Amekula sana hela zangu

Amekula sana hela zangu

viking

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2012
Posts
2,183
Reaction score
1,322
Mwenzenu kuna mdada nilimpenda, siwezi kusema na yeye alinipenda. Nimekula uroda mara moja tu lakini amekula sana hela zangu. Najua ana watoto 2 wa baba tofauti, nimeamua kuwa mbali kabisa, sijutii pesa, najutia muda niliopoteza kuchati nae.
UPDATE
Jamani yule mdada jambazi amefulia sana,hata hela ya vocha hana na madeni mpaka shingoni.. Hivi karibuni birthday yake imepita kama upepo wa kimbunga ilikuwa kila birthday picha kibao kwenye facebook
 
Mwenzenu kuna mdada nilimpenda, siwezi kusema na yeye alinipenda. Nimekula uroda mara moja tu lakini amekula sana hela zangu. Najua ana watoto 2 wa baba tofauti, nimeamua kuwa mbali kabisa, sijutii pesa, najutia muda niliopoteza kuchati nae.
Ndo maisha mzee
 
Amekula sana hela zako lakini umekula uroda mara moja tu.

UMETAPELIWA..!
 
Mwenzenu kuna mdada nilimpenda, siwezi kusema na yeye alinipenda. Nimekula uroda mara moja tu lakini amekula sana hela zangu. Najua ana watoto 2 wa baba tofauti, nimeamua kuwa mbali kabisa, sijutii pesa, najutia muda niliopoteza kuchati nae.

Pole mwaya[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom