Amber rutty asipokuwa makini ataenda kufungwa kiutani utani

Amber rutty asipokuwa makini ataenda kufungwa kiutani utani

alihojiwa na polisi na akakubali yeye na mpenzi wake, hawakuikana kuwa sio yao
Polisi ndo walitoa hiyo statement kwamba amekubali?? kama ndio, Polisi wameanza lini kuanika uchunguzi wa kesi za watu barabarani??
 
Yule bibie hayupo Sawa kichwani anaonekana anavuta Sana bangi mbaya zaidi inamkataa kichwani.
 
Itaamshwa siku kukiwa na kisanga kugeuza mawazo ya wa tz kwa sasa wacha iwe pending hivyo hivyo
 
Huwa nashidwa kuelewa Mbona aliyekuwa anamzibua hajakamatwa naye au tu kutafutwa au ana Jinsia Mbili alikuwa anajifanya Mwenyewe?
Kasema alilazimishwa haikuwa hiari yake,ndo maana hajakamatwa....
 
Yule bibie hayupo Sawa kichwani anaonekana anavuta Sana bangi mbaya zaidi inamkataa kichwani.
Yeah. Goba mitaa ya kwa mazulu masadari wanaserereka kitonga kwenye Amber yake. Malipo msokoto na safari ndogo mix nyagi.
 
Yule bibie hayupo Sawa kichwani anaonekana anavuta Sana bangi mbaya zaidi inamkataa kichwani.
Yeah. Goba mitaa ya kwa mazulu masadari wanaserereka kitonga kwenye Amber yake. Malipo msokoto na safari ndogo mix nyagi.
 
Wale askari waliomkaza ndiyo wanampotosha. Wameendelea kula nyapu wakimdanganya keshi itaisha kiaina tu
 
kujiita jina lolote hakuhalalishi maamuzi yoyote ya kesi, haya sbb tunajua kesi n mtaro, tuseme sasa angejiita maadam papuchu, au ajiite maadam swala tano angesamehewa???,

yule network kichwani zimekata hata uki restore ubongo unapoteza mda, wamsamehe kwa hilo na sio kumhukumu au kumsamehe kwa maneno, wala hajui mtu wa watu,
pili sijui sheria ila kitendo cha mtuhumiwa kukiri kosa halaf unamwachia bado hujaelewa? Dhamana ya nn? Aende akaage ndugu na marafiki? Yule tayar wameshaachana nae kihivyo, ukimweka ndani utaibua ya usagaji, wamwache ntu ya watu na tundu lake la choo na chemba yake mwenyewe.

Ni mawazo tuu
 
yule tayr anamakosaa
kujiita jina lolote hakuhalalishi maamuzi yoyote ya kesi, haya sbb tunajua kesi n mtaro, tuseme sasa angejiita maadam papuchu?, au ajiite maadam swala tano angesamehewa???,

yule network kichwani zimekata, wamsamehe kwa hilo na sio kumhukumu au kumsamehe kwa maneno, wala hajijui mtu wa watu,
pili sijui sheria ila kitendo cha mtuhumiwa kukiri kosa halaf unamwachia et kwa damana bado hujaelewa? Dhamana ya nn? Aende akaage ndugu na marafiki? Yule tayar wameshaachana nae kihivyo, ukimweka ndani utaibua ya usagaji, wamwache ntu ya watu na tundu lake la choo na chemba yake mwenyewe.

Ni mawazo tuu
 
Siku ambayo atakuja kuhukumiwa huyu dada watu mnaweza msiamini lakini ukweli ndio huo

Binti baada ya kutafutiwa dhamana akatoka, ilitakiwa kwa sasa atulie aweke mikakati ya kupambana na hii kesi maana mwanzo alibugi akakubali kuwa video ni yake na hajui ilivujaje

so hapo kukiri tu tayari kulimweka kwenye majanga maana kosa pale ni kuzibuana mtaro ndio kesi hatari inayoweza kumfunga kiutani utani maana alikiri kwenye ile video ni yeye

sasa binti huu mda alio nnje kwa dhamana alitakiwa autumie kuwekeza kwenye ibada na kujipanga ili kuruka ile kesi kama gwaji boy vile lakini, amber ndio kwanza kacharuka anajiita madam wowowo

Binti anahitaji watu wa kumshauri
huyu atafungwa kirejareja asipoangalia. Siui hana wazazi, marafiki wa kumshauri
 
Siku ambayo atakuja kuhukumiwa huyu dada watu mnaweza msiamini lakini ukweli ndio huo

Binti baada ya kutafutiwa dhamana akatoka, ilitakiwa kwa sasa atulie aweke mikakati ya kupambana na hii kesi maana mwanzo alibugi akakubali kuwa video ni yake na hajui ilivujaje

so hapo kukiri tu tayari kulimweka kwenye majanga maana kosa pale ni kuzibuana mtaro ndio kesi hatari inayoweza kumfunga kiutani utani maana alikiri kwenye ile video ni yeye

sasa binti huu mda alio nnje kwa dhamana alitakiwa autumie kuwekeza kwenye ibada na kujipanga ili kuruka ile kesi kama gwaji boy vile lakini, amber ndio kwanza kacharuka anajiita madam wowowo

Binti anahitaji watu wa kumshauri
Inabidi na yeye aseme lile "TAKO ni LA BAUNSA".
 
Back
Top Bottom