Ameniambia niende gym nitengeneze mwili ili nimuoe

Ameniambia niende gym nitengeneze mwili ili nimuoe

Ukimaliza kutengeneza mwili atakwambia....utafute pesa...ukipata pesa atakwambia mbona huichakati MBUSUSU yake kama EX-Wake
For sure hawajawai kueleweka

Chelea man_Msela huu ni wimbo ambao chelea man anamwambia mpenzi wake ampende jinsi alivyo....

Pia hata Babylon bayser a.k.a Mr. Blue ana wimbo baadhi ya mashairi anasema LOVE ME THE WAY AM......Nipende kama nilivyo....

2pac ana wimbo wake unaitwa UNCONDITIONAL LOVE

Ishi nao Kwa akili....mwisho kabisa Bomu la machozi halikumbatiwi🤓🤓


Kwema wakuu?

Kuna binti ambaye ni mwaka mmoja sasa toka nianze kumfuatilia. Nampenda, kwanza nilitumia kiasi cha kama 1M hivi jumla kwa ajili ya kumpa kwa matumizi yake mbalimbali kama rafiki tu.

Na kwawakati uo tulikua nimarafiki yaani best friends. Nilikuwa nalipa transport bills zake, kodi japo mara moja moja, kumtoa out na rafiki zake ikwemo cousins zake, kumnunulia vitu mbali mbali n.k

Achilia ile M1 ya kwake pekee, nilishamlipia mpaka bro wake ela tra kwenye issue za biashara zake.

Sasa mpaka mwezi wa kumi mwakajana nikaamua kumuambia ukweli nampenda na ukizingatia tulikuwa karibu, ajabu aliniruka mita 100 na kusema mimi ni kama kaka yake tu na haitotokea kamwe anivulie nguo.

Moyo ulizima kwa dk kadhaa, akili iliruka kwa dk kadhaa. Sikuamini kabisa.

Nikamuambia anyaways naheshimu mtazamo wako. Nikaomba tuendelee kua marafiki akasema yes. Sasa mwaka huu mwezi wa pili nikagusia tena suala langu.

Safari hii hakuonesha upinzani sana, akaniambia yeye anapenda mwanaume mwenye kifua kipana na mrefu.

Mimi ni mrefu ila sina kifua kipana sana so nikaanza kwenda gym.

Hapa juzi tu nimegundua ana mtoto mmoja tena mkubwa tu kidogo. Tukaongea sana kwa sms na nikamsema sana, ajabu ananiambia nikimuoa basi ni sharti nikae na kulea mwanawe.

Nikakubali na hapa nipo katikati natengenzeza mwili.

Shida ni mtoto wake, yeye nampenda ila mtoto wake hana adabu na nilikua namuona kwa baadhi ya ndugu zake kabla ya kujua kua niwake.

Nipo dilema kabisa hapa. Hivi hakuna njia naeza tumia nikaishi na mke wangu pasipo kuishi na mtoto wake huyu?

Nalileta kwenu wakuu wangu
 
Yaani natoa kisa changu nipewe ushauri kuhusu mke wangu mtarajiwa kwenye suala la kukaa na mtoto,watu wana coment vingine.

Napata mashaka na u smart wa wengo humu. Kufuata maelekezo na kuelewa mada/swali bado ni tatizo kubwa sana.
Wengi kichwani Hamna kitu Kabia
inabidi ule na viboko
 
Ngoja siku umkute huyo unaemuita best yako analiwa na na mtu mwingine[emoji1787]...mnakutana viwanja anajifanya hakujui kabisa ndo utalia machozi ya damu...mpaka kaka mtu unampa hela aisee haiwezekani umezingua sana...mtakuwa wote bado watoto sio ajabu anadate na mabausa [emoji1787]...uchawi sahv kibunda tu...yaan niwe sponsor na bado niambiwe niende gym [emoji119][emoji119]
 
Yaani natoa kisa changu nipewe ushauri kuhusu mke wangu mtarajiwa kwenye suala la kukaa na mtoto,watu wana coment vingine.

Napata mashaka na u smart wa wengo humu. Kufuata maelekezo na kuelewa mada/swali bado ni tatizo kubwa sana.
Wengi kichwani Hamna kitu Kabia
Shida sio kupewa ushauri wa mtoto tu. Baada ya kusoma kisa kizima tumegundua kuwa haupo kwenye kundi la Wanaume sensible. Wana wanakutonya hapa karibia 90% wapo against na wewe, ila umeshupaza shingo
 
Kwema wakuu?

Kuna binti ambaye ni mwaka mmoja sasa toka nianze kumfuatilia. Nampenda, kwanza nilitumia kiasi cha kama 1M hivi jumla kwa ajili ya kumpa kwa matumizi yake mbalimbali kama rafiki tu.

Na kwawakati uo tulikua nimarafiki yaani best friends. Nilikuwa nalipa transport bills zake, kodi japo mara moja moja, kumtoa out na rafiki zake ikwemo cousins zake, kumnunulia vitu mbali mbali n.k

Achilia ile M1 ya kwake pekee, nilishamlipia mpaka bro wake ela tra kwenye issue za biashara zake.

Sasa mpaka mwezi wa kumi mwakajana nikaamua kumuambia ukweli nampenda na ukizingatia tulikuwa karibu, ajabu aliniruka mita 100 na kusema mimi ni kama kaka yake tu na haitotokea kamwe anivulie nguo.

Moyo ulizima kwa dk kadhaa, akili iliruka kwa dk kadhaa. Sikuamini kabisa.

Nikamuambia anyaways naheshimu mtazamo wako. Nikaomba tuendelee kua marafiki akasema yes. Sasa mwaka huu mwezi wa pili nikagusia tena suala langu.

Safari hii hakuonesha upinzani sana, akaniambia yeye anapenda mwanaume mwenye kifua kipana na mrefu.

Mimi ni mrefu ila sina kifua kipana sana so nikaanza kwenda gym.

Hapa juzi tu nimegundua ana mtoto mmoja tena mkubwa tu kidogo. Tukaongea sana kwa sms na nikamsema sana, ajabu ananiambia nikimuoa basi ni sharti nikae na kulea mwanawe.

Nikakubali na hapa nipo katikati natengenzeza mwili.

Shida ni mtoto wake, yeye nampenda ila mtoto wake hana adabu na nilikua namuona kwa baadhi ya ndugu zake kabla ya kujua kua niwake.

Nipo dilema kabisa hapa. Hivi hakuna njia naeza tumia nikaishi na mke wangu pasipo kuishi na mtoto wake huyu?

Nalileta kwenu wakuu wangu
Wanaume tumeisha.
Ee Mungu tusaidie;
1. Umejikunja unamhonga sana ili umtongoze baadae.
2. Unalipia ndg tra ili umlainishe binti
3. Unamtoa out na ndg na rafiki ili alainike
4. Unaenda gym ili umuoe
5. Unapewa mashart kama kwa mganga.

Una akili kweli wewe?
Hivi kuna uhaba wa wanawake kiasi hiki?
Una kasoro gani kubwa?
Unaona wazi hamtawezana unang'ang'ana tu?
 
Kwahiyo ulikua unamhudumia hadi ndugu zake?yani kaka yake anakujaje mbona sielewi dah.kuna watu pesa zenu zinahangaika sana.

Any way achana na huyo mara moja,utakuja kujuta mbele ya safari
Kuna wanawake ni mtambo wa kufilisi.
Yaani ukiingiza pua kwao unatunza familia hadi ndg wa karibu
 
Kwema wakuu?

Kuna binti ambaye ni mwaka mmoja sasa toka nianze kumfuatilia. Nampenda, kwanza nilitumia kiasi cha kama 1M hivi jumla kwa ajili ya kumpa kwa matumizi yake mbalimbali kama rafiki tu.

Na kwawakati uo tulikua nimarafiki yaani best friends. Nilikuwa nalipa transport bills zake, kodi japo mara moja moja, kumtoa out na rafiki zake ikwemo cousins zake, kumnunulia vitu mbali mbali n.k

Achilia ile M1 ya kwake pekee, nilishamlipia mpaka bro wake ela tra kwenye issue za biashara zake.

Sasa mpaka mwezi wa kumi mwakajana nikaamua kumuambia ukweli nampenda na ukizingatia tulikuwa karibu, ajabu aliniruka mita 100 na kusema mimi ni kama kaka yake tu na haitotokea kamwe anivulie nguo.

Moyo ulizima kwa dk kadhaa, akili iliruka kwa dk kadhaa. Sikuamini kabisa.

Nikamuambia anyaways naheshimu mtazamo wako. Nikaomba tuendelee kua marafiki akasema yes. Sasa mwaka huu mwezi wa pili nikagusia tena suala langu.

Safari hii hakuonesha upinzani sana, akaniambia yeye anapenda mwanaume mwenye kifua kipana na mrefu.

Mimi ni mrefu ila sina kifua kipana sana so nikaanza kwenda gym.

Hapa juzi tu nimegundua ana mtoto mmoja tena mkubwa tu kidogo. Tukaongea sana kwa sms na nikamsema sana, ajabu ananiambia nikimuoa basi ni sharti nikae na kulea mwanawe.

Nikakubali na hapa nipo katikati natengenzeza mwili.

Shida ni mtoto wake, yeye nampenda ila mtoto wake hana adabu na nilikua namuona kwa baadhi ya ndugu zake kabla ya kujua kua niwake.

Nipo dilema kabisa hapa. Hivi hakuna njia naeza tumia nikaishi na mke wangu pasipo kuishi na mtoto wake huyu?

Nalileta kwenu wakuu wangu
Duh!
Wakati unaendelea kuhangaishwa hivyo kuna mwanamke anatamani awe nawe lakini we unag'ang'ania pasipokufaa.
Chukua hatua.
 
Back
Top Bottom