Angemwambia ahamie nyumbani kwake waishi wote asisumbuliwe na mambo ya kodiDuh ulishuka Aya ndefu kweli na uliandika kwa hasira sana sana Mzee Baba! Relax! Angeomba Kodi ya nyumba sijui ungesemaje
Kwanza umemtafuna?Huyu dada siku ya kwanza nimemtoa out nlimwona tu alivyokuwa na ushamba. Dada mzuri wa sura na umbo. Lakini kichwani ana ushamba flani. Mtu mmeonana jana leo anakutumia msg ana njaa... Na anafanya kazi.
Huu ni upumbavu wala si ujanja. Wanawake wengi hawajielewi. Binafsi sipendi mtu anayetangaza shida zake kwangu. Huyu dada alianza kunitoa hamu mapema sana. Nikawa hata nikikaa naye sijisikii hamu. ila nimemchana liwe funzo kwake na wenzie.
View attachment 2332307
Hili ndio jina lako akili Unazo?kabla ya kuja kwangu si aanze kwa wazazi wake kama shida yake ni very sensitive ...Acheni hizo mambo, Yaani atakae ya kwenda kukaa bar kusubilia danga anipige mzinga halafu utasikia natumia hela za jasho langu kumbe kuna mtu katobolewa wallet.. hata wangekuwa na shukrani sasa
Dada zetu wanatia aibu sana, yaani day 2 anaomba pesa ujasiri anautoa wapi?.Kwani wewe ulitegemea nini kutoka kwa demu, hao watu hawana upendo ni jaa tu.
Ah bwana mie nilishajisemea tuu kuwa hizi hela tuwape tuu kwa sharti moja kiwa tunatomber basi hamna shida ya kugandana.Mkazie tu mkuu mwambie kama anataka hiyo teni aje kwanza ghetto ule mbususu ndio umpe na extra kidogo. La sivyo unakuta hiyo text imetumwa kwa mamwera kama ishirini hivi halafu unajua ni wewe mwenyewe. Au mzabzab nasema uongo?
Siku hizi Ndo walivyo hawaombi nyingi ni kwaanzia elfu 10 haizidi 30. Na utakuta amewapanga kama ishirini hivi. Anauhakika na lakiMkazie tu mkuu mwambie kama anataka hiyo teni aje kwanza ghetto ule mbususu ndio umpe na extra kidogo. La sivyo unakuta hiyo text imetumwa kwa mamwera kama ishirini hivi halafu unajua ni wewe mwenyewe. Au mzabzab nasema uongo?
Pisi kazi mbovu mgerasi. Kunae moko nilikutana nayo kwenye ferry nika download namba ikakubali nakuja kutana nayo kuitoa lunch ya maana ikakata kama laki siku naiita ghetto ikaja nikakata tena kana 50 nataka kula mzigo inagoma nikaiambia haina kelele.Tupiako basi kapicha ka hako kamanzi tujiridhishe
Na hiyo ndio habari ambayo bablai.Ah bwana mie nilishajisemea tuu kuwa hizi hela tuwape tuu kwa sharti moja kiwa tunatomber basi hamna shida ya kugandana.
Wajue sasa na sisi tumesanuka bablai. Wakitaka kula yetu kwanza lazima tule.Siku hizi Ndo walivyo hawaombi nyingi ni kwaanzia elfu 10 haizidi 30. Na utakuta amewapanga kama ishirini hivi. Anauhakika na laki
mrangi
Mkaldayo bana. Mvute Tena halafu hakikisha Hana marynder halafu mpotezee. Utakuwa mshindi na umelipiza kisasiPisi kazi mbovu mgerasi. Kunae moko nilikutana nayo kwenye ferry nika download namba ikakubali nakuja kutana nayo kuitoa lunch ya maana ikakata kama laki siku naiita ghetto ikaja nikakata tena kana 50 nataka kula mzigo inagoma nikaiambia haina kelele.
Saivi imebaki tu kunipigia na ku text desperately wala sina time nayo naona ilitaka nianze mambobya kuch kuch hontae bombay india.
Achana nae. Huyo ni waki tu ananletea mambo za kitoto. Saivi anapiga simu na text zisizoisha nimemlia gunzi tu sina mda mchafu.Mkaldayo bana. Mvute Tena halafu hakikisha Hana marynder halafu mpotezee. Utakuwa mshindi na umelipiza kisasi
Elfu kumi tuu...wenzie laki na siku ya pili tushashahau..Atakua amekwama mkuu mpe tu
Kweli mkuuZamani tulikuwa tunafurahi kupata text toka kwa mwanamke. Siku hizi ukiona text toka kwa demu basi unakksa raha kabisa
Huna subira na hujui mapenzi wewe.Na hujui saikolojia ya wanawake.Pesa umeiweka mbele sana. Ukitaka kuwajua zaidi niulize mimi mwenye wake 4.sio wanawake wa kutoka nao out 4Huyu dada siku ya kwanza nimemtoa out nlimwona tu alivyokuwa na ushamba. Dada mzuri wa sura na umbo. Lakini kichwani ana ushamba flani. Mtu mmeonana jana leo anakutumia msg ana njaa... Na anafanya kazi.
Huu ni upumbavu wala si ujanja. Wanawake wengi hawajielewi. Binafsi sipendi mtu anayetangaza shida zake kwangu. Huyu dada alianza kunitoa hamu mapema sana. Nikawa hata nikikaa naye sijisikii hamu. ila nimemchana liwe funzo kwake na wenzie.
View attachment 2332307