Ambwene Yesaya (A.Y): The most gifted male artist

Ambwene Yesaya (A.Y): The most gifted male artist

Yusuph Issa

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2013
Posts
528
Reaction score
82
Anafahamika kama A.Y katika tasnia ya muziki lakini birth certificate anajulikana kama Ambwene Yesaya ni moja kati ya wasanii wanaojua nini wanafanya katika game ya muziki na kuweza kufanya vizuri nje na ndani ya Tanzania.

Kwa info zilizopo ni kwamba A.Y ameweza kuwa nomited katika tuzo za muziki cha channel O na kuweza kushindana na P square,Wizkid na wasanii wengine wakubwa kutoka afrika thi is a big stape for A.Y and Tanzania music.

Tafadhali wanajamvi tumpe nguvu A.Y kwa kumpigia kura aweze kurudisha heshima nyumbani (VOTE FOR A.Y)
 
Binafsi jamaa namkubali sana @ la kheri kwake.
 
Ametulia...no scandals. ...anajua nn anafanya....ht akiongea haongei pumba za swagger..hajisifu....yuko poa
 
anafahamika kama a.y katika tasnia ya muziki lakini birth certificate anajulikana kama ambwene yesaya ni moja kati ya watusanii wanaojua nini wanafanya katika game ya muziki na kuweza kufanya vizuri nje na ndani ya tanzania kwa info zilizopo ni kwamba a.y ameweza kuwa nomited katika tuzo za muziki cha channel o na kuweza kushindana na p square,wizkid na wasanii wengine wakubwa kutoka afrika thi is a big stape for a.y and tanzania music tafadhali wanajamvi tumpe nguvu a.y kwa kumpigia aweze kurudisha heshima nyumbani (VOTE FOR A.Y)
  • Namkubali A.Y, na hii si mara ya kwanza kuwa nominated katika tuzo za Channel O.
  • Kuna wakati yeye mwenye alikuwa anashangaa hapa nyumbani hakuwahi kuwa nominated kwenye KILI award(wakati huo), Ila nje ya nchi anakuwa nominated. Kwanini?
  • Jamaa yuko level ya juu, na kazi zake hulenga kimataifa zaidi. Big up AY
 
namkubali sana uyu jamaa,niliwai kukutana kwenye show malaysia na marekan anaongea kwa busara sana,harafu siyo mtu wa majigambo japo uwezo anao,pia hana scandal za kijinga za mademu,AY anakubalika sana Uganda na kenya ata wasanii wa uko wanamkubali sana na ameshirikiana na wasanii wa uganda wengi ata kenya pia.
 
yap ni msanii mzuri alotulia.nitampigia kura 2elekezane tu namna ya kuvote jamani
 
yap ni msanii mzuri alotulia.nitampigia kura 2elekezane tu namna ya kuvote jamani

usijali mdia how to vote for a.y ni rahisi first a.y amekuwa nomited katika category 3 yaani 1:MOST GIFTED MALE VIDEO a.y-romeo-lamiya-speak with your body CODE NUMBER 1E 2:MOST GIFTED AFRICAN EAST VIDEO a.y-sauti sol-i dont CODE NUMBER 13C 3:MOST GIFTED VIDEO OF THE YEAR a.y-marco chali-party zone CODE NUMBER 14J how to vote andika code number ya msanii halafu kwenda namba +278392084060 au unaweza kuvote kupitia website ya channel o au facebook page ya channel o au wap!!!
 
but why always AY for channel O staff??? every year ni yeye, is he really that undisputed??
 
Hivi huo wimbo alioimba na saut sol- i don't want to be alone, si ulikua nominated na kushinda mwaka jana?
Inakuaje na mwaka huu upo tena?
Anyways best of luck AY , huwa unatupa heshima sema tu nabii hakubaliki kwao..
 
Anafahamika kama A.Y katika tasnia ya muziki lakini birth certificate anajulikana kama Ambwene Yesaya ni moja kati ya wasanii wanaojua nini wanafanya katika game ya muziki na kuweza kufanya vizuri nje na ndani ya Tanzania.

Kwa info zilizopo ni kwamba A.Y ameweza kuwa nomited katika tuzo za muziki cha channel O na kuweza kushindana na P square,Wizkid na wasanii wengine wakubwa kutoka afrika thi is a big stape for A.Y and Tanzania music.

Tafadhali wanajamvi tumpe nguvu A.Y kwa kumpigia kura aweze kurudisha heshima nyumbani (VOTE FOR A.Y)

Huyu jamaa ana zali la kufanya colabo na wasanii wakubwa lakini anaimba pumba tupu.
 
Anafahamika kama A.Y katika tasnia ya muziki lakini birth certificate anajulikana kama Ambwene Yesaya ni moja kati ya wasanii wanaojua nini wanafanya katika game ya muziki na kuweza kufanya vizuri nje na ndani ya Tanzania.

Kwa info zilizopo ni kwamba A.Y ameweza kuwa nomited katika tuzo za muziki cha channel O na kuweza kushindana na P square,Wizkid na wasanii wengine wakubwa kutoka afrika thi is a big stape for A.Y and Tanzania music.

Tafadhali wanajamvi tumpe nguvu A.Y kwa kumpigia kura aweze kurudisha heshima nyumbani (VOTE FOR A.Y)

Kwa hiyo huyu bwana anamfunika Almasi-Platinum?
 
Notifeki ay ana zali tu,anaimba pumba ilo lilikuwa jibu la comment yake
 
Back
Top Bottom