Amenikata hamu kabisa na nguvu za kiume zimeisha. Kumbe haya matatizo ya nguvu za kiume sababu ni Wanawake

Amenikata hamu kabisa na nguvu za kiume zimeisha. Kumbe haya matatizo ya nguvu za kiume sababu ni Wanawake

Huyu dada siku ya kwanza nimemtoa out nlimwona tu alivyokuwa na ushamba. Dada mzuri wa sura na umbo. Lakini kichwani ana ushamba flani. Mtu mmeonana jana leo anakutumia msg ana njaa... Na anafanya kazi.

Huu ni upumbavu wala si ujanja. Wanawake wengi hawajielewi. Binafsi sipendi mtu anayetangaza shida zake kwangu. Huyu dada alianza kunitoa hamu mapema sana. Nikawa hata nikikaa naye sijisikii hamu. ila nimemchana liwe funzo kwake na wenzie.

View attachment 2332307
Kwanza umemtafuna?
 
kabla ya kuja kwangu si aanze kwa wazazi wake kama shida yake ni very sensitive ...Acheni hizo mambo, Yaani atakae ya kwenda kukaa bar kusubilia danga anipige mzinga halafu utasikia natumia hela za jasho langu kumbe kuna mtu katobolewa wallet.. hata wangekuwa na shukrani sasa
Hili ndio jina lako akili Unazo?
 
Mkazie tu mkuu mwambie kama anataka hiyo teni aje kwanza ghetto ule mbususu ndio umpe na extra kidogo. La sivyo unakuta hiyo text imetumwa kwa mamwera kama ishirini hivi halafu unajua ni wewe mwenyewe. Au mzabzab nasema uongo?
Ah bwana mie nilishajisemea tuu kuwa hizi hela tuwape tuu kwa sharti moja kiwa tunatomber basi hamna shida ya kugandana.
 
Mkazie tu mkuu mwambie kama anataka hiyo teni aje kwanza ghetto ule mbususu ndio umpe na extra kidogo. La sivyo unakuta hiyo text imetumwa kwa mamwera kama ishirini hivi halafu unajua ni wewe mwenyewe. Au mzabzab nasema uongo?
Siku hizi Ndo walivyo hawaombi nyingi ni kwaanzia elfu 10 haizidi 30. Na utakuta amewapanga kama ishirini hivi. Anauhakika na laki

mrangi
 
Tupiako basi kapicha ka hako kamanzi tujiridhishe
Pisi kazi mbovu mgerasi. Kunae moko nilikutana nayo kwenye ferry nika download namba ikakubali nakuja kutana nayo kuitoa lunch ya maana ikakata kama laki siku naiita ghetto ikaja nikakata tena kana 50 nataka kula mzigo inagoma nikaiambia haina kelele.

Saivi imebaki tu kunipigia na ku text desperately wala sina time nayo naona ilitaka nianze mambobya kuch kuch hontae bombay india.
 
Pisi kazi mbovu mgerasi. Kunae moko nilikutana nayo kwenye ferry nika download namba ikakubali nakuja kutana nayo kuitoa lunch ya maana ikakata kama laki siku naiita ghetto ikaja nikakata tena kana 50 nataka kula mzigo inagoma nikaiambia haina kelele.

Saivi imebaki tu kunipigia na ku text desperately wala sina time nayo naona ilitaka nianze mambobya kuch kuch hontae bombay india.
Mkaldayo bana. Mvute Tena halafu hakikisha Hana marynder halafu mpotezee. Utakuwa mshindi na umelipiza kisasi
 
Huyu dada siku ya kwanza nimemtoa out nlimwona tu alivyokuwa na ushamba. Dada mzuri wa sura na umbo. Lakini kichwani ana ushamba flani. Mtu mmeonana jana leo anakutumia msg ana njaa... Na anafanya kazi.

Huu ni upumbavu wala si ujanja. Wanawake wengi hawajielewi. Binafsi sipendi mtu anayetangaza shida zake kwangu. Huyu dada alianza kunitoa hamu mapema sana. Nikawa hata nikikaa naye sijisikii hamu. ila nimemchana liwe funzo kwake na wenzie.

View attachment 2332307
Huna subira na hujui mapenzi wewe.Na hujui saikolojia ya wanawake.Pesa umeiweka mbele sana. Ukitaka kuwajua zaidi niulize mimi mwenye wake 4.sio wanawake wa kutoka nao out 4
 
Umejitahidi kutofautisha kwa akili hao watu wawili, Hadi kwenye herufi nyingine umeweka kubwa, nyingine ndogo
 
Back
Top Bottom