Tuendelee kuwakataa!Wahuni lazima wajulikane leo.
Wao wanachojua ni kugawana mapato yaliyoibuliwa na CAG
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuendelee kuwakataa!Wahuni lazima wajulikane leo.
Ninachojua Mhuni yeyote hawezi elewa lugha niliyotumia katika uzi huu. Uzi unaeleweka kwani mtu akisema Kielizabeth wewe unamwelewaje. Je kuna lugha ya kielizabeth? Wahuni waache kutuchangana. kama wameumia nao waende CUBAKuna Lugha ya Ki Cuba?
AMEN KUBWA"Mungu awabariki ninyi nyote,
Balozi Mteule wa Tanzania nchini Cuba"
Lakini jamani kwani kutumia translator ni tatizo? Kuna neno naweza kukupatia unitafsirie kwa kutumia translator na ukanipa maana ya uongo. Kutumia translator pia ni moja ya ujuzi.Halafu unfortunately hiyo translator huwa haileti maana halisi (contextual meaning) bali yanyewe inaleta tu tafsiri ya neno kwa neno.
So unaweza kukusudia kusema kitu fulani ukitumia translator unajikuta grammatically umekosea vibaya sana.
Mimi ni mwana jamii forum boss.Nje ya mada kidogo Meneja Wa Makampuni wewe ni jinsia gani?
Mbwa weAfu mtu anajiita meneja
Mwana jamii forum mwenye jinsia ganiMimi ni mwana jamii forum boss.
Boss tunainajisi nchi kivipi tenaIla miccm🙆🙆🙆
Kwahiyo hii nayo ni mada!!!
Mmeinajisi nchi.
WAHUNI hii mada sio nzuri kwenuWajinga mpo wengi kwani hawezi kuandikiwa?
Jana nimeandika nyuzi sita zinazohusu report ya CAG kwa kifupi report nmeshaichambua sana mpaka nimechoka. Fuatilia nyuzi zangu za jana. Nimetoa hadi teknolojia za kuwakamata kabla hawajaiba.Mjinga mwingine Chadema wanahisikaje na Ujinga wenu badala ya kujadili report ya Wizi wa Makada wenu mnajadili kuandika ujinga
"God bless you all Tanzanian - ambassador appointed in Cuba"Anaitumia vizuri Google translate, safi sana Balozi.
😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😀😀😀As'tutishe!
JF watoto wengi ndugu, akili zero halafu wanajiita Meneja MakampuniBaadhi ya Members Jamii forum dahhhhh.....
ANATUMIA Google translate.....
Mbona ishu ya kawaida sana???
Hii nayo ni ishu ya kukaa na kujadiliana watu wazima kweli?????
Kuna ishu za Ajira.
Mikopo.
Maslahi ya Nchi.
Katiba mpya.
Kilimo.
Mazingira.
Jkt/ jwtz, police nk
INASIKITISHA sana.
AMA KWELI ADUI UJINGA ANAONGEZEKA KWA KASI SANA.
Akijamba utupe taarifa tenaLakini jamani kwani kutumia translator ni tatizo? Kuna neno naweza kukupatia unitafsirie kwa kutumia translator na ukanipa maana ya uongo. Kutumia translator pia ni moja ya ujuzi.
Wanatafutana kwa lipi?apo chadema wanatafutana