Amenifungia nguo na kuweka kwenye begi eti nimpishe kwake japo kodi nalipa mimi

Kama siyo hadithi ya kutunga, ni aibu kuingia mitandaoni kuomba ushauri wakati kile ulichofanyiwa wala si cha kibinadamu.
 
waswahili na maneno yao.
utawasikia wanasema mara kawekwa kiganjani, au kapewe limbwata, mara kafichwa.

dah, pole sana mwanawane
 
mambo mengine hata hayahitaji ushauri mkuu ishara umeshaziona ukirudi tena tegemea kubwa zaidi ya hilo... nishakutanaga na mwanamke wa aina hiyo ila kikubwa alinifundisha ssaiv nimekuwa kauzu zaidi ya dagaa mwenyewe
 
Mwanaume hatakiwi kuishi kwa Mwanamke, ulitakiwa utafute Nyumba ulipe kodi kama ulimpenda kweli umwambie ahamie kwako.
 
Mapenzi ni upofu, angalia moyo wako kama utaona anafaa kuwa mke it's ok endelea kuwa nae na kama utaona afai basi ruhusu moyo wako kufanya maamuzi sahihi
 
Hii story mbona haina ata mashiko upangaji mbovu wa matukio
 
"Nikakaa wiki jamaa akaja kuniambia yanayoendele"
Huyo jamaa sisi Tunamjua au? Huyo demu boya sana,ilitakiwa akule mpaka nauli ya emirates
 
Unataka ushauri kwa jambo hili?
Achana na huyo manzi bhana
Ukijifanya king'ang'anizi mahaba niue utaishia jela na manzi tutampeleka kwenye nyumba ya milele
Manzi anayekupenda hawezi kufanya alivyofanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…