Ameondoka na roho ya baharia!

mikila miwili

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2021
Posts
563
Reaction score
561
Anaitwa Safina Diamond, ni slay queen na socialite wa Ghana. Ameshikiliwa na polisi kwa kumchoma visu zaidi ya mara30 shingoni na tumboni, na kumuua mpenzi wake ambaye alikuwa amesafiri siku chache kutoka Canada.

Baada ya tukio aliutelekeza mwili wa mwanaume huyo ndani ya gari la mwanaume huyo na kutengeneza 'defense mechanism' kuwa alikuwa anajitetea kwani jamaa alikuwa anataka kumbaka, ikumbukwe kuwa jamaa ana mke na watoto.

Tukio lilitokea hotelini walikokuwa wamepanga kwa siku kadhaa.
mzabzab DeepPond
 

Attachments

  • FB_IMG_16593587367776261.jpg
    45.6 KB · Views: 17
SLAY QUEEN NI MTU WA KUMUOGOPA SANA

R.I.P BAHARIA
 
Your browser is not able to display this video.
 
Wala nyeto mko salama 100%
Mana hadi mkono wako ukusaliti ujue we ni shoga/Gay.
Vifo vya aina hii havitakaa viwakute kamwe[emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Umesema alikuwa mume wa mtu!! Kapata alichokuwa anatafuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…