Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Mnoo Trainers wanakula sana mbususu.. huko ndipo hata wale vijana wategemea kulelewa huwa wanatega mitego yao kukamata wadada na wamama ili waleleweWALIMU WA MAZOEZI (GYM MASTER) WANAFAIDI SANA!!
Jina lake ni litutumbwe so usitunie nguvu kubwa sananaombeni kiboko nimtandike huyu kilaza
We jamaa utakuwa pimbi sana.Kwema wakuu?
Kuna binti ambaye ni mwaka mmoja sasa toka nianze kumfuatilia. Nampenda, kwanza nilitumia kiasi cha kama 1M hivi jumla kwa ajili ya kumpa kwa matumizi yake mbalimbali kama rafiki tu.
Na kwawakati uo tulikua nimarafiki yaani best friends. Nilikuwa nalipa transport bills zake, kodi japo mara moja moja, kumtoa out na rafiki zake ikwemo cousins zake, kumnunulia vitu mbali mbali n.k
Achilia ile M1 ya kwake pekee, nilishamlipia mpaka bro wake ela tra kwenye issue za biashara zake.
Sasa mpaka mwezi wa kumi mwakajana nikaamua kumuambia ukweli nampenda na ukizingatia tulikuwa karibu, ajabu aliniruka mita 100 na kusema mimi ni kama kaka yake tu na haitotokea kamwe anivulie nguo.
Moyo ulizima kwa dk kadhaa, akili iliruka kwa dk kadhaa. Sikuamini kabisa.
Nikamuambia anyaways naheshimu mtazamo wako. Nikaomba tuendelee kua marafiki akasema yes. Sasa mwaka huu mwezi wa pili nikagusia tena suala langu.
Safari hii hakuonesha upinzani sana, akaniambia yeye anapenda mwanaume mwenye kifua kipana na mrefu.
Mimi ni mrefu ila sina kifua kipana sana so nikaanza kwenda gym.
Hapa juzi tu nimegundua ana mtoto mmoja tena mkubwa tu kidogo. Tukaongea sana kwa sms na nikamsema sana, ajabu ananiambia nikimuoa basi ni sharti nikae na kulea mwanawe.
Nikakubali na hapa nipo katikati natengenzeza mwili.
Shida ni mtoto wake, yeye nampenda ila mtoto wake hana adabu na nilikua namuona kwa baadhi ya ndugu zake kabla ya kujua kua niwake.
Nipo dilema kabisa hapa. Hivi hakuna njia naeza tumia nikaishi na mke wangu pasipo kuishi na mtoto wake huyu?
Nalileta kwenu wakuu wangu
Acha bangi!
Kuna siku tulikuwa kwenye Marathon moja Dar kuna trainer mmoja huwa nampa deal za kupigisha Aerobics kwenye mabonanza job akataka kumshobokea manzi wangu nkamwambia weeeee ntakupasua Mbwa weeeee!!.....Na nyama nyingi akanihofia akanigwaya!Mnoo Trainers wanakula sana mbususu.. huko ndipo hata wale vijana wategemea kulelewa huwa wanatega mitego yao kukamata wadada na wamama ili walelewe
Yaani natoa kisa changu nipewe ushauri kuhusu mke wangu mtarajiwa kwenye suala la kukaa na mtoto,watu wana coment vingine.
Napata mashaka na u smart wa wengo humu. Kufuata maelekezo na kuelewa mada/swali bado ni tatizo kubwa sana.
Wengi kichwani Hamna kitu Kabia
Hawana akiliKuna siku tulikuwa kwenye Marathon moja Dar kuna trainer mmoja huwa nampa deal za kupigisha Aerobics kwenye mabonanza job akataka kumsobokea manzi wangu nkamwambia weeeee ntakupasua Mbwa weeeee!!.....Na nyama nyingi akanihofia akanigwaya!
Hata wewe napata mashaka sana na maswali yako ya siyo na kichwa Wala miguu, Nani kakudanganya jf ni sehemu ya kukushauri nakati mlipokuwa mnapeana utamu mlikuwa mnatuona malofa ambao hatujaowa. Kamwombe ushauri baba ako bwege we
Kwahiyo ndio upo Gym sasa hivi? naona hujibu mashambulizi ya wana.
😀😀
Rihanna alinasaje sasa jamaa ni full confident
Watoto wazuri wanapenda wahuni!Rihanna alinasaje sasa jamaa ni full confident
Anayeendesha maisha yako ni nani?, tupe jibu kwanza. Ukimaliza tuambie unafikiri kwa kutumia ubongo wako au moyo?. Ukishajijibu, tafakari maisha yako yote utuambie unaishi kama masculine man au kama kama kondoo.Kwema wakuu?
Kuna binti ambaye ni mwaka mmoja sasa toka nianze kumfuatilia. Nampenda, kwanza nilitumia kiasi cha kama 1M hivi jumla kwa ajili ya kumpa kwa matumizi yake mbalimbali kama rafiki tu.
Na kwawakati uo tulikua nimarafiki yaani best friends. Nilikuwa nalipa transport bills zake, kodi japo mara moja moja, kumtoa out na rafiki zake ikwemo cousins zake, kumnunulia vitu mbali mbali n.k
Achilia ile M1 ya kwake pekee, nilishamlipia mpaka bro wake ela tra kwenye issue za biashara zake.
Sasa mpaka mwezi wa kumi mwakajana nikaamua kumuambia ukweli nampenda na ukizingatia tulikuwa karibu, ajabu aliniruka mita 100 na kusema mimi ni kama kaka yake tu na haitotokea kamwe anivulie nguo.
Moyo ulizima kwa dk kadhaa, akili iliruka kwa dk kadhaa. Sikuamini kabisa.
Nikamuambia anyaways naheshimu mtazamo wako. Nikaomba tuendelee kua marafiki akasema yes. Sasa mwaka huu mwezi wa pili nikagusia tena suala langu.
Safari hii hakuonesha upinzani sana, akaniambia yeye anapenda mwanaume mwenye kifua kipana na mrefu.
Mimi ni mrefu ila sina kifua kipana sana so nikaanza kwenda gym.
Hapa juzi tu nimegundua ana mtoto mmoja tena mkubwa tu kidogo. Tukaongea sana kwa sms na nikamsema sana, ajabu ananiambia nikimuoa basi ni sharti nikae na kulea mwanawe.
Nikakubali na hapa nipo katikati natengenzeza mwili.
Shida ni mtoto wake, yeye nampenda ila mtoto wake hana adabu na nilikua namuona kwa baadhi ya ndugu zake kabla ya kujua kua niwake.
Nipo dilema kabisa hapa. Hivi hakuna njia naeza tumia nikaishi na mke wangu pasipo kuishi na mtoto wake huyu?
Nalileta kwenu wakuu wangu