DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
We mtoa post una ujinga Sana , kicuba unakijua kweli yaani vijana wa Ccm hasa wanawake hamnaga kitu kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna akiliNa kukanyagana
Kuna lugha inaitwa kiCuba?Nimeshangaa Brother Pole Pole kateuliwa juzi juzi kuwa balozi wa CUBA leo anazungumza KiCUBA.
Ameandika "Dios los bendiga a todos
Embajador tanzano designado en Cuba"
Huo utoto alioandika hapo hata ww ukitaka kuupeleka kwenye lugha yoyote unaweza. Copy alichoandika kisha fungua Google translator uweke itafsiri kwa lugha yoyote utakayo.Na kukanyagana
PendejoNimeshangaa Brother Pole Pole kateuliwa juzi juzi kuwa balozi wa CUBA leo anazungumza KiCUBA.
Ameandika "Dios los bendiga a todos
Embajador tanzano designado en Cuba"
Watu wenye upeo mdogo hupenda kujadili vitu vidogo vidogo kama hivi maana ndipo uwezo wao unapoishia.Baadhi ya Members Jamii forum dahhhhh.....
ANATUMIA Google translate.....
Mbona ishu ya kawaida sana???
Hii nayo ni ishu ya kukaa na kujadiliana watu wazima kweli?????
Kuna ishu za Ajira.
Mikopo.
Maslahi ya Nchi.
Katiba mpya.
Kilimo.
Mazingira.
Jkt/ jwtz, police nk
INASIKITISHA sana.
AMA KWELI ADUI UJINGA ANAONGEZEKA KWA KASI SANA.
WAHUNI LEO WANA PRESSUREWatu wenye upeo mdogo hupenda kujadili vitu vidogo vidogo kama hivi maana ndipo uwezo wao unapoishia.
Boss tuwekee na reference, hii statement sii yako.Watu wenye upeo mdogo hupenda kujadili vitu vidogo vidogo kama hivi maana ndipo uwezo wao unapoishia.
Acha ubishi.Andika Kitanzania tuone.Mimi naona ipo sawa, "Kiswahili, Kiingereza, kifaransa, kichina, kicuba."
Hivyo ndivyo nilivyolenga kuandika ili kufikisha ujumbe kwa WAHUNI:Acha ubishi.Andika Kitanzania tuone.
Unashangaa nini halafu umeshika smartphone?Nimeshangaa Brother Pole Pole kateuliwa juzi juzi kuwa balozi wa CUBA leo anazungumza KiCUBA.
Ameandika "Dios los bendiga a todos
Embajador tanzano designado en Cuba"
apo chadema wanatafutana
wanahaha kama kawaida yaoKashawavuruga🤣🤣🤣🤣
Wa yote na vyote.Mimi ni hater WA nini??
Yeye aliyepo Cuba na wewe Mwalimu shule ya nyamndindi liwale, Nani hapo anakomeshwa?Jamaa kakomeshwa aisee.. CUBA!!?