Ameibiwa vitu vya ndani pamoja na simu, je anaweza wapata wezi kupitia simu?

Ameibiwa vitu vya ndani pamoja na simu, je anaweza wapata wezi kupitia simu?

BOMBAY

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2014
Posts
4,732
Reaction score
3,508
Habari wakuu,

Dada yangu ameibiwa vitu vya ndani pamoja na simu zake, je naweza kuipata vitu kwa kutumia simu ikiwa hakumbuki IMEI za simu?
 
Haya thread imekamilika. Kwamba hupajui polisi? Kwamba mtu hana IMEI anapataje simu ? Dadako ajipange anunue simu mpya na TV.
 
Habari wakuu, Dada yangu ameibiwa vitu vya ndani pamoja na simu zake, je naweza kuipata vitu kwa kutumia simu ikiwa hskumbuki IMEI Za simu?
Mkuu aende kwanza ku report Polisi kisha nitafute mimi nipate kumshughulikia huyo mwizi atarudisha mwenyewe vitu vyote alivyoiba.
 
Mnatuchanganya kweli yaani. mwingine anafungua uzi kuwa kaokota simu ila kaambiwa na polisi kuwa simu iliibiwa na vitu vya ndani wewe tena unakuja na uzi ni dada yako ndio kaibiwa simu na vitu vya ndani!

Wasilianeni basi pm myamalize wenyewe jamani
 
Habari wakuu, Dada yangu ameibiwa vitu vya ndani pamoja na simu zake, je naweza kuipata vitu kwa kutumia simu ikiwa hskumbuki IMEI Za simu?
Kuhusu simu, sahau,huwezi kuipata,hata akifsnikiwa kujua ilipo, Hao vibaka wataiaribu tu, hawana cha kupotezea, cha msingi ni kwenda Mitandso ya cm, na kufunga laini zake zote,
 
Back
Top Bottom