Mtumishi Mkuu
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 259
- 92
huko ni kumuendekeza mke wako
unapaswa kabisa kumuuliza wataondoka lini
hata kama wamekuja na nauli yao kabisa....
wewe ndo baba mwenye nyumba lazima ujue wageni wako wataondoka lini
tena hilo swali ungeuliza siku ya kwanza kabisa....
tena ungewauliza wenyewe...bila kuogopa.......
ni vizuri kuuliza wataondoka lini?
wamekuja kusalimia tu au wana shida nyingine?
wagonjwa?
au kuna pesa wanataka kutoka kwako?
au wana safari nyingine hapo ni transit?.......
Mkuu wengi wetu hatuna ujasiri huo na ndio maana tunajikuta tunaumia ndani kwa ndani. Kimsingi huu woga na kundekeza yasiyotakiwa kuendekezwa nidko kunakotuzamisha kwenye dimbwi la umaskini!