Amenikata hamu kabisa na nguvu za kiume zimeisha. Kumbe haya matatizo ya nguvu za kiume sababu ni Wanawake

Hata ukimpelekea moto masaa 10 sioni ulinganifu wake na thamani ya pesa πŸ˜€ naona mtoaji anakuwa bado upande wa loser πŸ˜ƒ
 
Na wewe si ungeachana na hii? Ungenyamaza maana kama haikuwa sahihi then it wasnt for you. Simple like that. I learned to mind my business.you should have.... Mimi hata tsh 1,000 as long as ni yangu then iheshimu usiniletee usaniii. Wewe unafanya kazi bado unataka kudanga...kweli nakuweka wazi tu kama inakukera chomoa ondoka.
 
Kumbe
Maana ake ww ulitaka MKE wa kumuoa?
Basi mahaba kifuani, ndo maana ulipanicalivokujibu vile[emoji4]

Chakukushaur,
Huyo mwanamke sio chaguo sahii,
Au Naye alijua wee Ni mpigaji TU.

Cha kufanya,
Weka lengo lake kwake clear ajue,

Ujue Kuna wanawake wanajali muda,
Hawapendi ishu za kupotezeana muda
Wakati anajua hitaji lako Ni Nini kwake
 
Huyo sio mpenz alikuwa anadanga hapo ukubali ulikuwa danga la mtu
Afu kingine,
Wanawake wengi wadangaji
Huwachukulia wale watoaji Kama malofa flan hivi wasiojua Kama wanadangwa.

Yaan wanajua kwasababu washapendwa, jamaa atapaswa kufanya chochote kile kugharamia ili kutetea penzi lake

Hujikuta wanaropoka TU bila kuchuja,kujistukia Wala kujali chochote.

Hapa mwanaume usipokua smart kusoma mchezo,.ndo ile utaskia mwanaume keshaanza kufilisika au kijana kua mwizi ili kulinda na kutetea penzi lake
 
Aisee...uanaume wangu hauwi defined na mwanamke mdangaii.yaani kwa aina yako hiyo acha waniite shoga,mvulana n.k but siwezi kutaka onesha upumbavu nikifananisha na uanamue. Hata uanamke si kutangaza njaa...zamani haikuwa hivi. Wanawake walikuwa wanajisitiri. Siyo nyie wa sasa. Mnauza sehemu zenu za siri.
 
Punguzeni kutukanana bhana,
Mbona mnakua Kama sio watu wazima,
Afu wee ndo mwenye Uzi, na unashiriki kuuchafua uzi wako.
Haijakaa vizur mkuu
Hakuna matusi hapo,hivyo Ni viunganishi tu huku mtaani.
 
Kama 150k unasugua masaa4 ukitoa 5mil itakuaje mzeiyaaa [emoji2]
Haielezeki chief
Sema kiuhalisia tuache ushabiki maandazi,
ile kitu haikomolewi mkuu, hata usugue mwaka mzima non-stop[emoji4]
 
Povu Tena kama Huna uvumilivu usianzishe Uzi kilamtu anakuja na mawazo yake
Mm sio mdangaji na siwez kuwa na watoto wanne nikamdangie nani Sasa πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Haielezeki chief
Sema kiuhalisia tuache ushabiki maandazi,
ile kitu haikomolewi mkuu, hata usugue mwaka mzima non-stop[emoji4]
Kila anayetoka pale anajiona bingwa kwa style yake πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hapakomolewi
 
Ila kilamtu anapta kulingana na alivo japo wengine majaribu wanayapitia pia japo ni wachache,mwanaume uko busy na kazizako ukirudi umechoka unapumzika ukipata mda unafanya mambo ya kueleweka unapiga story na washkaji zako huyu mdangaji mnakutna nae wapi maana navojua wanakuwaga sehemu za kuwatega wapite nao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…