barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Wanakusanya ushahidi.Sasa mbona wanamchelewesha kumsukumia ndani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanakusanya ushahidi.Sasa mbona wanamchelewesha kumsukumia ndani
Polisi ndo walitoa hiyo statement kwamba amekubali?? kama ndio, Polisi wameanza lini kuanika uchunguzi wa kesi za watu barabarani??alihojiwa na polisi na akakubali yeye na mpenzi wake, hawakuikana kuwa sio yao
HahahaaaHii habari bila picha, nisawa na kuchuwa mgalala bila sabuni...teh
Kasema alilazimishwa haikuwa hiari yake,ndo maana hajakamatwa....Huwa nashidwa kuelewa Mbona aliyekuwa anamzibua hajakamatwa naye au tu kutafutwa au ana Jinsia Mbili alikuwa anajifanya Mwenyewe?
Yeah. Goba mitaa ya kwa mazulu masadari wanaserereka kitonga kwenye Amber yake. Malipo msokoto na safari ndogo mix nyagi.Yule bibie hayupo Sawa kichwani anaonekana anavuta Sana bangi mbaya zaidi inamkataa kichwani.
Yeah. Goba mitaa ya kwa mazulu masadari wanaserereka kitonga kwenye Amber yake. Malipo msokoto na safari ndogo mix nyagi.Yule bibie hayupo Sawa kichwani anaonekana anavuta Sana bangi mbaya zaidi inamkataa kichwani.
huyu atafungwa kirejareja asipoangalia. Siui hana wazazi, marafiki wa kumshauriSiku ambayo atakuja kuhukumiwa huyu dada watu mnaweza msiamini lakini ukweli ndio huo
Binti baada ya kutafutiwa dhamana akatoka, ilitakiwa kwa sasa atulie aweke mikakati ya kupambana na hii kesi maana mwanzo alibugi akakubali kuwa video ni yake na hajui ilivujaje
so hapo kukiri tu tayari kulimweka kwenye majanga maana kosa pale ni kuzibuana mtaro ndio kesi hatari inayoweza kumfunga kiutani utani maana alikiri kwenye ile video ni yeye
sasa binti huu mda alio nnje kwa dhamana alitakiwa autumie kuwekeza kwenye ibada na kujipanga ili kuruka ile kesi kama gwaji boy vile lakini, amber ndio kwanza kacharuka anajiita madam wowowo
Binti anahitaji watu wa kumshauri
Ebu Subiri .. Tuanzie Hapa KwanzaWowooo litamlinda
Inabidi na yeye aseme lile "TAKO ni LA BAUNSA".Siku ambayo atakuja kuhukumiwa huyu dada watu mnaweza msiamini lakini ukweli ndio huo
Binti baada ya kutafutiwa dhamana akatoka, ilitakiwa kwa sasa atulie aweke mikakati ya kupambana na hii kesi maana mwanzo alibugi akakubali kuwa video ni yake na hajui ilivujaje
so hapo kukiri tu tayari kulimweka kwenye majanga maana kosa pale ni kuzibuana mtaro ndio kesi hatari inayoweza kumfunga kiutani utani maana alikiri kwenye ile video ni yeye
sasa binti huu mda alio nnje kwa dhamana alitakiwa autumie kuwekeza kwenye ibada na kujipanga ili kuruka ile kesi kama gwaji boy vile lakini, amber ndio kwanza kacharuka anajiita madam wowowo
Binti anahitaji watu wa kumshauri