Chura
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,385
- 2,402
Mama wa watoto saba ni kambaUle wa upendo wa kweli aliimba kwa hisia sana. Pia ule unaomzungumzia mama aliyekuwa na watoto saba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama wa watoto saba ni kambaUle wa upendo wa kweli aliimba kwa hisia sana. Pia ule unaomzungumzia mama aliyekuwa na watoto saba.
Noma sanaBoaz wimbo wake wa uongezeke nauelewa sana, jamaa anakuja kasi sana.
Misuli ya imani ndio ngoma yangu pendwa hio kimsingi napenda melody yake zaidi mie mtu wa ma beats makali tu alichoimba kama uwongo shauri yake. Ila goma linatikisa vyema speakerMama wa watoto saba ni kamba
Unanitiaga uchungu sanaUle wa upendo wa kweli aliimba kwa hisia sana. Pia ule unaomzungumzia mama aliyekuwa na watoto saba.
Mimi nawakubali waimbaji wote wa nyimbo za injili kutoka Tz,maana wa kwetu Kenya miyeyusho Sana hawanaga Cha kuimba zaidi ya mashushu tu.Habari za jioni wana jamvi, nimekua nikimfuatilia huyu mwimbaji wa nyimbo za injili kwa miaka mingi sana.
Huyu jamaa kwa sasa ndiyo icon ya nyimbo za injili utunzi wake ni wakipekee sana, nyimbo zake zimetulia mno, natamani waimbaji wote wamtafute wajue nini siri ya mafanikio kwenye uimbaji wake
Baadhi ya nyimbo zake ni
- Nimekumbukwa
- Mwana wa Azali
- Upendo wa kweli
- Natamani sana
Binafsi namuona ni mwimbaji wa kawaida sana kwenye injili. Uimbaji wake mwingi ni ule ule, anaimba hadithi zake binafsi tu alizozipa melody (huenda ni true story lakini nyingi hazipo ndani ya Biblia). Sioni kama ana kidhi kuwa Icon wa muziki wa gospel.
Kiujumla Ambwene Mwasongwe ni mburudishaji na sio muinjilishaji. Yule ni Bahati Bukuku aliyechangamka.
Speaker mpaka zipasukeMisuli ya imani ndio ngoma yangu pendwa hio kimsingi napenda melody yake zaidi mie mtu wa ma beats makali tu alichoimba kama uwongo shauri yake. Ila goma linatikisa vyema speaker
Vijana wa kutoka mbeya hawajawahi kuniangushaNoma sana
Mimi nipungue wewe uongezeke
Uongezeke Yesu uongezeke sana....
Na ana wimbo mpya wa "Unaweza"(Yeremia18)
Baadhi ya mashairi
..Bwana akamwambia Yeremia
Nenda nyumbani Kwa Mfinyanzi
Utamuona Mfinyanzi anavyofinyanga chombo
Kilichoharibika ,anakifinyanga Tena
Jinsi apendavyo yeye....
Yeremia 18
Muimbaji anaesoma neno la Mungu!
Ndo maana akiwa anaimba ,anahubiri pia,anaombea at the same time ,etc
Bila kusahau Dr Ipyana,Gwamaka(Essence of Worship)
Ningeshangaa asingepatikana mtu wa kupondaMama wa watoto saba ni kamba
Noma kweli yAniSpeaker mpaka zipasuke
Sijaponda aisee, ila ndo ukweli kile kisa ni cha kusadikika ni kama tu bahati bukuku na ZindunoVijana wa kutoka mbeya hawajawahi kuniangusha
Una uhakika gani kuwa alikuwa ni yeyeNdio maana nkakwambia kuburidisha yuko sawa, kuna siku alitoa comment ya kifarisayo sana nikajua bado mweupe