Usimuhukumu mtu kabla hajafa Ndio maana kuna toba, unaijua kesho ya Amber lulu na young d? wewe umeshatubu dhambi Zako. Pambana na Hali yako kwanza.
atashangaa anawakuta mbinguni.
 
Mziki ushawashinda sasa ni mabalaaa tu....ila ni kama kifo cha kuku tu lazima watape tape kwanza.
 
Wapuuzi tu hao, kuna wazazi wanazaa laana kwa kweeeli.... Hiyo siku mimba zao zilitungwa bora wazazi wao wangeenda kulima wavune mahindi
Hii ni kauli mbaya sana hii......wazazi wanazaa laana, wewe ni nani kusema hivyo? Usihukumu binadamu mwenzio.
 
Hii ishu ya kupakwa mafuta naona inashamir sana sku hz

Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
 
Usimuhukumu mtu kabla hajafa Ndio maana kuna toba, unaijua kesho ya Amber lulu na young d? wewe umeshatubu dhambi Zako. Pambana na Hali yako kwanza.
Haya maneno ndio tunatumia kuharibu kizazi chetu walahi.

Maadili yataendelea kuporoka hivi hivi eti kwa kuwa tusihukumu watu..

Yaani mwanamke anapost picha yuko uchi wa mnayama kashikwa makalia afu bado mnatetea upuuzi..

Acheni akili za ujuha.
 
hivi TCRA wako wapi siku hizi huyu binti anatafuta umaarufu kwa nguvu amesahau kama kuvua nguo hakukuongezei umaarufu utaishia kuchezewa na vibenbten
TCRA kazi yao wasikie wimbo unagusa MUNGU wao wa chatle.

Lakini upumbavu kama huu wanajifanya hawaoni.

brain is the beautiful part of the body.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…