Ameniacha, i want to forget him.

Ameniacha, i want to forget him.

my dear
There r 2 things in LIFE that r very painful
One is when ur love loves you & doesn't tell u...
Second when ur love doesn't love u and tells u.

BREAKUPS Aren't Always
Meant To Make Up,
Sometimes They Happen To
Give You A Chance To WAKE UP although

Letting Go Of Someone You Love Is Painful
But Time Will Come You�ll Realize
That It�s The Best Thing You�ve Done For Yourself.
pole sana kipenz...............

geeez, am healed..such wise words, thanx babes.."woow"
 
Why are you confused? Remember what makes a difference in whatever we do in life is how we respond to the challenges and set backs. If you decide to be free and happier so be it...achana na haya mambo ya kuamua kuwa confused for no good reason...this world is full of good men too. Go out there look for one!!

thats it(this is iT)..yes i blv ther r so many guys who truly deserve me..and everythng happens 4 a reason, coz the more i hold on 4 the wrong guy, the more i chase the right ones..thanx!
 
shukuru Mungu amekwambia ukweli je angeendelea kukuficha uje ugundue wakati mud umeenda sana ungejisikiaje? you are very young my dear, bado una muda wa kutulia na kupata mtu atakayekupenda kama ulivyo. majeraha katika mapenzi yapo sana kikubwa ni kuangalia mbele na kuendelea na safari. afterall alikukuta ukiwa mtu mzima hivyo huna sababu ya kuomboleza sana kaza moyo. kuna ambaye yupo kwa ajili yako ni wakati tu haujafika.

thank u my mamushka(lito angel)..am inspired!
 
Pole sana lakini siku nyingine andika kiswahili fasaha...ili wanaohitaji kukusaidia waweze kwa urahisi...
 
pole kwa kutendwa....what doesnt kill u makes u stronger....or in slang,what doesnt kill me better run faster than me or else there will be hell to pay.all in all be strong mamaa
 
Bad enough i neva even ax him for voucher or single money, instead i some times gv him money coz he is livin normal life(teacher)

Buyin him diffrent outfits so as he luks also gud like other men.
Loving him as honestly as ever that is what i did, BUT NOW HE WANTS ME NO MORE.

wanaume wana kawaida ya kuwejiweka distant kama ataona anareceive sana mapenzi kuliko anavyotoa, kwa wao wanapenda watoe sana yaani ndo anajisikia mwanaume na anajihisi kuheshimika zaidi kwa kufanya hivyo,ndivyo walivyoumbwa mamito so next time hizo hela zako nenda kaenjoy na mashost zako tu, au mnunulie baba yako zawadi sio kumfurahisha mwanaume hawapendi hivyo
 
kuna mtu humu kaongea, tujenge mahusiano na watu tunaofitiana, ila kudate mwanaumw unaemzidi kipato, elimu ni kujitafutia huzuni tu,hawapendeki hata kidogo ni bora ukae peke yako
 
Jamani mimi nashindwa kuelewa....vipi unamhonga mwanaume............................hata kama choka mbaya! Penzi umpe bure, umhonge pesa, umnunulie nguo na mazagazaga mengine. Halafu uje JF ulielie, huoni kama huyo alikuwa tapeli, shukuru kama umeondokana nae.

Just try to think otherwise, vitu ambavyo vibaya you didn't see that time, utaona kakupunguzia mashuzi

madamx huwa inatokea tu, yaani unakuwa na mtu full kujilizaliza mara sijui nimefukuzwa kazi, mara wazazi wangu wanaumwa, mara leo nimeshinda njaa yaani bla bla nyingi tu unajikuta umempa pesa,
 
Nilikua na situation kama yako just mwezi umepita sasa, I had 25 years old, mentally immature girl ambaye nilistay nae 7 years. Alipofika chuo tu akawa after money sana. kuna siku nilimfuma na mtu akanikana mimi live. Ukipiga simu alikua hapokei wala hajibu SMS baada ya kumfuma, ilikua hali ngumu sana kuhimili. Nilisoma biblia sna na kujipa moyo kua huwezi jua Mungu ananiepushia nini. Mara nyingi macho ya kibinadamu hayawezi kuona mambo ya mbele na unaweza ukapingana na mpango wa Mungu bila kujua. Mimi naamini kuna mtu ambaye ni right kwako anasafishiwa njia. Huwezi kuja juta kwa situation kama hio. Mimi kwa sasa sikumbuki tena kwani nimekuja kumpata mtu ambaye sikuwahi fikiria. Tumefanana hadi kuwaza, mkitoka kazini unakuta kila mtu kamletea zawadi mwenzie inayofanana bila hata ya kuambiana. Jipe moyo, mazuri yanakuja, huwezi kuja juta japo kwa sasa inauma. Ila msamehe kabisa kutoka moyoni mwako, usimuwekee kinyongo utapata shida. Mara nyingi wanaume wa namna hii hua wanaendeshwa na wanawake, anaweza ambiwa mwambie hivi nae akafanya, kifupi hana maamuzi yake kabisa.
 
madamx huwa inatokea tu, yaani unakuwa na mtu full kujilizaliza mara sijui nimefukuzwa kazi, mara wazazi wangu wanaumwa, mara leo nimeshinda njaa yaani bla bla nyingi tu unajikuta umempa pesa,

Kama mwanamke atleast inaelekea lakini mwanamme.......mmh aisee haioni pesa yangu
 
kuumia kibinadam ni kawaida,bt jifunze kuwa na kidum,mmoja akizingua mwingine anakuliwaza
 
Let him go ,,,, dont give a damn **** ,, those kinda of shit,,, wewe mzur sistare kisema ww wa nn wako wanakufuzia,, yaan watu.kama hao wapo gud for nothing ,,, anaweza rud huyo baadae ila ,, mpotezeeeee,,ebosss,,
 
Back
Top Bottom