Amebadilika siku chache kabla ya mahari

Amebadilika siku chache kabla ya mahari

Wajati mwingine muache aende......

Hujui unaepushwa na nini....

Wanaume wenyewe hawa wengi ni vitunguu maji....
 
  • Thanks
Reactions: Luv
Vijana tumekuwa ovyo Kama mahari waombe washushe

Mi nashangaa kipind nasoma chuo kuna demu alivalishwa Peter ya uchumba kiji sherehe kidogo kutambulishwa tukajua tayar mpaka miak miwili mbele eti ndoa bado ila ni mda sijafualia miaka imepita sijui walioana
 
Shida hapa tumesikia ya upande mmoja.
Na bahati mbaya wanaume huwa hatusemi ya upande wetu tunakaa kimya na kupotea nayo.
Lakini kwa mtu ambaye alikuwa na nia ya kuoa kupotea hivi hivi sio rahisi.
Kuna sababu kubwa Sana.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Na kwa nini yakuvurugikie...ujue umetaka mwenyewe tuu.
Kama huyu dada yeye miaka minne mbusus inaliwa tuu huoni kuwa hamna muoaji hapo?
Wannawake most of the time mnalaume wanaume lakini ni uinga wenu wenyewe ndio unawapelekea huko. Miaka minne mnachunguzana nini?
Bora hata huyu.
Sasa Kuna mwingine Ile tu jamaa alivyojitambulisha kwao akahamia kwa binti.
Kumbe kazi alishafukuzwa akazuga ili apate pa kulelewa.
Akazuga mwaka mzima na hakwenda kulipa mahari.
Alivyopata kazi akasepa na kuoa mwanamke mwingine.
Wana akili kwani hawa?

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Kila mtu siku hz analamika kuhus hiki swala la kutambulishana na watu kuingia mitini Kuna mdada nilimuona anamlaumu mtu Instagram anaitwa wililiam kwani jamaa ameingia mitini dakik za mwisho kbsa Sasa hata ndgu yangu aliingia mitini dakiika za mwisho kbsa na soda na sukari zimekwisha nywewa jamaa kaingia mitini na kwenda kuoa familia nyingine kwa tajiri Zaid

Siku moja Niko nae mahali aniniambia maswala mm kuoa ndio nikamuuliza broo mbna uliingia mitini kwa dada yule na tunasikia had soda ulizipeleka mnk cc kabila letu kuchumbia unaanza kwanza kwenda na soda kreti mbili na sukari kilo ,25 bas broo akanimbia kuwa anamshukuru mungu kwa kumtoa kwa yule bint kwani inasemekana demu alikuwa anagawa Sana k kwa Rika lote yaani
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole yataisha
Usimcheke bas yatakukuta
 
Muachage tamaa, mzazi anakua kama anauza bint yake vile
 
Mkuu kwani alikuja kwenu bila wewe kumpa hints za taratibu za kuoa huko kwenu?Kwa kawaida lazima kwanza uongee na mama yako akupe hints za uoaji huko kwenu ili mkuwe na rough idea ya nini kinatakiwa na kama kuna uwezo wa kutoa.Kama hakuna mnajichanga wewe na yeye.Ama la mnafanya kimya kimya.

Sasa wewe umemleta kwenu kavaa vizuri,ananukia vizuri wazazi wakaamua kumpima kisha akakimbia hapo tatizo lipo.Kama ni wako ni wako tu ila kama sio wako niambie hio mahari alokimbia ni kiasi gani ili nikupe nia nyepesi ya kutoroka humo.
 
Japo huu mwandiko ni wakiume ila ushauri wa bure kitendo cha kumwambia aje na mahari yoyote iliyopo naamekataa automatically sisababu tena yakusingizia. Usifosi huyo hakutaki na ndoshida yakutinduliwa na mtu mmoja kwa mda mrefu tukiwatongoza mnasema nina boyfriend, boyfriend ndohuyo sasa umekuja kuomba ushauri ukiwa unatoa makamasi
 
Sasa hayo maisha ya kihuni utaishi hivyo hadi lini @ Mzabzab a.k.a mzee wa mbususu? [emoji38]
Nitaishi hivyo mpaka nakufa mzeya.
Wee wala usiumize kichwa kaka ndani ya miaka kumi ijayo, wanawake watakuja kutuomba tuwaoe ata wakiwa wake wa pili. So sina haraka i know when the time is ryt warembo wataleta mbususu zao wakiomba niwe mme wao
 
Kila mtu siku hz analamika kuhus hiki swala la kutambulishana na watu kuingia mitini Kuna mdada nilimuona anamlaumu mtu Instagram anaitwa wililiam kwani jamaa ameingia mitini dakik za mwisho kbsa Sasa hata ndgu yangu aliingia mitini dakiika za mwisho kbsa na soda na sukari zimekwisha nywewa jamaa kaingia mitini na kwenda kuoa familia nyingine kwa tajiri Zaid

Siku moja Niko nae mahali aniniambia maswala mm kuoa ndio nikamuuliza broo mbna uliingia mitini kwa dada yule na tunasikia had soda ulizipeleka mnk cc kabila letu kuchumbia unaanza kwanza kwenda na soda kreti mbili na sukari kilo ,25 bas broo akanimbia kuwa anamshukuru mungu kwa kumtoa kwa yule bint kwani inasemekana demu alikuwa anagawa Sana k kwa Rika lote yaani
Noma sana, yaani siku hizi wadada wana mtihani sana kuwa na uhakika wa asilimia 100 kwamba ndoa itafungwa kwasababu dakika za mwisho mwanaume anaweza kubadili uamuzi.
 
Salaam kwenu nyote.

Ninaomba ushauri wenu kwenu Kaka zangu na Dada zangu. Mimi ni binti.

Nimekutana na changamoto katika mahusiano yangu. Kisa ni hiki.

Nilikuwa katika mahusiano na kijana mmoja kwa takriban miaka 4. Baadae ikaonekana ni vema tufahamishe mahusiano haya ngazi ya wazazi. Kijana alikuja nyumbani kwa tararibu zote na kupangiwa mahari. Wakati wote huo mimi na kijana tuko vizuri na mawasiliano kwa hakika yalikuwa mazuri mno. Naweza kusema hakukuwa na jambo au tatizo baina yetu na mwenzangu ambalo labda lingekuwa kikwazo.

Hata hivyo, week moja kabla kuelekea siku ya mahari mwenzangu alinifahamisha kwamba wamehairisha kuja nyumbani kwetu sababu familia yake imeona gharama walizopangiwa ni kubwa. Naye alishikilia msimamo kwamba anaungana na familia yake.. Nilijitahidi sana kumweleza kwamba waje na gharama walizojiandaa nazo lakini haikuwezekana tena kwa mwenzangu. Ni kama alishaamua kusitisha jambo hili na mahusiano yote kwa ujumla na kwa hivyo sikuweza kubadili chochote kutokea hapo.

Nimejitahidi mara kadhaa kutaka kujua iwapo kuna sababu nyingine ya sababu hiyo lakin mara zote mwenzangu amekuwa akijikita katika sababu tajwa hapo juu. Hata ninapomuuliza mwenzangu juu ya nini kinachoendelea mpka wakati huu bado hanipi majibu. Kimsingi, inaonekana hakuna mahusiano tena kwa sasa.

Ninaumia kwa namna mambo yalivyoenda na yalivyohitimishwa kwa namna isiyotarajika. ona ni kama ndoto, labda nipo ndotoni lakini ni ukweli ambao watu wanapitia. Nipo katika wakati mgumu mno, ukizingatia kwamba taarifa za jambo hili ziliwaslishwa kwa ndugu, jamaa na marafiki.

Nimekuja kwenu naomba ushauri, nahitajika kufanya nini ili niweze kuchukuliana na changamoto hii? Kuna wakati nashindwa kama binadamu naogopa kumfuru Mungu wangu. Nashindwa kusahau na namkumbuka sana kila wakati.
Je ulicho tueleza hapa ni kweli wewe hujakosea popote? Kama jibu ni ndio basi fanya hivi.

1.Usimtafute kwa njia yeyote, iwe sms wala call
2. Usionge chochote kwa ndugu zao
3.usiongee mahusiano yeyote kwa sasa
4. Ikipita miezi miwili njoo utuandikie hapa majibu utakayo pata.

Si unaweza kufanya hivyo?
 
Me nakushauri ktk yote USIJARIBU KUJIDHURU au KUDHURU, maisha ndio haya haya, wakat mwingine amini Mungu anakusudi kwa kila jambo linalotokea maishani mwako, liwe baya au zuri... Jikaze ishi maisha yako ya kawaida jipe furaha na amani, ukiwaza sana utakufa kwa presha na ugonjwa moyo...

WANAWAKE ambao hamjaolewa naomba niwaambie jambo, mwanaume akikuambia sasa siku fulani nataka nije kwenu kujitambulisha na kutoa mahali, jitahid sana kuwa mtulivu vuta hata wiki mbili au mwezi upime na uchunguze kama kweli anamaanisha (then mdanganye mwambie ushawajurisha ndug zako)
Baada ya hizo wiki 2 au mwez kupita, wajurishe wazaz/walez wako tu tena waambie wafanye siri, hakikisha ndug wengine wa muhimu unawaambia siku zikiwa zimebak chache hata kama ni siku 3 au 5 kabla ya tukio. Kwasabab wao hawana ulazima wakujurishwa mapema... Marafiki ndio hawafai kabisa ni bora uwaambie siku ya tukio au kutowaambia kabisa...
SIJUI KAMA NAELEWEKA, ni hivi mara nyingi sana hali ya migogoro hujitokeza baada ya wapendanao kuamua kuhalalisha mahusiano yao mbele ya wazaz na jamii, kwa njia ya mahali na kufunga ndoa. Huu ndio wakat shetan hutumia watu wengine kuharibu mahusiano hayo kwa njia ya kupenyeza maneno mabaya, uchawi na hila nyinginezo...
Ukitaka kujua hilo uliza watu walio ktk ndoa ktk watu 10 basi 5 watakuambia changamoto walizokutana nazo hadi kutamani kuacha zoez la mahali au ndoa...
Mimi nakumbuka nilijikuta tu siku za kutoa mahali zinakaribia ila sina morali yakwenda kutoa mahali na nitamani kuhairisha bila sababu ya msingi, Mungu ni mwema nilifanikisha...
Wanawake mtambue nyie mpo ktk risk kubwa sana ya kuharibiwa kisaikolojia kwa matukio kama hayo. Mwanaume ukimwambia umeghairi kupokea mahali yake siku 3 kabla ya tukio, usishangae the same day anatoa mahali kwa mtu mwingine, the moment mwanaume anakutambulisha kwao basi ujue kuna wanawake wengine wawili au watatu amewatambulisha na wote anaona wanafaa kuwa mke...
Umeupiga mwingi....haya maneno yachongewe fremu ya dhahabu...madini matupu
 
Noma sana, yaani siku hizi wadada wana mtihani sana kuwa na uhakika wa asilimia 100 kwamba ndoa itafungwa kwasababu dakika za mwisho mwanaume anaweza kubadili uamuzi.
Ila sasa uwakjte huku kwenye marimba ya mzungu, full nyodo mara nataka mwanaume mwenye degree, mara sijui ana gari mara sijui tall dark and handsome...tafikiria wanaridhika na de libolo moja.

Swali kwao kwani kuolewa ni lazima? Maana kama kugeggedwa mwanamke hawezi kosa de libolo na pia ata mimba akitaka atapewa akalee mwenyewe.
 
Na kwanini mlimwambia alipe mahari wakati mzigo ameshautafuna na kuutumia kwa miaka minne mfululizo?

Hivi zama hizi bado kuna wanaume wanaopapatikia kuoa?
Sasa akitokea huyo mwanaume wa kutaka kuoa bado watu wanamdai alipe mahari, how? Akisepa mnalaumu.

Badilikeni jamani.
Wabadilike kivipi?
 
Back
Top Bottom