Ameanza Tundu Lissu nchini Ubelgiji kisha impact yake ikawa Freeman Mbowe kufutiwa mashitaka na kisha straight Ikulu kuzungumza na Rais....

Ndio maana Lissu yeye alivyotoka akayamwaga yote kwano hakukuwa na haja ya usiri
 
Alikoswa koswa sana. Bila msaada wa wakenya tungeshafanya R.I.P kitambo
Yule baba alikuwa ana roho ya kikatili sana? Ila kitu kizuri ni kwamba mwishoni kabla mauti hayajamfikia idadi ya watu waliokuwa wakiokotwa katika viroba ilipungua. Huwenda kabla ya kufa alitubu
 
Yule baba alikuwa ana roho ya kikatili sana? Ila kitu kizuri ni kwamba mwishoni kabla mauti hayajamfikia idadi ya watu waliokuwa wakiokotwa katika viroba ilipungua. Huwenda kabla ya kufa alitubu
mipango yake mingi ilikuwa inavuja ikawa inafeli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…