Ameandika Polepole: Dios los bendiga a todosEmbajador Tanzano designado en Cuba

Yeye aliyepo Cuba na wewe Mwalimu shule ya nyamndindi liwale, Nani hapo anakomeshwa?
Jeifu kila mtu anamaisha mazuri na kudharau maisha ya mtu......yaani mtu anapata appointment na Rais halafu mtu yupo Madibila huko nyuma ya Keyboard anacomment Kwa dharau, only in Tz
 
Nimeshangaa Brother Pole Pole kateuliwa juzi juzi kuwa balozi wa CUBA leo anazungumza KiCUBA.

Ameandika "Dios los bendiga a todos
Embajador tanzano designado en Cuba"
kawaida kwani inashida gani mbona ni sawa tu na boda unafundisha asubuhi jioni anaingia mzigoni kuleta hela(kwani si kuna wakalimani kule hako kasentensi moja tu) kama vip basi afanye interview kwa hiyo lugha japo pamoja na hayo google ni mwalimu wa dunia
 
Ni sawa tu tuache complication.
Kispanish,nadhani,siyo Kireno. Huyu mtu haelewi lakini amefurahi.
Ni kama Albert Einstein alimwambia Charlie Chaplin,"What I admire about you ni kwamba huongei katika senema zako lakini bado unapendwa na watu."
Halafu Charles Chaplin anamwambia Einstein,"What I admire about you ni kwamba ukiongea watu hawaelewi hata neno moja lakini bado wanakupenda."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…