Ameondoka akiwa amevaa nguo yangu ya ndani ( boxa)

Ameondoka akiwa amevaa nguo yangu ya ndani ( boxa)

Mwizukulu mgikuru

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
5,715
Reaction score
13,739
Wakuu hii imekaa vipi jana nilipata pisi moja ya kanda ziwa ina mguu mnene balaa na tako zito, nikaikaribisha kwangu ikaoga vizuri, mara hooo mwizukulu mgikuru ninaomba nguo yako nivae hii yangu imelowa..ikabidi nimpe kishingo upande, usiku umepita vizuri tu , asubuhi anakomaa kuondoka amevaa nguo yangu ya ndani ilibidi nimpe tahadhari usiende kuifanyia uchawi huko tafadhali.


Wakuu hii imekaaje au huwa ni kawaida🤔😥
 
Wakuu hii imekaa vipi jana nilipata pisi moja ya kanda ziwa ina mguu mnene balaa na tako zitto.nikaikaribisha kwangu ikaoga vizuri, mara hooo mwizukulu mgikuru ninaomba nguo yako nivae hii yangu imelowa..ikabidi nimpe kishingo upande, usiku umepita vizuri tu , asubuhi anakomaa kuondoka amevaa nguo yangu ya ndani ili bidi nimpe tahadhari usiende kuifanyia uchawi huko tafadhali...wakuu hii imekaaje au huwa ni kawaida[emoji848][emoji26]

Pisi chafu huwa mnaziokota wapi mkuu?
 
Wakuu hii imekaa vipi jana nilipata pisi moja ya kanda ziwa ina mguu mnene balaa na tako zitto.nikaikaribisha kwangu ikaoga vizuri, mara hooo mwizukulu mgikuru ninaomba nguo yako nivae hii yangu imelowa..ikabidi nimpe kishingo upande, usiku umepita vizuri tu , asubuhi anakomaa kuondoka amevaa nguo yangu ya ndani ili bidi nimpe tahadhari usiende kuifanyia uchawi huko tafadhali...wakuu hii imekaaje au huwa ni kawaida🤔😥
Na ww muombe yake uivae iwe bila bila😇🤣
 
Kwa kuwa alishaanza kuivaa hapo kwako hakuna shida ya kufanya uchawi.

Demu anatoka kwake kavaa chupi moja na anajua anakuja kutumika na kulala!!
Au uliokota demu barabarani hakuwa amejipanga kulala nje na kwake?
 
Kwa kuwa alishaanza kuivaa hapo kwako hakuna shida ya kufanya uchawi.

Demu anatoka kwake kavaa chupi moja na anajua anakuja kutumika na kulala!!
Au uliokota demu barabarani hakuwa amejipanga kulala nje na kwake?
Nilitumia mbinu za kimedani kumuingiza nyumbani alikuwa hana mpango halafu amelewaaa😁
 
Wakuu hii imekaa vipi jana nilipata pisi moja ya kanda ziwa ina mguu mnene balaa na tako zitto.nikaikaribisha kwangu ikaoga vizuri, mara hooo mwizukulu mgikuru ninaomba nguo yako nivae hii yangu imelowa..ikabidi nimpe kishingo upande, usiku umepita vizuri tu , asubuhi anakomaa kuondoka amevaa nguo yangu ya ndani ili bidi nimpe tahadhari usiende kuifanyia uchawi huko tafadhali...wakuu hii imekaaje au huwa ni kawaida🤔😥
Huyo lazima uoe Mgikuru, upende usipende angalia kuanzia sasa mawazo yako yanamuwaza yeye tu.
 
d97bb9ff15d2488480938cae75f89df6.jpg
 
Mwingine alikuwa kila akija kwangu lazima aache kanga ya chakavu..mimi nachukua nachoma moto tu
 
Back
Top Bottom