Amekasirika mume wake anataka kuoa mke mwingine

Amekasirika mume wake anataka kuoa mke mwingine

Makaura

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
892
Reaction score
295
Nimesikitika sana leo asubuhi rafiki yangu ananitaarifu kua ni wiki sasa mke wake hana amani na furaha kisa amempa taarifa kua ana mchumba na anataka kumuoa.

Cha kusikitisha zaidi jamaa amemwakikishia kua mke wake wa pili hatokaa kwenye Nyumba wanayoishi kwa sasa bali ataenda kukaa kwenye nyumba mpya alionunua Tegeta.

Mila na desturi ya kabila la rafiki yangu inaruhusu ndoa zaidi ya nke mmoja na pia uwezo wake kiuchumi unarusu. Wadada mna matatizo gani siku hizi kwanini mnachukiana.

Hivyo kwa ufupi mi nilimshauri aendelee na mipango yake ya kua na mke wa pili kwani uchumi wake unamruhusu na provided yeye ni mkristo jina. Wadada mbadilike basi.
 
Kumbe wakristo wanaruhusiwa eeh mke wa pili nilikua sijui au sijakuelewa vizuri? au niulize mkristo jina anakuwaje?
 
wanawake wamekuwa wachoyo sana siku hizi. Hebu amuwache baba wa watu aoe bwana.
cc Kongosho, snowhite mje mumfunde huyu mama anatuaibisha hapa:yawn:
 
Last edited by a moderator:
Kumbe wakristo wanaruhusiwa eeh mke wa pili nilikua sijui au sijakuelewa vizuri? au niulize mkristo jina anakuwaje?

haendi kanisani wala haamini kivile ktk ukristo.zaidi ya miaka kumi haendi kwa church
 
Hakuna mkristo anayeruhusiwa kuoa mke zaidi ya mmoja...mila na desturi zingine inabidi ziangaliwe mara mbili mbili jaman...mwshowe huyo mkewe afe kwa presha bure
 
Hizo Mila hazina kitoka unyumba....hii kitu inakubaliwa kwa baadhi ya makabila lakini inaathari nyingi kisaikologia
 
ni mkristo jina mkuu mara ya mwisho kwenda kanisani ni 2005

ahaaaa....nimecheka sana jinsi mdau alivyo "mchambua" mdau wetu.
yaani mwana ana "muongo" mmoja hajagusa kunako hekalu la bwana....daa jamaa nime mpigia saluti.
 
Back
Top Bottom