Ameandika Polepole: Dios los bendiga a todosEmbajador Tanzano designado en Cuba

Ameandika Polepole: Dios los bendiga a todosEmbajador Tanzano designado en Cuba

Baadhi ya Members Jamii forum dahhhhh.....

ANATUMIA Google translate.....
Mbona ishu ya kawaida sana???

Hii nayo ni ishu ya kukaa na kujadiliana watu wazima kweli?????

Kuna ishu za Ajira.
Mikopo.
Maslahi ya Nchi.
Katiba mpya.
Kilimo.
Mazingira.
Jkt/ jwtz, police nk
INASIKITISHA sana.

AMA KWELI ADUI UJINGA ANAONGEZEKA KWA KASI SANA.
Wajinga wengi sana humu mkuu
 
Baadhi ya Members Jamii forum dahhhhh.....

ANATUMIA Google translate.....
Mbona ishu ya kawaida sana???

Hii nayo ni ishu ya kukaa na kujadiliana watu wazima kweli?????

Kuna ishu za Ajira.
Mikopo.
Maslahi ya Nchi.
Katiba mpya.
Kilimo.
Mazingira.
Jkt/ jwtz, police nk
INASIKITISHA sana.

AMA KWELI ADUI UJINGA ANAONGEZEKA KWA KASI SANA.
Nenda jukwaa la kilimo na biashara tuache si tujadili mambo ya kijinga hapa
 
Inaonyesha uelewa wako wa mambo ni mdogo sana halafu inaonekana wewe ni limbukeni flani
Sasa nikiwa na uelewa mdogo wa mambo wewe inakupa tatizo gani. Na nikiwa limbukeni wewe inakusumbua nini boss. Ninachojua MHUNI NI MHUNI TU. Na hizi ndio dalili za Mhuni.
 
Baadhi ya Members Jamii forum dahhhhh.....

ANATUMIA Google translate.....
Mbona ishu ya kawaida sana???

Hii nayo ni ishu ya kukaa na kujadiliana watu wazima kweli?????

Kuna ishu za Ajira.
Mikopo.
Maslahi ya Nchi.
Katiba mpya.
Kilimo.
Mazingira.
Jkt/ jwtz, police nk
INASIKITISHA sana.

AMA KWELI ADUI UJINGA ANAONGEZEKA KWA KASI SANA.
Halafu unfortunately hiyo translator huwa haileti maana halisi (contextual meaning) bali yanyewe inaleta tu tafsiri ya neno kwa neno.

So unaweza kukusudia kusema kitu fulani ukitumia translator unajikuta grammatically umekosea vibaya sana.
 
Back
Top Bottom