Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Duniani kuna majambo na vijambo.
Basi bwana juzi nikiwa natoka kwenye mishe zangunza kijamii nikapita Atm.
Eneo hilo kuna Parking so nikajump kidogo pale na kuweka Mkweche wangu.
Eneo hilo hilo kuna Yard ya Wauza Nyapu.
Turudi nyuma kidogo, siku hizi ukikutana na Mwanamke Mzuri au mwenye umbo la Msambwanda na kama ukashangaa kidogo hata kama hajakuvutia ukageuka kumwangalia basi Masela watakwambia Tafuta Hela.
Na wakati mwingine mwanamke akikudharau utasikia anakwambia Tafuta hela. Akimanisha kuwa yeye si wa Type yako.
Twende sasa, nikachukua Mpunga wangu nikarudi Parking kubeba Mkweche, wakati nageuza gari nikawasha taa nakutana na Watoto kama watatu hivi wametawanyika kila mmoja kasimama peke yake. Na mwingine kaegemea kwenye mti wa kivuli.
Nikatazama nakuona wazuri wamevaa vimini wawili na mwingine kabalia pedo ya kubana.
Kiukweli walikuwa wazuri na wakuvutia. Kwa sura na mwonekano wa nje hawakuwa na kasoro kwa harakaharaka.
Basi nikiwa napapatua kugeuza geri kwenye parking iliyosongamana nikaona mmoja wa warembo wale kanisogerea hadi mlango wa gari. Nikapozi kidogo na kufushusha kiyoo.
Yeye: Mambo?
Mimi: Poa vipi hali?
Yeye: Niko fresh nambie shem, hutaki kuchetua?
Mimi: Ndio kitu gani hicho?
Yeye: Kumbatona, na kama unataka BJs freshi tu.
Mimi: Naenda nyumbani kuna wife kanisubiri nitambato huko huko , mimi sina michezo hiyo.
Yeye: Aah uwe una badilisha ladha bwana sio kila siku hiyo hiyo:
Mimi: Hapana kwanza samahani kwa kukumulika taa. Kwaheri.
Yeye: Shemeji naomba japo buku basi.
Mimi: Sina pesa sasa hivi, siku nyingine
Yeye: Naomb hata jero tu.
Mimi: nikachukua Noti ya Buku Tano nikampa.
Yeye: Asante sana, nashukuru.......huku mimi nikiwa naondoka.
Mimi: niliondoka hapo nikimuona amepigwa na butwaa huku akinifatilia macho jinsi ninavyopotea kwenye barabara. Ni kama hakuamini kama kweli nimeondoka.
Swali langu: Hawa mademu wazuri hivi wamekosa nini hadi wanakuja kujiuza na kujiweka kwenye hatari ya afya zao?
Si hawa hawa wazuri tukiwachombeza tunaambiwa Tafuta hela?
Sasa kama wao ni wazuri mbona wenye hela hawawaoi au kuwachukua na badala yale wanadanga na kupigwa na walevi, mateja na bodaboda?
Basi bwana juzi nikiwa natoka kwenye mishe zangunza kijamii nikapita Atm.
Eneo hilo kuna Parking so nikajump kidogo pale na kuweka Mkweche wangu.
Eneo hilo hilo kuna Yard ya Wauza Nyapu.
Turudi nyuma kidogo, siku hizi ukikutana na Mwanamke Mzuri au mwenye umbo la Msambwanda na kama ukashangaa kidogo hata kama hajakuvutia ukageuka kumwangalia basi Masela watakwambia Tafuta Hela.
Na wakati mwingine mwanamke akikudharau utasikia anakwambia Tafuta hela. Akimanisha kuwa yeye si wa Type yako.
Twende sasa, nikachukua Mpunga wangu nikarudi Parking kubeba Mkweche, wakati nageuza gari nikawasha taa nakutana na Watoto kama watatu hivi wametawanyika kila mmoja kasimama peke yake. Na mwingine kaegemea kwenye mti wa kivuli.
Nikatazama nakuona wazuri wamevaa vimini wawili na mwingine kabalia pedo ya kubana.
Kiukweli walikuwa wazuri na wakuvutia. Kwa sura na mwonekano wa nje hawakuwa na kasoro kwa harakaharaka.
Basi nikiwa napapatua kugeuza geri kwenye parking iliyosongamana nikaona mmoja wa warembo wale kanisogerea hadi mlango wa gari. Nikapozi kidogo na kufushusha kiyoo.
Yeye: Mambo?
Mimi: Poa vipi hali?
Yeye: Niko fresh nambie shem, hutaki kuchetua?
Mimi: Ndio kitu gani hicho?
Yeye: Kumbatona, na kama unataka BJs freshi tu.
Mimi: Naenda nyumbani kuna wife kanisubiri nitambato huko huko , mimi sina michezo hiyo.
Yeye: Aah uwe una badilisha ladha bwana sio kila siku hiyo hiyo:
Mimi: Hapana kwanza samahani kwa kukumulika taa. Kwaheri.
Yeye: Shemeji naomba japo buku basi.
Mimi: Sina pesa sasa hivi, siku nyingine
Yeye: Naomb hata jero tu.
Mimi: nikachukua Noti ya Buku Tano nikampa.
Yeye: Asante sana, nashukuru.......huku mimi nikiwa naondoka.
Mimi: niliondoka hapo nikimuona amepigwa na butwaa huku akinifatilia macho jinsi ninavyopotea kwenye barabara. Ni kama hakuamini kama kweli nimeondoka.
Swali langu: Hawa mademu wazuri hivi wamekosa nini hadi wanakuja kujiuza na kujiweka kwenye hatari ya afya zao?
Si hawa hawa wazuri tukiwachombeza tunaambiwa Tafuta hela?
Sasa kama wao ni wazuri mbona wenye hela hawawaoi au kuwachukua na badala yale wanadanga na kupigwa na walevi, mateja na bodaboda?