Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,134
- 4,124
Hapo hata umpelekee moto ataona kero tuuSimbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Raha ya ushindani katika mpira ni tatu
Kwanza ni Kushinda,pili ni kuchukua kombe lakini kubwa zaidi ni kuona mpinzani anapoteza pointi 3. Furaha ya Simba leo zimebebana zote tatu huku kwetu adi mda huu hakunogi dadangu yupo chali na mdogo wangu nae pia EBU wacheki, Simba isije wakaniulia Hawa ndugu na sina ndg wengineView attachment 772808View attachment 772810
kujifariji sio kosa ..jifariji tuLazima mshangilie sana ...Manji anarudi kwenye mkutano wa June...miaka 5 mingine inakuja ya eda