mzamifu JF-Expert Member Joined Mar 10, 2010 Posts 6,400 Reaction score 3,853 Jun 19, 2020 #61 superbug said: Sera za uchumi za ccm ndio zimemfanya awe alivyo mkuu ungemuona kwa macho yako hasa soli za viatu ungemuonea huruma hadizev kuwa graduate. Click to expand... Mwaka huu hakuna fulana wala sare za bure.
superbug said: Sera za uchumi za ccm ndio zimemfanya awe alivyo mkuu ungemuona kwa macho yako hasa soli za viatu ungemuonea huruma hadizev kuwa graduate. Click to expand... Mwaka huu hakuna fulana wala sare za bure.
YEHODAYA JF-Expert Member Joined Aug 9, 2015 Posts 36,902 Reaction score 52,001 Jun 19, 2020 #62 Mzee Mwanakijiji said: Yaani kweli kwenye nchi masikini yenye raslimali bwelele Kuna watu hawana kazi...? Click to expand... NI msomi asiyejua kutumia raslimali zilizopo very sad
Mzee Mwanakijiji said: Yaani kweli kwenye nchi masikini yenye raslimali bwelele Kuna watu hawana kazi...? Click to expand... NI msomi asiyejua kutumia raslimali zilizopo very sad
Chisamba JF-Expert Member Joined Nov 3, 2013 Posts 1,521 Reaction score 787 Jun 19, 2020 #63 hata iweje kipindi cha kuelekea uchaguzi hata kama mwanamke mbaya utaambiwa mwanamke mzuri..ndo muda wa porojo huu vijiweni tunasemaga
hata iweje kipindi cha kuelekea uchaguzi hata kama mwanamke mbaya utaambiwa mwanamke mzuri..ndo muda wa porojo huu vijiweni tunasemaga
Chisamba JF-Expert Member Joined Nov 3, 2013 Posts 1,521 Reaction score 787 Jun 19, 2020 #64 mzamifu said: Mwaka huu hakuna fulana wala sare za bure. Click to expand... ukizipanga tshirt..kofia na mashati unaweza ukaanza dar mpaka kigoma ujiji na ukaanza kurudi ukafika morogoro na ukabaki na mashati mawili ya kuingia nayo mjini
mzamifu said: Mwaka huu hakuna fulana wala sare za bure. Click to expand... ukizipanga tshirt..kofia na mashati unaweza ukaanza dar mpaka kigoma ujiji na ukaanza kurudi ukafika morogoro na ukabaki na mashati mawili ya kuingia nayo mjini
Sax JF-Expert Member Joined Aug 16, 2015 Posts 3,578 Reaction score 6,740 Jun 19, 2020 #65 Kawe Alumni said: Huo ndio uzalendo Click to expand... Hahaha duh huu uzalendo unatia kinyaa, ni ishara tosha ya upumbavu na ni udhihirisho wa mfumo mbovu wa elimu.
Kawe Alumni said: Huo ndio uzalendo Click to expand... Hahaha duh huu uzalendo unatia kinyaa, ni ishara tosha ya upumbavu na ni udhihirisho wa mfumo mbovu wa elimu.