Ameniacha, i want to forget him.

Pole sana mdogo wangu!! This too shall pass...Mshirikishe Mungu zaidi.
 
shukuru Mungu amekutua huo mzigo...epuka kudate vijana choka mbaya ,ambao wewe ndo unawasaidia ..hawana shukrani..trust me utapata mtu wa ukweli emotionaly na economicaly....

unaongea kwa hisia smile! Whatsup?
 
Which fairness do you need? ...Tutawatenda hadi mchakae... Chezeya wanaume weye..

Na wewe utazaa ..... utapata f a l a anamwambia hivyo hivyo binti yako, jibu lako naomba uje utufahamishe
 

......Toeni bure.....
 
Sasa umelia nini? Kwani mama ako alikwambia mwanaume ndo huyo huyo mmoja? Kamata dume la mbegu jingine
 
Pole sana mtoto mzuri usijali pumzika kwanza kwa sababu kuumizwa kwako ina weza kuwa advantage kwa wengine.
 
pole sana, wengi yamewakuta hayo.
Mpotezee na songa mbele na maisha yako.
Ushauri: Usifanye haraka kuingia kwenye rltn nyingine, take a tim to think usije umia tena.
 

i learnt my mistake bt i blv what goz around kams around! Thanx u dear! He wasnt man enough and he doesnt deserv me.
 
MadameX yule sharobaro wako hata big G au pipi huwa humhongi?
 
Last edited by a moderator:
alikua ana ax 4 it mara chache sana and kuhusu nguo t was like suprise, actual he wasnt a bad boy na ndio maana kaniacha kistaarabu bt nashndwa kuelewa alitaka nini cz nlikua honest and i had true love plus was my first guy.

hivi kuachwa kistaarabu ikoje na je huwa huumie?

kuachwa ni kuachwa tu pole utapata anayekustahili
 
alikua ana ax 4 it mara chache sana and kuhusu nguo t was like suprise, actual he wasnt a bad boy na ndio maana kaniacha kistaarabu bt nashndwa kuelewa alitaka nini cz nlikua honest and i had true love plus was my first guy.

Duuh umeachwa halafu you talk gud about the guy, wanaume ni wasanii...amepata alichokitaka amesepa. Lazima ujifunze to see the sign, ushawahi kuona wapi mwanaume akitongoza anakuwa hana ustaarabu au hayuko honest........
 
MadameX yule sharobaro wako hata big G au pipi huwa humhongi?
 
Last edited by a moderator:
i had true love plus was my first guy.

kwani kuwa 'your first guy' kunabeba significance gani katika zama hizi za utandawazi? unakuta binti mpaka anaolewa au anapata mwenza wa ku-cohabit naye anakuwa tayari keshaachia kwa watu 20, sasa kwa nini usikitike na huyo wa kwanza anyway?
 
Sasa umelia nini? Kwani mama ako alikwambia mwanaume ndo huyo huyo mmoja? Kamata dume la mbegu jingine

nimelia cz i was at climax ov his sweet luv, i neva though i wil one day apart him..
 
kwani kuwa 'your first guy' kunabeba significance gani kama zama hizi za utandawazi? unakuta binti mpaka anaolewa au anapata mwenza wa ku-cohabit naye anakuwa tayari keshaachia kwa watu 20, sasa kwa nini usikitike na huyo wa kwanza anyway?

am speechless.
 
NB: he was my first guy, i neva cheated on him, i am 24 and half.

Ayaaaaaa mama yangu jamaa katindua bikra alafu kasepa
Ushauri wa bure nitafute nikupe utaalamu bikra yako inarudi
Alafu ukipata mme mwingine usimuonjeshe umesikia mtoto mzuri? mpaka aje kuonekana kwa wazazi mfunge ndoa kabisa.
 
Duuh umeachwa halafu you talk gud about the guy, wanaume ni wasanii...amepata alichokitaka amesepa. Lazima ujifunze to see the sign, ushawahi kuona wapi mwanaume akitongoza anakuwa hana ustaarabu au hayuko honest........

my dia nlikua mgeni wa mapenzi..bt now napata mwangaza.
 
nimelia cz i was at climax ov his sweet luv, i neva though i wil one day apart him..

samahani kama nitakukwaza kwa swali la kizushi, vp kuku mtamu mmewahi chinja na kumla?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…