tracy martins
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 3,535
- 1,482
inategemea unaamini nini'yaani kipi bora kabila au dini'kwa huyu jamaa kabila kwake ni bora kuliko diniKwani hua ni kabila au dini ndio inayoruhusu??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inategemea unaamini nini'yaani kipi bora kabila au dini'kwa huyu jamaa kabila kwake ni bora kuliko diniKwani hua ni kabila au dini ndio inayoruhusu??
Mkristo anaoa mke wa pili??
Huyo aliesema wakristo wasio mke zaidi ya mmoja Sio Mungu, Mungu wakweli anajuwa wanawake ni wngi zaidi ya wanaume atawekaje sheria ya aina hiyo.Hizo ndio baadhi za kazi za binadamu ndani ya Bible. Wakrsto wengi wameshapuuza hilo haliendani na ukamilifu wa Mungu.ni mkristo jina mkuu mara ya mwisho kwenda kanisani ni 2005
Huyo aliesema wakristo wasio mke zaidi ya mmoja Sio Mungu, Mungu wakweli anajuwa wanawake ni wngi zaidi ya wanaume atawekaje sheria ya aina hiyo.Hizo ndio baadhi za kazi za binadamu ndani ya Bible. Wakrsto wengi wameshapuuza hilo haliendani na ukamilifu wa Mungu.
Hata Shetani aweza kutunga kitabu akakiita kitabu kitukufu! Na kuweka sheria zake ili kutoa fursa za uzinzi!
Mungu wa kweli aliumba Adam na mwanamke mmoja ambaye ni Eve!
Khaaaa hii ndo sababu hatuchangii pato la familia! Yaani fedha tulizochuma wawili tulipokubaliana ndoa y mke mmoja halafu mara tamaa imuwake mwanaume eti anaoa mke mwingine na anamnunulia nyumba!
Hapo tutauana!
Huyo aliesema wakristo wasio mke zaidi ya mmoja Sio Mungu, Mungu wakweli anajuwa wanawake ni wngi zaidi ya wanaume atawekaje sheria ya aina hiyo.Hizo ndio baadhi za kazi za binadamu ndani ya Bible. Wakrsto wengi wameshapuuza hilo haliendani na ukamilifu wa Mungu.
Vizuri kabisa, mke hapaswi kukasirika kamwe, anapaswa kumpongeza mumewe....
Bongo hii wakristu ni wachache sana. Hawafiki 2% ya population. Waliobaki ni wakristu majina. Kwa maana hawafuati na kuishi kwa misingi na mafundisho ya kikristoHakuna mkristo anayeruhusiwa kuoa mke zaidi ya mmoja...mila na desturi zingine inabidi ziangaliwe mara mbili mbili jaman...mwshowe huyo mkewe afe kwa presha bure
Huyo aliesema wakristo wasio mke zaidi ya mmoja Sio Mungu, Mungu wakweli anajuwa wanawake ni wngi zaidi ya wanaume atawekaje sheria ya aina hiyo.Hizo ndio baadhi za kazi za binadamu ndani ya Bible. Wakrsto wengi wameshapuuza hilo haliendani na ukamilifu wa Mungu.
Nyumba alishanunua, yaani mimi hili jambo limenikera sana, na hata sisi wanawake sijui tukoje yaani unakubali kabisa kwenda kuharibu amani ya mwenzio, kama angekuwa wa kuolewa si angaolewa na vijana wabichi wenye nguvu zao, yaani wanaume nao wanatia aibu sana nguvu za kiume zenyewe mbili bado wanafanya vitu vya ajabu. mtu mmestruggle juani pamoja kivulini anaketi na mwingine khaaa!!! sina ham nao hawa watu.
Bongo hii wakristu ni wachache sana. Hawafiki 2% ya population. Waliobaki ni wakristu majina. Kwa maana hawafuati na kuishi kwa misingi na mafundisho ya kikristo
Huyo aliesema wakristo wasio mke zaidi ya mmoja Sio Mungu, Mungu wakweli anajuwa wanawake ni wngi zaidi ya wanaume atawekaje sheria ya aina hiyo.Hizo ndio baadhi za kazi za binadamu ndani ya Bible. Wakrsto wengi wameshapuuza hilo haliendani na ukamilifu wa Mungu.
Atakuwa msukuma huyo maana ndio zao.