Ambwene Mwasongwe kwa sasa ndiyo icon ya nyimbo za injili

Ambwene Mwasongwe kwa sasa ndiyo icon ya nyimbo za injili

Boaz wimbo wake wa uongezeke nauelewa sana, jamaa anakuja kasi sana.
Noma sana
Mimi nipungue wewe uongezeke
Uongezeke Yesu uongezeke sana....

Na ana wimbo mpya wa "Unaweza"(Yeremia18)
Baadhi ya mashairi
..Bwana akamwambia Yeremia
Nenda nyumbani Kwa Mfinyanzi
Utamuona Mfinyanzi anavyofinyanga chombo
Kilichoharibika ,anakifinyanga Tena
Jinsi apendavyo yeye....
Yeremia 18

Muimbaji anaesoma neno la Mungu!
Ndo maana akiwa anaimba ,anahubiri pia,anaombea at the same time ,etc

Bila kusahau Dr Ipyana,Gwamaka(Essence of Worship)
 
Habari za jioni wana jamvi, nimekua nikimfuatilia huyu mwimbaji wa nyimbo za injili kwa miaka mingi sana.

Huyu jamaa kwa sasa ndiyo icon ya nyimbo za injili utunzi wake ni wakipekee sana, nyimbo zake zimetulia mno, natamani waimbaji wote wamtafute wajue nini siri ya mafanikio kwenye uimbaji wake

Baadhi ya nyimbo zake ni

  • Nimekumbukwa
  • Mwana wa Azali
  • Upendo wa kweli
  • Natamani sana
Mimi nawakubali waimbaji wote wa nyimbo za injili kutoka Tz,maana wa kwetu Kenya miyeyusho Sana hawanaga Cha kuimba zaidi ya mashushu tu.
 
Kuna utofauti mkubwa sana kati ya Ambwene na Mwaitege,vip ukitazama kiuhalisia hapo unamuona nan ni mburudishaji?? Alaf usikariri mafunzo kutoka ndan ya biblia tu..wengne wanafunzwa na dunia ndipo hurejea kwenye iman na hapo ndo nyimbo zake zimeegemea...inaonekana humfatilii,au una chuki nae au ni mweupe tu huna unalolijua!!
Binafsi namuona ni mwimbaji wa kawaida sana kwenye injili. Uimbaji wake mwingi ni ule ule, anaimba hadithi zake binafsi tu alizozipa melody (huenda ni true story lakini nyingi hazipo ndani ya Biblia). Sioni kama ana kidhi kuwa Icon wa muziki wa gospel.

Kiujumla Ambwene Mwasongwe ni mburudishaji na sio muinjilishaji. Yule ni Bahati Bukuku aliyechangamka.
 
Noma sana
Mimi nipungue wewe uongezeke
Uongezeke Yesu uongezeke sana....

Na ana wimbo mpya wa "Unaweza"(Yeremia18)
Baadhi ya mashairi
..Bwana akamwambia Yeremia
Nenda nyumbani Kwa Mfinyanzi
Utamuona Mfinyanzi anavyofinyanga chombo
Kilichoharibika ,anakifinyanga Tena
Jinsi apendavyo yeye....
Yeremia 18

Muimbaji anaesoma neno la Mungu!
Ndo maana akiwa anaimba ,anahubiri pia,anaombea at the same time ,etc

Bila kusahau Dr Ipyana,Gwamaka(Essence of Worship)
Vijana wa kutoka mbeya hawajawahi kuniangusha
 
Mimi napenda Sana ile inayoitwa "ombi langu" hasa verse ya pili
 
Back
Top Bottom