Ameniorodhoshea mahitaji mengi utafikiri mimi ni babaake

Ameniorodhoshea mahitaji mengi utafikiri mimi ni babaake

Nilimtongoza kwa Nia ya kumuoa, jobless aneorodhesha mahitaji mengi Hadi nikamchukia ghafla.

Mtu alikuwa kwao hana mishe yeyote lakini anataka anataka maisha ya kifahari wakati kwao ni maskini.

1. Simu ya laki saba
2. Kusuka mtindo wa elfu 70
3. Begi la laki moja
4. Kiatu cha elf 50
5. Bundle la elfu 30 wakati hakuna Cha maana anachokifanya online
View attachment 2873487
Kipoch manyoya unataka au utak
 
Hiyo Text Ya Mwisho " Wanaume Bwn" Huyo Ameamua Kukufukuza Kwa Namna Hiyo.

Hayo Mahitaji Ni Kawaida Kabisa Angeyaleta Kwa Mpangilio Na Njia Iliyo Nzuri.
 
Nilimtongoza kwa Nia ya kumuoa, jobless aneorodhesha mahitaji mengi Hadi nikamchukia ghafla.

Mtu alikuwa kwao hana mishe yeyote lakini anataka anataka maisha ya kifahari wakati kwao ni maskini.

1. Simu ya laki saba
2. Kusuka mtindo wa elfu 70
3. Begi la laki moja
4. Kiatu cha elf 50
5. Bundle la elfu 30 wakati hakuna Cha maana anachokifanya online
View attachment 2873487
Eti "wanaume bwn"..[emoji23][emoji23][emoji23]

Epuka matapeli mkuu
 
Nilimtongoza kwa Nia ya kumuoa, jobless aneorodhesha mahitaji mengi Hadi nikamchukia ghafla.

Mtu alikuwa kwao hana mishe yeyote lakini anataka anataka maisha ya kifahari wakati kwao ni maskini.

1. Simu ya laki saba
2. Kusuka mtindo wa elfu 70
3. Begi la laki moja
4. Kiatu cha elf 50
5. Bundle la elfu 30 wakati hakuna Cha maana anachokifanya online
View attachment 2873487
Achananae tafuta mwingine
 
Aa
Mnaosema hampendi anamfukuza, hivi akipewa hivyo vitu atakataa?
Ataomba vingine mpaka mwamba aombe poo Mfano atamwambia mwamba anadaiwa Kodi laki tatu kwa mwezi na Alipe mwaka mzima 3.6m
 
Aa
Mnaosema hampendi anamfukuza, hivi akipewa hivyo vitu atakataa?
Ataomba vingine mpaka mwamba aombe poo Mfano atamwambia mwamba anadaiwa Kodi laki tatu kwa mwezi na Alipe mwaka mzima 3.6m
 
Nilimtongoza kwa Nia ya kumuoa, jobless aneorodhesha mahitaji mengi Hadi nikamchukia ghafla.

Mtu alikuwa kwao hana mishe yeyote lakini anataka anataka maisha ya kifahari wakati kwao ni maskini.

1. Simu ya laki saba
2. Kusuka mtindo wa elfu 70
3. Begi la laki moja
4. Kiatu cha elf 50
5. Bundle la elfu 30 wakati hakuna Cha maana anachokifanya online
View attachment 2873487
Kausha Damu a.k.a wagogo

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom