HiDEmYiD
JF-Expert Member
- Mar 14, 2018
- 1,893
- 3,640
ItupieNenda isikilize nyimbo yake mpya inaitwa ALIKUTA IBADA kisha Rudi hapa tena umwite farisayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ItupieNenda isikilize nyimbo yake mpya inaitwa ALIKUTA IBADA kisha Rudi hapa tena umwite farisayo
Hata hivyo ni mtumishi wa Mungu, yeye haishii tu kujiita mwimbaji bali mtumishiHuyu dogo yuko juu ila ukimfuatilia ni kama na yeye anawaza kuanzisha kanisa lake.
Fatanua kidogo mkuuAnaweza kuburudisha
Kwa kanisa sidhan bado mweupe sana kichwan ni farisayo
Alisemaje?Niliona mahali ame comment upuuzi kwenye hoja ya kweli...
Nikajua yuko kidini na kikanuni zaidi badala ya kuwa kiroho kama walivyokuwa mafarisayo washika sheria
[emoji16][emoji16][emoji16] Kumlinganisha na Bukuku umeenda mbali sanaBinafsi namuona ni mwimbaji wa kawaida sana kwenye injili. Uimbaji wake mwingi ni ule ule, anaimba hadithi zake binafsi tu alizozipa melody (huenda ni true story lakini nyingi hazipo ndani ya Biblia). Sioni kama ana kidhi kuwa Icon wa muziki wa gospel.
Kiujumla Ambwene Mwasongwe ni mburudishaji na sio muinjilishaji. Yule ni Bahati Bukuku aliyechangamka.
Boaz wimbo wake wa uongezeke nauelewa sana, jamaa anakuja kasi sana.To me
Boaz danken, Paul mwangosi,,na wengineo Bado hawana majina lkn wapo vzr!
Hana anachokijua, mpuuzeNenda isikilize nyimbo yake mpya inaitwa ALIKUTA IBADA kisha Rudi hapa tena umwite farisayo
Bahati hajafikia hata nusu ya ambwene kwa uimbaji[emoji16][emoji16][emoji16] Kumlinganisha na Bukuku umeenda mbali sana
Ndio maana nkakwambia kuburidisha yuko sawa, kuna siku alitoa comment ya kifarisayo sana nikajua bado mweupeNenda isikilize nyimbo yake mpya inaitwa ALIKUTA IBADA kisha Rudi hapa tena umwite farisayo
Binafsi namuona ni mwimbaji wa kawaida sana kwenye injili. Uimbaji wake mwingi ni ule ule, anaimba hadithi zake binafsi tu alizozipa melody (huenda ni true story lakini nyingi hazipo ndani ya Biblia). Sioni kama ana kidhi kuwa Icon wa muziki wa gospel.
Kiujumla Ambwene Mwasongwe ni mburudishaji na sio muinjilishaji. Yule ni Bahati Bukuku aliyechangamka.
Aliyekuambia story za kuelezea ukuu wa Mungu lazima zitoke ndani ya Biblia ni nani?Binafsi namuona ni mwimbaji wa kawaida sana kwenye injili. Uimbaji wake mwingi ni ule ule, anaimba hadithi zake binafsi tu alizozipa melody (huenda ni true story lakini nyingi hazipo ndani ya Biblia). Sioni kama ana kidhi kuwa Icon wa muziki wa gospel.
Kiujumla Ambwene Mwasongwe ni mburudishaji na sio muinjilishaji. Yule ni Bahati Bukuku aliyechangamka.
Nikumbuke .Aliyekuambia story za kuelezea ukuu wa Mungu lazima zitoke ndani ya Biblia ni nani?
As if wakati Biblia ndio Mungu alitenda makuu na sasa amelala?
Nani atajua story ya mwimbaji ni kweli ikiwa haiko ndani ya Biblia?Aliyekuambia story za kuelezea ukuu wa Mungu lazima zitoke ndani ya Biblia ni nani?
As if wakati Biblia ndio Mungu alitenda makuu na sasa amelala?
Hiyo ni Copy&Paste ya Bahati Bukuku.Nyimbo zake zinaanza kwa story kwanza, halaf ndo mafunzo. Mwamba sana huyu
Sio lazima ukariri mambo ya miaka elfu 3 iliyopita. Wakati maisha yanaendelea mpaka sasa, na ushuhuda unaopatikana kwenye mazingira halisi una matter kuliko mastory ya zamaniHiyo ni Copy&Paste ya Bahati Bukuku.
Bahati Bukuku alitikisa sana kwenye gospel kwa style ya nyimbo za story, ilianza kwa story kutoka moja kwa moja kwenye Biblia, pesa iliponoga akaamua kuja na story zake za kubuni.
Na wimbo mpya wa "Unaweza" (Yeremia18) ameutendea haki!Boaz wimbo wake wa uongezeke nauelewa sana, jamaa anakuja kasi sana.