Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,619
naona hauwezi nimejitahidi nimeshindwa...upo kwenye comakwa hiyo moyo ukifa ganzi hauwezi kenda tena au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naona hauwezi nimejitahidi nimeshindwa...upo kwenye comakwa hiyo moyo ukifa ganzi hauwezi kenda tena au?
ujue kuna watu ni maskini wa fedha,moyo na akili...ogopa watu hao..kuna watu ni maskini wa fedha tu..heri hao...lakini?mmmh acha tu ninyamazeSmile sina la kuongeza kila ulichoandika ni sahii na ndivyo ilivyo dada 24 bado mdogo ntaku Pm nikupe darasa la waume miundombinu usithubutu hyo awe wa kwanza na wa mwisho usijali umtasahau harak afterall he was never good to you
Tatizo wanawake wengi mnaingia kwenye mpnz kichwa kichwa... Ngojeni tuwaonyeshe...
Which fairness do you need? ...Tutawatenda hadi mchakae... Chezeya wanaume weye..Mot fair
naona hauwezi nimejitahidi nimeshindwa...upo kwenye coma
shukuru Mungu amekutua huo mzigo...epuka kudate vijana choka mbaya ,ambao wewe ndo unawasaidia ..hawana shukrani..trust me utapata mtu wa ukweli emotionaly na economicaly....
nimekusamehe, hujui utendalo.
Jamani mimi nashindwa kuelewa....vipi unamhonga mwanaume............................hata kama choka mbaya! Penzi umpe bure, umhonge pesa, umnunulie nguo na mazagazaga mengine. Halafu uje JF ulielie, huoni kama huyo alikuwa tapeli, shukuru kama umeondokana nae.
Just try to think otherwise, vitu ambavyo vibaya you didn't see that time, utaona kakupunguzia mashuzi
Jamani mimi nashindwa kuelewa....vipi unamhonga mwanaume............................hata kama choka mbaya! Penzi umpe bure, umhonge pesa, umnunulie nguo na mazagazaga mengine.
but utakuwa umekula bata....ona huyu mdada kachunwa hadi chupi kanunua bana..mimi never invest kwa mwanaume...mwanaume sio ndugu yako bana ...mla nawe hafi nawe lohsmile usimdanganye mtoto wa watu, ushuani atalizwa kila siku as watoto wakishua wanachezea feelings za girls the same way they play with playstations and xbox during their childhood, nasikia upendo wa ukweli uko kwa waliochoka
kumbe kunakuachana kistaarabu? Sasa unaumia nini?alikua ana ax 4 it mara chache sana and kuhusu nguo t was like suprise, actual he wasnt a bad boy na ndio maana kaniacha kistaarabu bt nashndwa kuelewa alitaka nini cz nlikua honest and i had true love plus was my first guy.
So sorry Kilahunja,i met such a situation 6 months ago,at the beginnng it waz tough to accept but later on i considered it a part of life!!Now i want to start afresh with someone else,am 27,graduate!!Where r u?