Amekasirika mume wake anataka kuoa mke mwingine

Amekasirika mume wake anataka kuoa mke mwingine

Nimesikitika sana leo asubuhi rafiki yangu ananitaarifu kua ni wiki sasa mke wake hana amani na furaha kisa amempa taarifa kua ana mchumba na anataka kumuoa.

Cha kusikitisha zaidi jamaa amemwakikishia kua mke wake wa pili hatokaa kwenye Nyumba wanayoishi kwa sasa bali ataenda kukaa kwenye nyumba mpya alionunua Tegeta.

Mila na desturi ya kabila la rafiki yangu inaruhusu ndoa zaidi ya nke mmoja na pia uwezo wake kiuchumi unarusu. Wadada mna matatizo gani siku hizi kwanini mnachukiana.

Hivyo kwa ufupi mi nilimshauri aendelee na mipango yake ya kua na mke wa pili kwani uchumi wake unamruhusu na provided yeye ni mkristo jina. Wadada mbadilike basi.

Huyo rafiki yako atakuwa anatoka kure kwetu ambako mwanaume mmocha anakura mighate mitatu na bhikombe kumi bya chai asubhui. ingawa mimi nina mke mmocha tu.
 
Nimesikitika sana leo asubuhi rafiki yangu ananitaarifu kua ni wiki sasa mke wake hana amani na furaha kisa amempa taarifa kua ana mchumba na anataka kumuoa.

Cha kusikitisha zaidi jamaa amemwakikishia kua mke wake wa pili hatokaa kwenye Nyumba wanayoishi kwa sasa bali ataenda kukaa kwenye nyumba mpya alionunua Tegeta.

Mila na desturi ya kabila la rafiki yangu inaruhusu ndoa zaidi ya nke mmoja na pia uwezo wake kiuchumi unarusu. Wadada mna matatizo gani siku hizi kwanini mnachukiana.

Hivyo kwa ufupi mi nilimshauri aendelee na mipango yake ya kua na mke wa pili kwani uchumi wake unamruhusu na provided yeye ni mkristo jina. Wadada mbadilike basi.

sometimes I wonder what would happen if our wives will wake up one morning and say "mpenzi nataka kuolewa na mume wa pili, nimechoka kuwa na mume mmoja miaka yote!"
 
Mtoa mada we ndie mwenye mkasa acha ushenzi wako urafi gan wa kizaman wa kuoa wake wengi acha huo UZAMANI.
 
Bila shaka huyo ni mpagani. ukristo hauna hiyo sheria hata kama hujaenda kanisani miaka 15,
Aendelee atapata anachotafuta, huyo mama mke mkubwa aombe tu zana zishike hatam kwenye tendo la yeye mke mkubwana huyo mzinzi. ili asije kuwa muhanga
 
Mila na desturi za mwili na tamaa zake. Mie pia ni mkristo hizo ndoa huwa ni za kimila na si kanisani na hata mie siikatai bahati hiyo ikijaa maake kumbe hata dini yangu sibadili alafu wanawake tupendane jmn na sensa yenyewe inaonyesha wanawake wako wengi sasa maadam mume kawa muwazi kwako kuwa hataki sombasomba anataka kitu ya kutulia nayo mi naona ni kheri maana pia utajua leo kalala kwa love more than100 ni kheri na salama zaidi jmn mbona nyie wanawake wenyewe ndio mnataka kufanya mambo mepeesi kuwa magumu?
 
Nimesikitika sana leo asubuhi rafiki yangu ananitaarifu kua ni wiki sasa mke wake hana amani na furaha kisa amempa taarifa kua ana mchumba na anataka kumuoa.

Cha kusikitisha zaidi jamaa amemwakikishia kua mke wake wa pili hatokaa kwenye Nyumba wanayoishi kwa sasa bali ataenda kukaa kwenye nyumba mpya alionunua Tegeta.

Mila na desturi ya kabila la rafiki yangu inaruhusu ndoa zaidi ya nke mmoja na pia uwezo wake kiuchumi unarusu. Wadada mna matatizo gani siku hizi kwanini mnachukiana.

Hivyo kwa ufupi mi nilimshauri aendelee na mipango yake ya kua na mke wa pili kwani uchumi wake unamruhusu na provided yeye ni mkristo jina. Wadada mbadilike basi.

ushauri wa kijinga kabisa ni halali anune kabisa
 
Tufanye hivi,kila mwenye uwezo (mwanaume)aongeze mke mwingine....
Na kila mwanamke mwenye uwezo(aolewe na wanaume wawili)....

Problem solved,hakuna kulaumiana.......lol...na ole wenu mtunyooshee vidole wanawake wenye wanaume wawili 😳😳😳😳😳😳😳😂😂😂😂
 
Haijalishi mila, au dini inaruhusu au ana pesa kuliko ruge, kama tulikubaliana tangu mwanzo hii ndoa yetu ni ya mke na mume mmoja kwa nini uvunje makubaluano yetu. Haya mambo ya wake zaidi ya mmoja yasikieni tu kwa watu. Huyo mke wa kwanza akakubaliana na hali halisi akaendelea na maisha huyo bi mdogo bado atakuwa anamuona kama kizuizi kwake, hao ndio wanawake.
 
sometimes I wonder what would happen if our wives will wake up one morning and say "mpenzi nataka kuolewa na mume wa pili, nimechoka kuwa na mume mmoja miaka yote!"

Ndugu binadamu ni wabinafsi sana huwa hatufikirii wengine kana wanaumia. Hii dunia jipende mwenyewe
 
Mila na desturi za mwili na tamaa zake. Mie pia ni mkristo hizo ndoa huwa ni za kimila na si kanisani na hata mie siikatai bahati hiyo ikijaa maake kumbe hata dini yangu sibadili alafu wanawake tupendane jmn na sensa yenyewe inaonyesha wanawake wako wengi sasa maadam mume kawa muwazi kwako kuwa hataki sombasomba anataka kitu ya kutulia nayo mi naona ni kheri maana pia utajua leo kalala kwa love more than100 ni kheri na salama zaidi jmn mbona nyie wanawake wenyewe ndio mnataka kufanya mambo mepeesi kuwa magumu?

Hiyo sensa inatuhesabu mpk sisi wakongwe ambao tuko wengi na wengi wetu ni wajane. Nyie vijana mko sawa kwa sawa asikudanganye mtu ns kila binadanu ana moyo mmoja so usidanganywe mnapendwa wanawake zaidi ya mmoja ni uongo wengine ni wa kukidhi tamaa za mwili ila moyo wake uki kwa mmoja!
 
Mila na desturi za mwili na tamaa zake. Mie pia ni mkristo hizo ndoa huwa ni za kimila na si kanisani na hata mie siikatai bahati hiyo ikijaa maake kumbe hata dini yangu sibadili alafu wanawake tupendane jmn na sensa yenyewe inaonyesha wanawake wako wengi sasa maadam mume kawa muwazi kwako kuwa hataki sombasomba anataka kitu ya kutulia nayo mi naona ni kheri maana pia utajua leo kalala kwa love more than100 ni kheri na salama zaidi jmn mbona nyie wanawake wenyewe ndio mnataka kufanya mambo mepeesi kuwa magumu?

Kama wewe ni mwanamke hiyo kauli unayosema angalia isije kukuta kwa upande wa pili. unadhani hata waislam ambao dini yao inaruhusu wanawake wanapenda kitu kama hiki kitokee??? na unadhani akimuoa huyo ndio atatosheka??? angalia sana tabia za wanaume, akisema leo anaongeza huyu, kesho atamuona yule, kesho kutwa atamuona wa yuleeeeeeeeeeeeeee, Yaani hili jambo sio zuri kama unafikiria my, hakuna mwanamke anayefurahia hili jambo, kama lingekuwa ni jepesi kwanini boyfriend wako akichepuka unakasirika?? si ungesema tu wanawake tuko wengi mwache. hata hivo huyo jamaa hadi anataka kuoa ujue ameisha chepuka sana huyo bi dada sasa kaona amvute ndani ili aendelee kuchepuka na wengine. wanaume hawa!!!!!!! amekaa na mama wa watu wamechuma mali au wameendeleza sasa ndio anagundua nafasi ya kutumia na tumwingine ipo.

Nimebaki namuonea huruma tu huyo mwanamke.
 
sio roho mbaya, akifikiria utamu anaopata apewe na mwingie hahaahaha (joking)
 
Back
Top Bottom