Naamini kupitia mazungumzo yao jana Samia personally amepata wasaa wa kumfahamu Mbowe ni mtu wa aina gani, sio kusikiliza ushauri wa wasaidizi wake waliompoteza walipomdangqnya wana ushahidi wa kutosha kumfunga Mbowe.
Hapo ndipo kiini cha mazungumzo yao yalipokuwepo, kila mmoja anajua mwenzake anahitaji nini, na ni jukumu lake kuhakikisha anafanikisha hitaji la mwenzake kulingana na nafasi aliyonayo, akienda kinyume na mapatano pasiwepo na kisingizio chochote wala kubambikiana kesi, watanzanja wanaona sio wajinga.