raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Hata ukimpelekea moto masaa 10 sioni ulinganifu wake na thamani ya pesa π naona mtoaji anakuwa bado upande wa loser πHivi unajua maana ya kumtumia mwanamke? Yaan vile kumshughulikia?
Ni ile unamshughulikia Masaa 4+ mikao tofauti tofauti, akitoka pale kachoka viungo vyote vinauma.
Sio unamvutia hisia na unamgusa gusa TU nusu saa utadhan amekua mkeo uyo
Yaan,
NAMAANISHA KUMPELEKEA MOTO[emoji4]
Na wewe si ungeachana na hii? Ungenyamaza maana kama haikuwa sahihi then it wasnt for you. Simple like that. I learned to mind my business.you should have.... Mimi hata tsh 1,000 as long as ni yangu then iheshimu usiniletee usaniii. Wewe unafanya kazi bado unataka kudanga...kweli nakuweka wazi tu kama inakukera chomoa ondoka.Ni vizuri umchukue ambae unaweza mmudu. Ilikua ni sahihi sana kumjibu ulivyomjibu, lakini haikua na ulazima uje kutuonesha huku. Wengi wametoka katika malezi mbalimbali. Hivyo ndivyo alivyolelewa. Ukiona hamuendani basi muache tafuta ambae unaemuweza. Kuna wengine wanatamani huyo anaeomba elf 10π maana kuna wanaopigwa pesa nyingi unashangaa. Wewe mchukue ambae unamuweza wewe bila kushirikisha wengine brother
KumbeMwanzo wa ngoma ni lele. Soma uelewe. Mtu anayefanya kazi,anaishi kwa wazazi. Kuonana nami ndani ya 3 days anitangazie shida....sitaki wanawake wenye shida hizo. Na sikuwa na lengo la kumla. Soma mbona imeandikwa kwa kiswahili chepesi tu?inaeleweka.nami nimemjibu kiwepesi kabisa...[emoji16] Muwe na subra basi. Siyo kudhani kila mtu ananunua utelezi.
Wewe waliokuzaa tunawasamehe.maana hapo ndo umuhimu wa condom unaonekana.....πMwenyezi Mungu akusamehe wewe na walio kulea...
Amiin Thuma Yarabil Alamin,
Afu kingine,Huyo sio mpenz alikuwa anadanga hapo ukubali ulikuwa danga la mtu
Kwanini ngoma si yako unaivalia shanga? Wanawake waliofundwa hawawi hivi dada ...shanga mvalie mumeo au mpenzioKwanini mambo ya wawili unayatoa nje?
Real Gentlemen hatuko hivyo. Shilingionea mnasababisha wanaume wengi tuonekane tupo sawa! βΊοΈ
Wakati anajijua vyema, mwenzie atakuwa anajiuza vyemaItafika zamu yako kuomba unyumba utajibiwa hivyohivyo ndio ukajichue vyema
Utakua huujui utamu wake kusugua mbususu wewe[emoji4]Hata ukimpelekea moto masaa 10 sioni ulinganifu wake na thamani ya pesa [emoji3] naona mtoaji anakuwa bado upande wa loser [emoji2]
Punguzeni kutukanana bhana,Wewe waliokuzaa tunawasamehe.maana hapo ndo umuhimu wa condom unaonekana.....[emoji16]
Aisee...uanaume wangu hauwi defined na mwanamke mdangaii.yaani kwa aina yako hiyo acha waniite shoga,mvulana n.k but siwezi kutaka onesha upumbavu nikifananisha na uanamue. Hata uanamke si kutangaza njaa...zamani haikuwa hivi. Wanawake walikuwa wanajisitiri. Siyo nyie wa sasa. Mnauza sehemu zenu za siri.Kuna vitu ukivikubali Utakuwa hauna hofu ya chochote bali utqjivunia uanaume wako,ndo maana vijana mnasema hamuoi sio sabbu ni wanawake ila ubahili na uchoyo mlonao mnawaza kulisha familia mnaona mzigo
Wanaume waliokamilika hawazunguzii kulalamika kuombwa elfu kumi ila wanatoa bila kuombwa ni sehemu ya mjukumuyao Kwa wanawake zao
Mje tu mnipige
Nipe namba yake basiBob huyu dem ni mkali sana. Sema tu amekosa akili. Mimi nina tabia hata demu awe mkali vipi akikosa akili siwezi mla. Naona ataniambukiza upumbavu wake
Hakuna matusi hapo,hivyo Ni viunganishi tu huku mtaani.Punguzeni kutukanana bhana,
Mbona mnakua Kama sio watu wazima,
Afu wee ndo mwenye Uzi, na unashiriki kuuchafua uzi wako.
Haijakaa vizur mkuu
[emoji1][emoji1][emoji1] aiseee.Kwanini ngoma si yako unaivalia shanga? Wanawake waliofundwa hawawi hivi dada ...shanga mvalie mumeo au mpenzio
Kama 150k unasugua masaa4 ukitoa 5mil itakuaje mzeiyaaa πUtakua huujui utamu wake kusugua mbususu wewe[emoji4]
Haielezeki chiefKama 150k unasugua masaa4 ukitoa 5mil itakuaje mzeiyaaa [emoji2]
Povu Tena kama Huna uvumilivu usianzishe Uzi kilamtu anakuja na mawazo yakeAisee...uanaume wangu hauwi defined na mwanamke mdangaii.yaani kwa aina yako hiyo acha waniite shoga,mvulana n.k but siwezi kutaka onesha upumbavu nikifananisha na uanamue. Hata uanamke si kutangaza njaa...zamani haikuwa hivi. Wanawake walikuwa wanajisitiri. Siyo nyie wa sasa. Mnauza sehemu zenu za siri.
Ndio ukweli huo mke tuu ukimuomba akukooeshe hela ananuna kama kameza klorokwini.Hahahaaaπ!!
Kila anayetoka pale anajiona bingwa kwa style yake πππ hapakomolewiHaielezeki chief
Sema kiuhalisia tuache ushabiki maandazi,
ile kitu haikomolewi mkuu, hata usugue mwaka mzima non-stop[emoji4]
Ila kilamtu anapta kulingana na alivo japo wengine majaribu wanayapitia pia japo ni wachache,mwanaume uko busy na kazizako ukirudi umechoka unapumzika ukipata mda unafanya mambo ya kueleweka unapiga story na washkaji zako huyu mdangaji mnakutna nae wapi maana navojua wanakuwaga sehemu za kuwatega wapite naoAfu kingine,
Wanawake wengi wadangaji
Huwachukulia wale watoaji Kama malofa flan hivi wasiojua Kama wanadangwa.
Yaan wanajua kwasababu washapendwa, jamaa atapaswa kufanya chochote kile kugharamia ili kutetea penzi lake
Hujikuta wanaropoka TU bila kuchuja,kujistukia Wala kujali chochote.
Hapa mwanaume usipokua smart kusoma mchezo,.ndo ile utaskia mwanaume keshaanza kufilisika au kijana kua mwizi ili kulinda na kutetea penzi lake