Ambrose Dunga: Producer aliyezivunja vunja Bongo Records, MJ Records kwa ma-beat makali yenye 'back vocals'

"The Rain (Supa Dupa Fly)" by Missy Elliott sampled Ann Peebles's "I Can't Stand the Rain". Hii ndio Moja kati ya ngoma Kali nazozielewa kutoka kwa Missy Elliot.
Hii ngoma pamoja na ile ya Aaliyah "Are you that somebody" hua ni shidaa. Infact karibu nyimbo zote kali za Aaliya na Miss Eliot aliproduce Timba.
 
Hapo kwenye muonekano ni kwamba tumezoea kuwaona wanaohusika kwenye tasnia ya burudani wanakuwa wamepiga pamba flani hivi na swagga kibao

Yaani hata mie nilikuwa nasikia ukubwa wa Dunga those days na wakati mwingine hata kumwona Dunga kwenye video ila nilikuwa sidhani kama yule wa kwenye video ndio Dunga

Kwenye wimbo wa Matonya wa ANITA unaweza ukasema msela flani tu wa kitaa hasa wimbo unapomalizikia wamekaa kwenye gogo I think
 
Na kuna Bwana anaoitwa Lindu, alikuwa mtayarishaji wa muziki wa hiphop miaka ya 2000s, sijui kama mpaka sasa bado anendelea na kazi hiyo. Alikuwa ni mwenye mwili sana (mnene) na anaonekana kama mzembe mzembe ila beat zake sasa ni balaa, moja ya kazi yake ni hii alifanya na Chid benz inaitwa natubu (2005)
 
Nimekoshwa na uandishi na upangiliaji wa facts, jamaa hakuwah waacha maproducer salama wakaishia kumfanyia visa,figisu na mwishowe hadi kumroga akaona isiwe kesi akaachana na tasnia kwa muda akarud kwao Kenya baada ya muda ndo karud tena bongo kuendeleza harakati zake cjui alienda kujipanga kivingine?
 

Unamkumbuka producer mmoja alikua anaitwa Prof. Ludigo.
Alitengeneza sana kazi za kina John Walker Wagosi wa Kaya.
Alipoteleaga wapi.
 
Walishuti Morogoro. Kitongoji kinaitwa Bigwa. Yule mzee anae onekana na Baskeli alikua anuzaga mkaa, na walimlipa 10000 kwa kazi ile aliyoifanya...!

Sent using Jamii Forums mobile app

Unafikiri Kwanini Matonya haku-make na kudumu kwenye game kama Diamond Platnumz! Maana alikuaga yuko on fire sana.
 
Najiuliza hapa vipi YouTube haiwezi files ku-corrupt na kila kitu kupotea?

inawezekena, lakin probability ni 0.002%.
Google wame-invest a lot of money YouTube. Kifupi YouTube ndio money making machine ya Google.
It's obvious wanazingatia all precautions kuepukana disaster kama hiyo itokee
 
inawezekena, lakin probability ni 0.002%.
Google wame-invest a lot of money YouTube. Kifupi YouTube ndio money making machine ya Google.
It's obvious wanazingatia all precautions kuepukana disaster kama hiyo itokee
Bila shaka wana back-ups za kufa mtu.
 
Ila P funk majani (bongo records), Royi(G-records), pia mika mwamba ilikuwa shida zaidi ya huyo dunga, kwa sasa wapo vijana wazuri tu wanagonga vinanda mfano...S2kizzy, Lizer, Blacky ni shidaa
 
Iyo Baba Style Ya Noorah Asee Si Mchezo Beat Yakee---
Jamaa Aligonga Base Apo[emoji3][emoji3]


Sent from my iPhone using JamiiForums
Daaah nilikuwaga najiuliza hilo dude kaligonga nani kumbe ni dunga aisee ile ngoma kwa mfano naanza hivi, nazunguka zunguka usidhani ni rahisi......................
 
Ila P funk majani (bongo records), Royi(G-records), pia mika mwamba ilikuwa shida zaidi ya huyo dunga, kwa sasa wapo vijana wazuri tu wanagonga vinanda mfano...S2kizzy, Lizer, Blacky ni shidaa
S2kizzy ni habari nyingine aisee, hadi P funk alimtaja kwaw vijana wanaotisha kwa mabeat...
 
Daaah nilikuwaga najiuliza hilo dude kaligonga nani kumbe ni dunga aisee ile ngoma kwa mfano naanza hivi, nazunguka zunguka usidhani ni rahisi......................

Afu Mbona Silioni Youtube??
 
Bila kuisahau na "Kichaa Cha Mbwa"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…