Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni week sasa nimempisha lakin anaomba msamaha nirudi
Ishu yenyewe iko hivi, mwaka huu nilimpata Dada mmoja nesi tukapendana nilikuta amepanga nyumba, nami kwakuwa nilikuwa kwenye shughuli za kikazi maeneo yale nilikuwa nimefikia nyumba ya wagen kabla ya kumpata
Nilivyompata akanishawish kukabidhi rum kwenye gest house nikae kwake, nikasema ngoja kwanza nikamilishe kazi
Nikakamilisha kazi nikasafiri kuipeleka sehem husika alinisindikiza hadi uwanja wa ndege na kulia sana kwamba namuacha,
Nikapiga moyo konde ndani ya Emirates nikafika huku mawazo ya hapa na pale yakitawala,
Baada ya kumaliza miezi 4 nikaamua kurudi Tanzania nikakuta kanisubiria kawaida
Kufika nyumbani nikakaa week jamaa akaja kuniambia yaliyokuwa yanaendelea nikakaa kimya nilichofanya nikaenda Kwa rafiki yake wa kike nikajifanya kuomba simu kumpigia mtu,
Nilijua fika kwamba hawezi fichana na rafiki au awez fanya jambo bila rafiki yake kujua,
Nikakuta wanayochat na shoga yake wakizungumzia yanayofanyikaga nikiwa sipo, niliumia
Nilipomuuliza akasema nipishe kwangu
Akanipangia nguo na kunitolea nje ilikuwa saa 5 usiku,
Nikatafta piki PIKI nikatafta nyumba ya wageni,
Sasa analia eti turudiane mara anakili kosa , Kuwa nimsamehe
Huku akishikiria msimamo wa kwamba alisingiziwa zilikiwa hasira
Msimamo wangu simrudii ni aibu dume kuwekewa nguo kW begi huko kodi nililipa miezi 5 na biashara nikamfungulia,
Au mnanishaurije
Hawa watu kaa nao kwa akili sana,vinginevyo utapoteza muelekeo.Achana nayeNi week sasa nimempisha lakin anaomba msamaha nirudi
Ishu yenyewe iko hivi, mwaka huu nilimpata Dada mmoja nesi tukapendana nilikuta amepanga nyumba, nami kwakuwa nilikuwa kwenye shughuli za kikazi maeneo yale nilikuwa nimefikia nyumba ya wagen kabla ya kumpata
Nilivyompata akanishawish kukabidhi rum kwenye gest house nikae kwake, nikasema ngoja kwanza nikamilishe kazi
Nikakamilisha kazi nikasafiri kuipeleka sehem husika alinisindikiza hadi uwanja wa ndege na kulia sana kwamba namuacha,
Nikapiga moyo konde ndani ya Emirates nikafika huku mawazo ya hapa na pale yakitawala,
Baada ya kumaliza miezi 4 nikaamua kurudi Tanzania nikakuta kanisubiria kawaida
Kufika nyumbani nikakaa week jamaa akaja kuniambia yaliyokuwa yanaendelea nikakaa kimya nilichofanya nikaenda Kwa rafiki yake wa kike nikajifanya kuomba simu kumpigia mtu,
Nilijua fika kwamba hawezi fichana na rafiki au awez fanya jambo bila rafiki yake kujua,
Nikakuta wanayochat na shoga yake wakizungumzia yanayofanyikaga nikiwa sipo, niliumia
Nilipomuuliza akasema nipishe kwangu
Akanipangia nguo na kunitolea nje ilikuwa saa 5 usiku,
Nikatafta piki PIKI nikatafta nyumba ya wageni,
Sasa analia eti turudiane mara anakili kosa , Kuwa nimsamehe
Huku akishikiria msimamo wa kwamba alisingiziwa zilikiwa hasira
Msimamo wangu simrudii ni aibu dume kuwekewa nguo kW begi huko kodi nililipa miezi 5 na biashara nikamfungulia,
Au mnanishaurije
Una hekima sana mkuuSi mbaya ukimsamehe kwa condition 1 tu
Hutorudi kwake akitaka aje kuishi kwako na Aje na begi lake la nguo tu
Vitu vyake auze au ampe mtu amuwekee ila sio aje navyo kwako
Akikubali kufanya yote hayo "msamehe" sahau na anzeni upya
Usipendelee sanaaa kuanzisha mahusiano mapya.
Ni wengi wanafukuzwa na wanarudi vile vileKimbia mapema sana hilo ni pepo, hakuna mwanamke hapo. Had anadiriki kukufukuza aisee we jamaa una moyo
jambo dogo hili halihitaji ushauri fanya maamuzi binafsi otherwise huwe umeandika humu ili kutupigisha storyNi week sasa nimempisha lakin anaomba msamaha nirudi
Ishu yenyewe iko hivi, mwaka huu nilimpata Dada mmoja nesi tukapendana nilikuta amepanga nyumba, nami kwakuwa nilikuwa kwenye shughuli za kikazi maeneo yale nilikuwa nimefikia nyumba ya wagen kabla ya kumpata
Nilivyompata akanishawish kukabidhi rum kwenye gest house nikae kwake, nikasema ngoja kwanza nikamilishe kazi
Nikakamilisha kazi nikasafiri kuipeleka sehem husika alinisindikiza hadi uwanja wa ndege na kulia sana kwamba namuacha,
Nikapiga moyo konde ndani ya Emirates nikafika huku mawazo ya hapa na pale yakitawala,
Baada ya kumaliza miezi 4 nikaamua kurudi Tanzania nikakuta kanisubiria kawaida
Kufika nyumbani nikakaa week jamaa akaja kuniambia yaliyokuwa yanaendelea nikakaa kimya nilichofanya nikaenda Kwa rafiki yake wa kike nikajifanya kuomba simu kumpigia mtu,
Nilijua fika kwamba hawezi fichana na rafiki au awez fanya jambo bila rafiki yake kujua,
Nikakuta wanayochat na shoga yake wakizungumzia yanayofanyikaga nikiwa sipo, niliumia
Nilipomuuliza akasema nipishe kwangu
Akanipangia nguo na kunitolea nje ilikuwa saa 5 usiku,
Nikatafta piki PIKI nikatafta nyumba ya wageni,
Sasa analia eti turudiane mara anakili kosa , Kuwa nimsamehe
Huku akishikiria msimamo wa kwamba alisingiziwa zilikiwa hasira
Msimamo wangu simrudii ni aibu dume kuwekewa nguo kW begi huko kodi nililipa miezi 5 na biashara nikamfungulia,
Au mnanishaurije
Hawatofautiani na wanaume, mwanamke kufukuzwa ni kawaida, ila mwanaume kufukuzwa mnaona kafanyiwa jambo kuuuuubwa aaaghhhrr wacha wafukuzwe tuUshauri siku nyingine usirudie kwenda nyumbani kwa mwanamke begi kubwa la nguo hao viumbe hawana haya kukuabisha dakika tu
Hajapata fundisho ndo maana anafikiria kurudi!Kisa chako kina mafundisho yepi?
Yani alikufukuza kistaarabu sana, wengine tulifukuzwa mchana kweupe tena tukatoka na vitanda, masufuria, yani makorokoro kibaaao huku majirani wanaona.[emoji23][emoji23]
Sasa cha msingi fanya hivi: Tafuta sehemu yako ya kuishi na asiijue kamwe, then endelea kumega kibaharia huku ukitafuta wife material wa kusukuma ndani.
Siku ukisukuma ndani unabadilisha namba unahama na mtaa unaoishi. Fullstop[emoji49]
Unforgetable
Ni week sasa nimempisha lakin anaomba msamaha nirudi
Ishu yenyewe iko hivi, mwaka huu nilimpata Dada mmoja nesi tukapendana nilikuta amepanga nyumba, nami kwakuwa nilikuwa kwenye shughuli za kikazi maeneo yale nilikuwa nimefikia nyumba ya wagen kabla ya kumpata
Nilivyompata akanishawish kukabidhi rum kwenye gest house nikae kwake, nikasema ngoja kwanza nikamilishe kazi
Nikakamilisha kazi nikasafiri kuipeleka sehem husika alinisindikiza hadi uwanja wa ndege na kulia sana kwamba namuacha,
Nikapiga moyo konde ndani ya Emirates nikafika huku mawazo ya hapa na pale yakitawala,
Baada ya kumaliza miezi 4 nikaamua kurudi Tanzania nikakuta kanisubiria kawaida
Kufika nyumbani nikakaa week jamaa akaja kuniambia yaliyokuwa yanaendelea nikakaa kimya nilichofanya nikaenda Kwa rafiki yake wa kike nikajifanya kuomba simu kumpigia mtu,
Nilijua fika kwamba hawezi fichana na rafiki au awez fanya jambo bila rafiki yake kujua,
Nikakuta wanayochat na shoga yake wakizungumzia yanayofanyikaga nikiwa sipo, niliumia
Nilipomuuliza akasema nipishe kwangu
Akanipangia nguo na kunitolea nje ilikuwa saa 5 usiku,
Nikatafta piki PIKI nikatafta nyumba ya wageni,
Sasa analia eti turudiane mara anakili kosa , Kuwa nimsamehe
Huku akishikiria msimamo wa kwamba alisingiziwa zilikiwa hasira
Msimamo wangu simrudii ni aibu dume kuwekewa nguo kW begi huko kodi nililipa miezi 5 na biashara nikamfungulia,
Au mnanishaurije