Amebadilika siku chache kabla ya mahari

Izi situation zipo sana chamsingi ni kupiga konde moyo wako na kuuambia ukubaliane na matokeo halisi na Mungu ata kubless
 
Realty
 
Hapa ndio mtu hata alikua hajui ushirikina huanza kuutafuta.
 
Enzi zangu kuna dem alinipiga na kitu chenye ncha kali, alinivuruga sana fala yule kuna siku nikawaza labda nimseme kwa mama ndo ataeleweka.
 
Shalom ni salamu ya Watakatifu! Kama ulianza naye kwa UASHERATI usishange ikiwa hivyo!
 
Hapo tafuta mchumba mwingine, hakuna ndoa tena.
Au potezea suala la mahusiano na yeye kwa muda ili akili imkae sawa
 
Shetani huwa hapendi mambo ya Ndoa. Utahangaika kumu judge mwenzio bure wewe Tubu kwamba hamkumshirikisha Mungu na kwamba mlikuwa waasherati. Omba msaada wa Yesu wewe acha kabisa haya mambo yaone hivi hivi. Jipinde kwenye maombi ukipinga kila hila. Usimuache aende. Mimi bana Mkwe Hakutaka hata niende kwao na mwanamke akawasikiliza ati sina kazi. Binafsi sitaki kazi zaid ya ufugaji nikalia na bwana Yesu waliachia wote kama upofu hivi nikaoa afu wakawa macho hata mawasiliano nao sio mazur hawanikubal mi na wife tunadunda tu. Wewe pambana omba mpaka hatua ya mwisho. Najua hizi mambo mimi Naomba nikusaidie kuomba kama huwezi Njoo inbox.napenda kuomba kama ipo bas itakuwepo kama haipo bas. Naamin mkono wa Mtu na ni Nuksi kwenye familia
 
"SHUKURUNI KWA KILA JAMBO" HILI NENO LINAKUWA ZURI NA TAMU SANA KWA JAMBO AMBALO NI LA FURAHA, ILA JAMBO LIKIWA CHUNGU AU LA HUZUNI HILI SWALA LINAKUWA GUMU.
NINACHOTAKA UELEWE NI KWAMBA "ANYTHING HAPPEN FOR A REASON (S)" DADA YANGU KAMA KUNA KOSA UMEMFANYIA MUOMBE MSAMAHA KISHA NYAMAZA ILA KAMA HUJAFANYA LOLOTE BAYA MUACHE MUNGU AITWE MUNGU.MSHUKURU MUNGU SANA KWA SABABU HUJUI KAKUEPUSHA NA LIPI MPAKA HILO JAMBO LISITIMIE.
 
Hilo ni shambulio,huwakuta wengi,ushauri utaupata mwingi ila ushauri wa maneno matupu ni wa kukupa wewe nguvu sio kukusaidia kutatua,Jisafishe
 
Pole sn dada Naa
Mimi naamini itilafu imeanzia ktk tofauti za kifemilia, Kuna kipengele akilingani. Pia kijana ajamechua kua mume so anatii maamuzi ya wengine zaid ya kwake mwenyewe so naww usifanya maamuzi mabaya ili kulizisha wanafemilia wako ili uonekane perfect and innocent.
Imani inakubaliana na waenga kua "Ndoa upangwa mbinguni, pia tunasali na kuomba kuepukana na mabalaa, amini kua uyo jamaa ni balaa kwako.
Jipe mda relux in proper way ili maumivu yaeze kupungua maisha yanaendeea. Jikubali ww ni mzuwr sn na Bado unauzika utapata mwengine alie mwema zaid. Jamaa mpe ukimya anawezakugundua amekosea wap akajisawazisha mwenyewe.
Kaza moyo mrembo Baki na Mungu
 
Pole sana. Mahari aliyopangiwa na your net worth moyoni mwake haviendani akaamua kubwaga manyanga.
 
Bado anakula mbususu au !!??? Tatizo mahari zimekuja kuwa kama kufidia malezi ya watoto wa kike ..... Mtu unamtajia mahari kama unaenda kufungua duka la vifaa vya ujenzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…