Amenikata hamu kabisa na nguvu za kiume zimeisha. Kumbe haya matatizo ya nguvu za kiume sababu ni Wanawake

Amenikata hamu kabisa na nguvu za kiume zimeisha. Kumbe haya matatizo ya nguvu za kiume sababu ni Wanawake

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Huyu dada siku ya kwanza nimemtoa out nlimwona tu alivyokuwa na ushamba. Dada mzuri wa sura na umbo. Lakini kichwani ana ushamba flani. Mtu mmeonana jana leo anakutumia msg ana njaa na anafanya kazi.

Huu ni upumbavu wala si ujanja. Wanawake wengi hawajielewi. Binafsi sipendi mtu anayetangaza shida zake kwangu. Huyu dada alianza kunitoa hamu mapema sana. Nikawa hata nikikaa naye sijisikii hamu. Ila nimemchana liwe funzo kwake na wenzie.

Screenshot_2022-08-23-13-03-52-280_com.google.android.apps.messaging~3.jpg
 
Duh ulishuka Aya ndefu kweli na uliandika kwa hasira sana sana Mzee Baba! Relax! Angeomba Kodi ya nyumba sijui ungesemaje
Kodi ya nyumba kweli! Aisee mtu ajiondoe kwao halafu aje kuhamisha gharama kwa mwanaume ambaye hata siyo Mume. Mh Mwigulu ebu fuatilia hili jamboo wapangaji wengi hawajilipii kodi wanaoumia ni wanaume ili hili swala la kuhamahama nyumbani kwa ajili ya kwenda kufanya udangaji mjini uishe
 
kodi ya nyumba kweli .... aisee mtu ajiondoe kwao halafu aje kuhamisha gharama kwa mwanaume ambaye hata siyo Mume... Mh Mwigulu ebu fuatilia hili jamboo wapangaji wengi hawajilipii kodi wanaoumia ni wanaume ili hili swala la kuhamahama nyumbani kwa ajili ya kwenda kufanya udangaji mjini uishe
Wadangaji wote walipe Tozo Mwigulu Nchemba njoo huku Kuna chanzo kingine
 
Mkuu elfu kumi umemtolea povu dada wawatu,Kama alitaka kuongezea akanunue dawa au hitaji muhimu alafu baadae yuko hospital hoi itakuaje.
Mkuu ungetoa kama sadaka na kama tabia ingejiludia.Ungeuliza na majibu yakiwa ya hovyo unge mpayukia; Kilaza mkubwa.
Kabla ya kuja kwangu si aanze kwa wazazi wake kama shida yake ni very sensitive. Acheni hizo mambo, Yaani atakae ya kwenda kukaa bar kusubilia danga anipige mzinga halafu utasikia natumia hela za jasho langu kumbe kuna mtu katobolewa wallet, hata wangekuwa na shukrani sasa.
 
Back
Top Bottom