Kabila gani wewe? Na mahari ilikuwa kiasi gani?Salaam kwenu nyote.
Ninaomba ushauri wenu kwenu Kaka zangu na Dada zangu. Mimi ni binti.
Nimekutana na changamoto katika mahusiano yangu. Kisa ni hiki.
Nilikuwa katika mahusiano na kijana mmoja kwa takriban miaka 4. Baadae ikaonekana ni vema tufahamishe mahusiano haya ngazi ya wazazi. Kijana alikuja nyumbani kwa tararibu zote na kupangiwa mahari. Wakati wote huo mimi na kijana tuko vizuri na mawasiliano kwa hakika yalikuwa mazuri mno. Naweza kusema hakukuwa na jambo au tatizo baina yetu na mwenzangu ambalo labda lingekuwa kikwazo.
Hata hivyo, week moja kabla kuelekea siku ya mahari mwenzangu alinifahamisha kwamba wamehairisha kuja nyumbani kwetu sababu familia yake imeona gharama walizopangiwa ni kubwa. Naye alishikilia msimamo kwamba anaungana na familia yake.. Nilijitahidi sana kumweleza kwamba waje na gharama walizojiandaa nazo lakini haikuwezekana tena kwa mwenzangu. Ni kama alishaamua kusitisha jambo hili na mahusiano yote kwa ujumla na kwa hivyo sikuweza kubadili chochote kutokea hapo.
Nimejitahidi mara kadhaa kutaka kujua iwapo kuna sababu nyingine ya sababu hiyo lakin mara zote mwenzangu amekuwa akijikita katika sababu tajwa hapo juu. Hata ninapomuuliza mwenzangu juu ya nini kinachoendelea mpka wakati huu bado hanipi majibu. Kimsingi, inaonekana hakuna mahusiano tena kwa sasa.
Ninaumia kwa namna mambo yalivyoenda na yalivyohitimishwa kwa namna isiyotarajika. ona ni kama ndoto, labda nipo ndotoni lakini ni ukweli ambao watu wanapitia. Nipo katika wakati mgumu mno, ukizingatia kwamba taarifa za jambo hili ziliwaslishwa kwa ndugu, jamaa na marafiki.
Nimekuja kwenu naomba ushauri, nahitajika kufanya nini ili niweze kuchukuliana na changamoto hii? Kuna wakati nashindwa kama binadamu naogopa kumfuru Mungu wangu. Nashindwa kusahau na namkumbuka sana kila wakati.
Na kwa nini yakuvurugikie...ujue umetaka mwenyewe tu.Mapenzi yakikuendea vizuri fresh ngoja mambo yavurugike ndio utajua hujui.
Acheni utani bwana, yaani mgegeduane kabla ya ndoa kitu kilichokatazwa alafu tena mseme ndoa upangwa na mungu. Kweli are we serious!???Pole sana.Ndoa hupangwa na Mungu.Kama huyo jamaa amebadili uamuzi muache aende, maana yawezekana ungefunga naye ndoa angekuja kubadilika na ungeona rangi zote.Usilazimishe ndoa,Kama Mungu amepanga uoelewe utaolewa tu bado hujachelewa.Usijipe mawazo,fanya ibada na kadiri siku zinavyoenda utamsahau.
Kwa hiyo kama tunarudi nyuma unashauri angemuacha huyo mwanaume au angefanyaje?Na kwa nini yakuvurugikie...ujue umetaka mwenyewe tuu.
Kama huyu dada yeye miaka minne mbusus inaliwa tuu huoni kuwa hamna muoaji hapo?
Wannawake most of the time mnalaume wanaume lakini ni uinga wenu wenyewe ndio unawapelekea huko. Miaka minne mnachunguzana nini?
Mwanamke unatakiwa uniamini bwana...if u quality lady mwanaume unampa miaka miwili, its either we tie the knot or its bye bye.Kwa hiyo kama tunarudi nyuma unashauri angemuacha huyo mwanaume au angefanyaje?
Haya tutabadilika.Mwanamke unatakiwa uniamini bwana...if u quality lady mwanaume unampa miaka miwili, its either we tie the knot or its bye bye.
Ila wengi wenu hamjiamini yaani kwa kuwa society imeweka kuwa mwanaume ndio ana propose basi mnabembeleza weee ata kama mnafangiwa ujinga.
Huyu alitakiwa kumpiga chini after two years basi. Yaani wee unageggedwa tuu miaka minne. Loh..u ladies dont love urselves at all!!!!
nenda kwa mwamposa tu kuna mchawi kwa ndugu zako huko ...amerogwa huyoFuatilia kwa makini nadhani utagundua kipi kimeingikia jambo lako, au kuna kitu hukiweka wazi kwa kulinda mapenzi yenu, na baada ya kupanga siku ya nahari na ndugu zako wengi kupata taarifa ya ujio wa wageni - siunajua ikishaingia kwenya familia na marafiki majirani kulijua hilo KATIYENU huwezi kujua labda amemwaga FIGISU, Pole Kila linalotokea chini ya jua lina sababu, muombe Mungu akupe mume mwema na mwenye upendo
I know...I feel your situation ..you real love the guy,Salaam kwenu nyote.
Ninaomba ushauri wenu kwenu Kaka zangu na Dada zangu. Mimi ni binti.
Nimekutana na changamoto katika mahusiano yangu. Kisa ni hiki.
Nilikuwa katika mahusiano na kijana mmoja kwa takriban miaka 4. Baadae ikaonekana ni vema tufahamishe mahusiano haya ngazi ya wazazi. Kijana alikuja nyumbani kwa tararibu zote na kupangiwa mahari. Wakati wote huo mimi na kijana tuko vizuri na mawasiliano kwa hakika yalikuwa mazuri mno. Naweza kusema hakukuwa na jambo au tatizo baina yetu na mwenzangu ambalo labda lingekuwa kikwazo.
Hata hivyo, week moja kabla kuelekea siku ya mahari mwenzangu alinifahamisha kwamba wamehairisha kuja nyumbani kwetu sababu familia yake imeona gharama walizopangiwa ni kubwa. Naye alishikilia msimamo kwamba anaungana na familia yake.. Nilijitahidi sana kumweleza kwamba waje na gharama walizojiandaa nazo lakini haikuwezekana tena kwa mwenzangu. Ni kama alishaamua kusitisha jambo hili na mahusiano yote kwa ujumla na kwa hivyo sikuweza kubadili chochote kutokea hapo.
Nimejitahidi mara kadhaa kutaka kujua iwapo kuna sababu nyingine ya sababu hiyo lakin mara zote mwenzangu amekuwa akijikita katika sababu tajwa hapo juu. Hata ninapomuuliza mwenzangu juu ya nini kinachoendelea mpka wakati huu bado hanipi majibu. Kimsingi, inaonekana hakuna mahusiano tena kwa sasa.
Ninaumia kwa namna mambo yalivyoenda na yalivyohitimishwa kwa namna isiyotarajika. ona ni kama ndoto, labda nipo ndotoni lakini ni ukweli ambao watu wanapitia. Nipo katika wakati mgumu mno, ukizingatia kwamba taarifa za jambo hili ziliwaslishwa kwa ndugu, jamaa na marafiki.
Nimekuja kwenu naomba ushauri, nahitajika kufanya nini ili niweze kuchukuliana na changamoto hii? Kuna wakati nashindwa kama binadamu naogopa kumfuru Mungu wangu. Nashindwa kusahau na namkumbuka sana kila wakati.
Kwahiyo unataka kusema hawa waliokwenye ndoa wote walioana wakiwa bikira? Asikudanganye mtu Kama Mungu hajaruhusu Jambo haliwezi kutendeka, hivyo hiyo ndoa ni mpango wa Mungu isifungwe.Acheni utani bwana, yaani mgegeduane kabla ya ndoa kitu kilichokatazwa alafu tena mseme ndoa upangwa na mungu. Kweli are we serious!???
Mfanye hivyo sio mnaliwa mbususu tuu alafu baadae mnaanza kulia lia hapa oh tall dark and handsome amenibwaga🤣🤣🤣🤣🤣Haya tutabadilika.
Sasa mbona tunapelekeana jela watu wakiiba au kuua...sii mipango ya mungu tuachie tuu wai e maana mungu ndio kawapangia hivyoKwahiyo unataka kusema hawa waliokwenye ndoa wote walioana wakiwa bikira? Asikudanganye mtu Kama Mungu hajaruhusu Jambo haliwezi kutendeka, hivyo hiyo ndoa ni mpango wa Mungu isifungwe.
Pole sana labda haikupangwa awe mmeoSalaam kwenu nyote.
Ninaomba ushauri wenu kwenu Kaka zangu na Dada zangu. Mimi ni binti.
Nimekutana na changamoto katika mahusiano yangu. Kisa ni hiki.
Nilikuwa katika mahusiano na kijana mmoja kwa takriban miaka 4. Baadae ikaonekana ni vema tufahamishe mahusiano haya ngazi ya wazazi. Kijana alikuja nyumbani kwa tararibu zote na kupangiwa mahari. Wakati wote huo mimi na kijana tuko vizuri na mawasiliano kwa hakika yalikuwa mazuri mno. Naweza kusema hakukuwa na jambo au tatizo baina yetu na mwenzangu ambalo labda lingekuwa kikwazo.
Hata hivyo, week moja kabla kuelekea siku ya mahari mwenzangu alinifahamisha kwamba wamehairisha kuja nyumbani kwetu sababu familia yake imeona gharama walizopangiwa ni kubwa. Naye alishikilia msimamo kwamba anaungana na familia yake.. Nilijitahidi sana kumweleza kwamba waje na gharama walizojiandaa nazo lakini haikuwezekana tena kwa mwenzangu. Ni kama alishaamua kusitisha jambo hili na mahusiano yote kwa ujumla na kwa hivyo sikuweza kubadili chochote kutokea hapo.
Nimejitahidi mara kadhaa kutaka kujua iwapo kuna sababu nyingine ya sababu hiyo lakin mara zote mwenzangu amekuwa akijikita katika sababu tajwa hapo juu. Hata ninapomuuliza mwenzangu juu ya nini kinachoendelea mpka wakati huu bado hanipi majibu. Kimsingi, inaonekana hakuna mahusiano tena kwa sasa.
Ninaumia kwa namna mambo yalivyoenda na yalivyohitimishwa kwa namna isiyotarajika. ona ni kama ndoto, labda nipo ndotoni lakini ni ukweli ambao watu wanapitia. Nipo katika wakati mgumu mno, ukizingatia kwamba taarifa za jambo hili ziliwaslishwa kwa ndugu, jamaa na marafiki.
Nimekuja kwenu naomba ushauri, nahitajika kufanya nini ili niweze kuchukuliana na changamoto hii? Kuna wakati nashindwa kama binadamu naogopa kumfuru Mungu wangu. Nashindwa kusahau na namkumbuka sana kila wakati.