BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
Hiyo avatar yako Sasa!!![emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Jamani pole najua unachopitia, nayahisi maumivu unayopitia
Bora hata huyu.Na kwa nini yakuvurugikie...ujue umetaka mwenyewe tuu.
Kama huyu dada yeye miaka minne mbusus inaliwa tuu huoni kuwa hamna muoaji hapo?
Wannawake most of the time mnalaume wanaume lakini ni uinga wenu wenyewe ndio unawapelekea huko. Miaka minne mnachunguzana nini?
Usimcheke bas yatakukuta[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole yataisha
Ah kabisa yaani wote ni washenzi tuu🤣🤣🤣🤣Kama alivyo Babu yako, baba yako, mjomba wako, kaka yako, mtoto wako kama unae SI ndio.....
Nitaishi hivyo mpaka nakufa mzeya.Sasa hayo maisha ya kihuni utaishi hivyo hadi lini @ Mzabzab a.k.a mzee wa mbususu? [emoji38]
Noma sana, yaani siku hizi wadada wana mtihani sana kuwa na uhakika wa asilimia 100 kwamba ndoa itafungwa kwasababu dakika za mwisho mwanaume anaweza kubadili uamuzi.Kila mtu siku hz analamika kuhus hiki swala la kutambulishana na watu kuingia mitini Kuna mdada nilimuona anamlaumu mtu Instagram anaitwa wililiam kwani jamaa ameingia mitini dakik za mwisho kbsa Sasa hata ndgu yangu aliingia mitini dakiika za mwisho kbsa na soda na sukari zimekwisha nywewa jamaa kaingia mitini na kwenda kuoa familia nyingine kwa tajiri Zaid
Siku moja Niko nae mahali aniniambia maswala mm kuoa ndio nikamuuliza broo mbna uliingia mitini kwa dada yule na tunasikia had soda ulizipeleka mnk cc kabila letu kuchumbia unaanza kwanza kwenda na soda kreti mbili na sukari kilo ,25 bas broo akanimbia kuwa anamshukuru mungu kwa kumtoa kwa yule bint kwani inasemekana demu alikuwa anagawa Sana k kwa Rika lote yaani
Je ulicho tueleza hapa ni kweli wewe hujakosea popote? Kama jibu ni ndio basi fanya hivi.Salaam kwenu nyote.
Ninaomba ushauri wenu kwenu Kaka zangu na Dada zangu. Mimi ni binti.
Nimekutana na changamoto katika mahusiano yangu. Kisa ni hiki.
Nilikuwa katika mahusiano na kijana mmoja kwa takriban miaka 4. Baadae ikaonekana ni vema tufahamishe mahusiano haya ngazi ya wazazi. Kijana alikuja nyumbani kwa tararibu zote na kupangiwa mahari. Wakati wote huo mimi na kijana tuko vizuri na mawasiliano kwa hakika yalikuwa mazuri mno. Naweza kusema hakukuwa na jambo au tatizo baina yetu na mwenzangu ambalo labda lingekuwa kikwazo.
Hata hivyo, week moja kabla kuelekea siku ya mahari mwenzangu alinifahamisha kwamba wamehairisha kuja nyumbani kwetu sababu familia yake imeona gharama walizopangiwa ni kubwa. Naye alishikilia msimamo kwamba anaungana na familia yake.. Nilijitahidi sana kumweleza kwamba waje na gharama walizojiandaa nazo lakini haikuwezekana tena kwa mwenzangu. Ni kama alishaamua kusitisha jambo hili na mahusiano yote kwa ujumla na kwa hivyo sikuweza kubadili chochote kutokea hapo.
Nimejitahidi mara kadhaa kutaka kujua iwapo kuna sababu nyingine ya sababu hiyo lakin mara zote mwenzangu amekuwa akijikita katika sababu tajwa hapo juu. Hata ninapomuuliza mwenzangu juu ya nini kinachoendelea mpka wakati huu bado hanipi majibu. Kimsingi, inaonekana hakuna mahusiano tena kwa sasa.
Ninaumia kwa namna mambo yalivyoenda na yalivyohitimishwa kwa namna isiyotarajika. ona ni kama ndoto, labda nipo ndotoni lakini ni ukweli ambao watu wanapitia. Nipo katika wakati mgumu mno, ukizingatia kwamba taarifa za jambo hili ziliwaslishwa kwa ndugu, jamaa na marafiki.
Nimekuja kwenu naomba ushauri, nahitajika kufanya nini ili niweze kuchukuliana na changamoto hii? Kuna wakati nashindwa kama binadamu naogopa kumfuru Mungu wangu. Nashindwa kusahau na namkumbuka sana kila wakati.
Umeupiga mwingi....haya maneno yachongewe fremu ya dhahabu...madini matupuMe nakushauri ktk yote USIJARIBU KUJIDHURU au KUDHURU, maisha ndio haya haya, wakat mwingine amini Mungu anakusudi kwa kila jambo linalotokea maishani mwako, liwe baya au zuri... Jikaze ishi maisha yako ya kawaida jipe furaha na amani, ukiwaza sana utakufa kwa presha na ugonjwa moyo...
WANAWAKE ambao hamjaolewa naomba niwaambie jambo, mwanaume akikuambia sasa siku fulani nataka nije kwenu kujitambulisha na kutoa mahali, jitahid sana kuwa mtulivu vuta hata wiki mbili au mwezi upime na uchunguze kama kweli anamaanisha (then mdanganye mwambie ushawajurisha ndug zako)
Baada ya hizo wiki 2 au mwez kupita, wajurishe wazaz/walez wako tu tena waambie wafanye siri, hakikisha ndug wengine wa muhimu unawaambia siku zikiwa zimebak chache hata kama ni siku 3 au 5 kabla ya tukio. Kwasabab wao hawana ulazima wakujurishwa mapema... Marafiki ndio hawafai kabisa ni bora uwaambie siku ya tukio au kutowaambia kabisa...
SIJUI KAMA NAELEWEKA, ni hivi mara nyingi sana hali ya migogoro hujitokeza baada ya wapendanao kuamua kuhalalisha mahusiano yao mbele ya wazaz na jamii, kwa njia ya mahali na kufunga ndoa. Huu ndio wakat shetan hutumia watu wengine kuharibu mahusiano hayo kwa njia ya kupenyeza maneno mabaya, uchawi na hila nyinginezo...
Ukitaka kujua hilo uliza watu walio ktk ndoa ktk watu 10 basi 5 watakuambia changamoto walizokutana nazo hadi kutamani kuacha zoez la mahali au ndoa...
Mimi nakumbuka nilijikuta tu siku za kutoa mahali zinakaribia ila sina morali yakwenda kutoa mahali na nitamani kuhairisha bila sababu ya msingi, Mungu ni mwema nilifanikisha...
Wanawake mtambue nyie mpo ktk risk kubwa sana ya kuharibiwa kisaikolojia kwa matukio kama hayo. Mwanaume ukimwambia umeghairi kupokea mahali yake siku 3 kabla ya tukio, usishangae the same day anatoa mahali kwa mtu mwingine, the moment mwanaume anakutambulisha kwao basi ujue kuna wanawake wengine wawili au watatu amewatambulisha na wote anaona wanafaa kuwa mke...
Ila sasa uwakjte huku kwenye marimba ya mzungu, full nyodo mara nataka mwanaume mwenye degree, mara sijui ana gari mara sijui tall dark and handsome...tafikiria wanaridhika na de libolo moja.Noma sana, yaani siku hizi wadada wana mtihani sana kuwa na uhakika wa asilimia 100 kwamba ndoa itafungwa kwasababu dakika za mwisho mwanaume anaweza kubadili uamuzi.
Wabadilike kivipi?Na kwanini mlimwambia alipe mahari wakati mzigo ameshautafuna na kuutumia kwa miaka minne mfululizo?
Hivi zama hizi bado kuna wanaume wanaopapatikia kuoa?
Sasa akitokea huyo mwanaume wa kutaka kuoa bado watu wanamdai alipe mahari, how? Akisepa mnalaumu.
Badilikeni jamani.