Ameniambia haoni siku zake, naomba ushauri tafadhali

Ameniambia haoni siku zake, naomba ushauri tafadhali

Usijipe majukum yaso yako yakhe wewe unafaa kuhesabu miezi yako uanze rasmi majukumu ya kiumeni
 
Habari wakuu, poleni na mihangaiko ya hapa na pale.

Naombeni msaada juu ya hili ninaloliona mbele yangu. Iko hivi nini mpenzi wangu ambaye yeye yuko kwao na mimi pia niko kwetu il nin ka, yangu ya maana ninafanya.

Mara ya mwisho nilisex na huyu bidada kama last 2 weeks na alisema kwamba alikuwa safe hiyo siku but sikutaka matatzo nilitaka tumia kinga. Nilisex naye kwa kinga mzunguko wa kwanza.

Then after ejacul*ting tuka stop tukakaa kama almost 10 mins then tukaenda mzunguko wa pili. Mzunguko wa pili sikutumia kinga ila nili ejaculate njee..sikumw*gia ndani ila chaajabu leo naambiwa siku hazionekani. Naona akili yangu kama haijakaa sawa.

Msaada juu ya hilo wakuu. Kinacho niumiza kichwa na ninachoshindwa kuelewa ni kwamba kinga nilitumia, na awamu ya pili nilitilea njee.

Sasa dalili za mimba zinakujaje hapo?
Nani kakuambia ulimwagia nje?, Kasome biozi😀🤣
 
Kweli kabisa unaomba ushauri? Hebu miwashie taa mwenzio ataziona tuu alipoziweka siku zake.
 
Habari wakuu, poleni na mihangaiko ya hapa na pale.

Naombeni msaada juu ya hili ninaloliona mbele yangu. Iko hivi nini mpenzi wangu ambaye yeye yuko kwao na mimi pia niko kwetu il nin ka, yangu ya maana ninafanya.

Mara ya mwisho nilisex na huyu bidada kama last 2 weeks na alisema kwamba alikuwa safe hiyo siku but sikutaka matatzo nilitaka tumia kinga. Nilisex naye kwa kinga mzunguko wa kwanza.

Then after ejacul*ting tuka stop tukakaa kama almost 10 mins then tukaenda mzunguko wa pili. Mzunguko wa pili sikutumia kinga ila nili ejaculate njee..sikumw*gia ndani ila chaajabu leo naambiwa siku hazionekani. Naona akili yangu kama haijakaa sawa.

Msaada juu ya hilo wakuu. Kinacho niumiza kichwa na ninachoshindwa kuelewa ni kwamba kinga nilitumia, na awamu ya pili nilitilea njee.

Sasa dalili za mimba zinakujaje hapo?
Wanawake ni wajanja sana, itakuwa kuna mahali kazificha.
 
Wewe hamia kwako uanze kuandaa maisha ya mwanao na mama mtoto.

Kitu ulimwaga ndani alafu ukamalizia nje [emoji1]
Ule utamu wa wakati wa kumwaga acha kabisa[emoji28]kujizuia ni ngumu.

Hama kwenu.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] manina..... alipiga two in one. Jamaa alitisha anapiga kushoto akajaza kulia ndani ya besela dadek...[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Pole sana...

Mimba itakua ni yako tu, huna namna...
 
Kuna 1.Bebishoo
2. Feza ya Hospitali
3.Feza ya Mengineyo hii iwe nyingi
4.kutoa mahali na posa
5.Maisha ya ndoa ambayo haukuitegrmea maaamaaaee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Na huo ndo ushauri wangu wa namna ya kujiandaa.
 
Habari wakuu, poleni na mihangaiko ya hapa na pale.

Naombeni msaada juu ya hili ninaloliona mbele yangu. Iko hivi nini mpenzi wangu ambaye yeye yuko kwao na mimi pia niko kwetu il nin ka, yangu ya maana ninafanya.

Mara ya mwisho nilisex na huyu bidada kama last 2 weeks na alisema kwamba alikuwa safe hiyo siku but sikutaka matatzo nilitaka tumia kinga. Nilisex naye kwa kinga mzunguko wa kwanza.

Then after ejacul*ting tuka stop tukakaa kama almost 10 mins then tukaenda mzunguko wa pili. Mzunguko wa pili sikutumia kinga ila nili ejaculate njee..sikumw*gia ndani ila chaajabu leo naambiwa siku hazionekani. Naona akili yangu kama haijakaa sawa.

Msaada juu ya hilo wakuu. Kinacho niumiza kichwa na ninachoshindwa kuelewa ni kwamba kinga nilitumia, na awamu ya pili nilitilea njee.

Sasa dalili za mimba zinakujaje hapo?
Pambana na hali yako wakati anaona siku zake mbona hujaja kuomba ushauri hapa
 
Habari wakuu, poleni na mihangaiko ya hapa na pale.

Naombeni msaada juu ya hili ninaloliona mbele yangu. Iko hivi nini mpenzi wangu ambaye yeye yuko kwao na mimi pia niko kwetu il nin ka, yangu ya maana ninafanya.

Mara ya mwisho nilisex na huyu bidada kama last 2 weeks na alisema kwamba alikuwa safe hiyo siku but sikutaka matatzo nilitaka tumia kinga. Nilisex naye kwa kinga mzunguko wa kwanza.

Then after ejacul*ting tuka stop tukakaa kama almost 10 mins then tukaenda mzunguko wa pili. Mzunguko wa pili sikutumia kinga ila nili ejaculate njee..sikumw*gia ndani ila chaajabu leo naambiwa siku hazionekani. Naona akili yangu kama haijakaa sawa.

Msaada juu ya hilo wakuu. Kinacho niumiza kichwa na ninachoshindwa kuelewa ni kwamba kinga nilitumia, na awamu ya pili nilitilea njee.

Sasa dalili za mimba zinakujaje hapo?
aangalie vizuri alioziacha
 
Utamu mnautaka ila matokeo ya utamu hamuyataki. Ukijua kuyavulia maji ujue na kuyaoga, au ulifikiri unapanda matikiti?
Mafurushi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom