Amenifungia nguo na kuweka kwenye begi eti nimpishe kwake japo kodi nalipa mimi

Amenifungia nguo na kuweka kwenye begi eti nimpishe kwake japo kodi nalipa mimi

Ni week sasa nimempisha lakin anaomba msamaha nirudi

Ishu yenyewe iko hivi, mwaka huu nilimpata Dada mmoja nesi tukapendana nilikuta amepanga nyumba, nami kwakuwa nilikuwa kwenye shughuli za kikazi maeneo yale nilikuwa nimefikia nyumba ya wagen kabla ya kumpata

Nilivyompata akanishawish kukabidhi rum kwenye gest house nikae kwake, nikasema ngoja kwanza nikamilishe kazi

Nikakamilisha kazi nikasafiri kuipeleka sehem husika alinisindikiza hadi uwanja wa ndege na kulia sana kwamba namuacha,

Nikapiga moyo konde ndani ya Emirates nikafika huku mawazo ya hapa na pale yakitawala,

Baada ya kumaliza miezi 4 nikaamua kurudi Tanzania nikakuta kanisubiria kawaida

Kufika nyumbani nikakaa week jamaa akaja kuniambia yaliyokuwa yanaendelea nikakaa kimya nilichofanya nikaenda Kwa rafiki yake wa kike nikajifanya kuomba simu kumpigia mtu,
Nilijua fika kwamba hawezi fichana na rafiki au awez fanya jambo bila rafiki yake kujua,

Nikakuta wanayochat na shoga yake wakizungumzia yanayofanyikaga nikiwa sipo, niliumia

Nilipomuuliza akasema nipishe kwangu

Akanipangia nguo na kunitolea nje ilikuwa saa 5 usiku,

Nikatafta piki PIKI nikatafta nyumba ya wageni,

Sasa analia eti turudiane mara anakili kosa , Kuwa nimsamehe

Huku akishikiria msimamo wa kwamba alisingiziwa zilikiwa hasira

Msimamo wangu simrudii ni aibu dume kuwekewa nguo kW begi huko kodi nililipa miezi 5 na biashara nikamfungulia,

Au mnanishaurije
Sasa chief huyo rafiki aliyekupa sinu yake mpaka ukaangalia hizo msg mlikubaliana nini? yaani huyo lazima alikuwa demu wako. kqa hiyo hata wewe hauko smart. Pia kwa muda mlokutana na ukaondoka unafikiri nini kingemfanya aendelee kukuamini kuwa utarudi? maisha lazima yaendelee . ulichotakiwa kufanya baada ya kurudi ndo uendelee maana siyo mke wako huyo ni demu tu. Pia mshukuru kwa kukuweka.mjini ule ulale kwa muda wote huo na bado ukarudi akakupokea
 
Tangu awe mpenzi je wewe umemsaliti mara ngapi japo hajakukamata!Muhukumu kama hujawahi kumsaliti!
 
Ni week sasa nimempisha lakin anaomba msamaha nirudi

Ishu yenyewe iko hivi, mwaka huu nilimpata Dada mmoja nesi tukapendana nilikuta amepanga nyumba, nami kwakuwa nilikuwa kwenye shughuli za kikazi maeneo yale nilikuwa nimefikia nyumba ya wagen kabla ya kumpata

Nilivyompata akanishawish kukabidhi rum kwenye gest house nikae kwake, nikasema ngoja kwanza nikamilishe kazi

Nikakamilisha kazi nikasafiri kuipeleka sehem husika alinisindikiza hadi uwanja wa ndege na kulia sana kwamba namuacha,

Nikapiga moyo konde ndani ya Emirates nikafika huku mawazo ya hapa na pale yakitawala,

Baada ya kumaliza miezi 4 nikaamua kurudi Tanzania nikakuta kanisubiria kawaida

Kufika nyumbani nikakaa week jamaa akaja kuniambia yaliyokuwa yanaendelea nikakaa kimya nilichofanya nikaenda Kwa rafiki yake wa kike nikajifanya kuomba simu kumpigia mtu,
Nilijua fika kwamba hawezi fichana na rafiki au awez fanya jambo bila rafiki yake kujua,

Nikakuta wanayochat na shoga yake wakizungumzia yanayofanyikaga nikiwa sipo, niliumia

Nilipomuuliza akasema nipishe kwangu

Akanipangia nguo na kunitolea nje ilikuwa saa 5 usiku,

Nikatafta piki PIKI nikatafta nyumba ya wageni,

Sasa analia eti turudiane mara anakili kosa , Kuwa nimsamehe

Huku akishikiria msimamo wa kwamba alisingiziwa zilikiwa hasira

Msimamo wangu simrudii ni aibu dume kuwekewa nguo kW begi huko kodi nililipa miezi 5 na biashara nikamfungulia,

Au mnanishaurije
Dah nyie ndo mnatufanya mabaharia tuonekane maboya tu ... Yaani mtu ndo mmeanzisha mahusiano mwaka huu , na ulimkuta anapanga na unaanzaje kumfungulia biashara na km haitoshi unaishi kwake. Ht kama wewe ndomlipa pa k
 
Kwa vile unataka ushauri na mmeshaifanya jf ni kama mungu.. Ngoja tu tukushauri.

Mimi nasema hivi.

Rudi.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umemalizaaa
 
Location ni dar na wewe ni wa dar ushauri wangu we rudi tu umalizike kodi yako ya miezi mitano au sio

Ccc NAKWEDE
 
Ccc NAKWEDE hata nikija kwako na begi kubwa nililokuja na ndege ya fly emirate hutanifukuza kwa kutofautiana
 
Ukapanda Emirates ina maana hapa bongo land unaishi hoteli ?[emoji23][emoji23][emoji23]
 
hilo ni shetani sasa wewe unachokifanya au unachotaka kufanya ni kumpinga Mungu alokuepusha nalo, ukiendelea hivyo litakutafuna
 
dah mkuu usirudi kabisa, achana nar mkuu hapo hakuna kitu kabisa
 
Afadhali hukumlipia ada Mkuu, we sepa mazima achana nae.

Atakuwa ameshindwa kulipa kodi anataka ulipe tena
 
Back
Top Bottom