Ambwene Mwasonge amefanikiwa kupata mtoto wa kike

Ambwene Mwasonge amefanikiwa kupata mtoto wa kike

Jamii Forum nimeipigia salute kwa kukatisha watu tamaa.
Yaani watu badala ya kupongeza na kushare furaha na mhusika aliyepata mtoto baada ya kumtafuta kwa muda mrefu watu wanakuja kuleta tafrani na kuleta taharuki.

Very bad attitude.
Uchawi huo umewajaa.
 
Mbona niliskiaga kuna mwanamke alimpa mimba wakati akiwa ndani ya ndoa hii hii na akamlazimisha atoe hiyo mimba hadi akaharibu kizazi. Mda mwengine wanaume muwe makini na matendo mnayowafanyia wanawake. Wakiwa na vinyongo juu yenu mnaweza kusota.

Na kuna story nliwahi kuiskia miaka ya nyuma alitakaga kufanya tukio la kubaka mtu sema jamaa kajua kujificha kwenye mwamvuli wa gospel acha aserereke humo ila mke wake anapitia mateso mume ni muhuni balaa. Ugomvi mara kibao tu. Sema ndo hivo waimba gospel wana privilege nyingi sana za kuonekana watakatifu.
Hongera nyingi kwao
 
Mbona niliskiaga kuna mwanamke alimpa mimba wakati akiwa ndani ya ndoa hii hii na akamlazimisha atoe hiyo mimba hadi akaharibu kizazi. Mda mwengine wanaume muwe makini na matendo mnayowafanyia wanawake. Wakiwa na vinyongo juu yenu mnaweza kusota.

Na kuna story nliwahi kuiskia miaka ya nyuma alitakaga kufanya tukio la kubaka mtu sema jamaa kajua kujificha kwenye mwamvuli wa gospel acha aserereke humo ila mke wake anapitia mateso mume ni muhuni balaa. Ugomvi mara kibao tu. Sema ndo hivo waimba gospel wana privilege nyingi sana za kuonekana watakatifu.
Hongera nyingi kwao
Maneno tuu hayo jamaa mm namfahamu vzr sana sio mtu wa mambo hayo yani ampe mke mimba alafu aitoe...
 
Narudia tena huyo mtoto sio wake, najua kauli hii inawaudhi mashemeji wake humu ila ukweli ni huo kama haamini akapime DNA.

Wahuni sio watu.
 
Binafsi sijawahi ona mtandao ambao watu wake wanaact hivi, mpaka nahisi wana JF wengi wamekata tamaa ya maisha, sorry to say this.
Uko sahihi kiasi Fulani sio jf tu social media zote,watu wako bitter sana Wana husda ,uchinvi na chuki...
Yaani miàka Saba wanaona Mungu wakati Kuna watu walikaa miaka karibu 10 na kiyu ndo wakapata watoto
Kuna watu Wachawi sana
 
Mbona niliskiaga kuna mwanamke alimpa mimba wakati akiwa ndani ya ndoa hii hii na akamlazimisha atoe hiyo mimba hadi akaharibu kizazi. Mda mwengine wanaume muwe makini na matendo mnayowafanyia wanawake. Wakiwa na vinyongo juu yenu mnaweza kusota.

Na kuna story nliwahi kuiskia miaka ya nyuma alitakaga kufanya tukio la kubaka mtu sema jamaa kajua kujificha kwenye mwamvuli wa gospel acha aserereke humo ila mke wake anapitia mateso mume ni muhuni balaa. Ugomvi mara kibao tu. Sema ndo hivo waimba gospel wana privilege nyingi sana za kuonekana watakatifu.
Hongera nyingi kwao
Aloooohhhh
 
Mbona niliskiaga kuna mwanamke alimpa mimba wakati akiwa ndani ya ndoa hii hii na akamlazimisha atoe hiyo mimba hadi akaharibu kizazi. Mda mwengine wanaume muwe makini na matendo mnayowafanyia wanawake. Wakiwa na vinyongo juu yenu mnaweza kusota.

Na kuna story nliwahi kuiskia miaka ya nyuma alitakaga kufanya tukio la kubaka mtu sema jamaa kajua kujificha kwenye mwamvuli wa gospel acha aserereke humo ila mke wake anapitia mateso mume ni muhuni balaa. Ugomvi mara kibao tu. Sema ndo hivo waimba gospel wana privilege nyingi sana za kuonekana watakatifu.
Hongera nyingi kwao
Story za kusikia huwa zipo hivyo .

Ukute hata hayo yote ni mtu tuu anaamua kujitungia.
 
Mungu hawahi Wala hachelewi hatimaye Mzee wa siku amemkumbuka Ambwene.
 
Back
Top Bottom